Baljurashi
JF-Expert Member
- Dec 30, 2017
- 1,628
- 2,720
Wewe kafiri umeona jina la kiislam mbio mbio umekuja kuonesha chuki zako dhidi ya Uislam kama ilivyo kawaida yako.Dini Yao mahubiri Yao asilimia 90 ni ndoa na mahusiano. Viongozi wanaongea maneno makali na mazito ya kimahusiano kwenye ibada ambazo hazijatengwa kwa umri ili mafundisho yaendane na rika. Hivyo unakuta mtoto mdogo amejaza kwenye kichwa chake mambo yaliyomzidi umri na baadaye kuyazoea na kuamua kufanya practical. Acheni mahubiri ya mahusiano mbele ya watoto. Tenganisheni ibada za watoto na watu wazima na kama haiwezekani waondoeni watoto kwenye mawaidha . Sasa unakutana na kipoozeo ndiye anaendesha ibada na watoto wapo huko huko yeye si anatiririka tuu?
Wewe kufa tu kwa chuki yako.