Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila nyau una matatizo sana wewe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Unamkana hana pesa?
Ungejua hiyo ni mutu muzito nchii ungenyamaza hakika😂😂😂
Udione ninamtania ni bonge la muheshimiwa
Mwambie kaka Yako sio Mimi🤣🤣🤣ila hizi habari zinanifurahishaaaaaa🤣🤣🤣 bff ana wake sio G
Unazipenda sana 🤣🤣🤣🤣Mwambie kaka Yako sio Mimi🤣🤣🤣ila hizi habari zinanifurahishaaaaaa
Napenda wampige matukio Hadi anyooke.🤣🤣🤣Unazipenda sana 🤣🤣🤣🤣
Hutaki kaka awe na furaha
Mpk ajute kutema big g kwa karanga za kuonjeshwa 🤣🤣🤣Napenda wampige matukio Hadi anyooke.🤣🤣🤣
Bunju kina huduma zote za kijamii unazojua wewe tofaut na chamazi cha zaidi sio tena poliniKwani Bunju Kuna maajabu gani?
Hivi inakuwaje mpaka mtoto anakuwa ana uchungu kabisa daah watoto wa sikuiz wanaumiza sanaSio rahisi mkuu, unaweza fika hata la kuongea ukakosa ukambeba mwanao ukaenda nyumbani na ukafika nyumbani wewe ndio ukaanza kulia yeye anakuangalia tu, mkavu kabisa. Watoto wa sasa hivi ni hatari sana
We Chamazi unapajua?Bunju kina huduma zote za kijamii unazojua wewe tofaut na chamazi cha zaidi sio tena polini
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Napajua na nimeishi miaka 3 unasemaje?We Chamazi unapajua?
Jamani msimuumize sana 🤣🤣🤣😂😂😂😂 Muwache kwanza bro dawa imuingie
Hongera Kwa kuishi Kijijini Chamanzi,Sina Cha kuongeza maana nilipitia tu huko nilitoka kijijini Mvuti
Ni kubaya sana Yani nililala kule kwa sababu ya maokoto Tu....Hongera Kwa kuishi Kijijini Chamanzi,Sina Cha kuongeza maana nilipitia tu huko nilitoka kijijini Mvuti
Pole,hope ulipambana ukatoka hukoNi kubaya sana Yani nililala kule kwa sababu ya maokoto Tu....
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Yes now nipo katikati ya jijiPole,hope ulipambana ukatoka huko
[emoji23][emoji23][emoji23]Hapo lazima kuna bodaboda kahusika