Mtu akiwa Waziri anaendelea kuchukua posho za kibunge?

Mtu akiwa Waziri anaendelea kuchukua posho za kibunge?

Mzee baba: Mbunge akiwa Waziri ubunge na maslahi havikomi. Ukiwa waziri na ukaenda kwenye kikao cha madiwani kwenye jimno lako ambalo wewe ni Mjumbe unalipwa. Pale Bungeni anakula Sitting allowance ya Bunge na anakula Sitting allowance ya Uwaziri (Analipwa bungeni na barazani kwa kikao hicho hicho.

Waziri akiwa bungeni analipwa kwa uwaziri wake na kwa ubunge wake, yupo kazini pale kama ilivyo kwa Mwanasheria Mkuu (AG).

To make a story short: Ukiwa mbunge+waziri. Maslahi yote ya Ubunge na benefits zake zote unapata. Ni kofia mbili zile na zina double payment. Bunge na Baraza la Mawaziri ni separate legal entities.

My take: Politics pays handsomely. Gombeeni ubunge 2025 vijana mle keki ya taifa hili la wajinga (mimi nikiwemo).
 
Hapo Lumumba hiyo "previlagies " inamaanisha nini!?
Gentleman,
ni muhimu sana maslahi ya mawaziri kuimarisha na kuzingatiwa mara kwa mara bila chuki, ili hatimae kuchochea ufanisi wa kazi na majukumu ya kitaifa kwa maslahi mapana ya waTanzania wote ๐Ÿ’
 
Stahiki zote kama mbunge ziko palepale, na stahiki za waziri anaongezewa juu yake.

Na hata Trump kusitisha msaada haitabadilisha chochote wananchi watapandishiwa kodi kwenye bidhaa ili mawaziri waendelee kupata stahiki hizo kwahiyo jiandae kula majani
Trump alikua akimlipa Mbunge kupitia USAID?
Trump noma kumbe.
 
Mbunge akiteuliwa kuwa Waziri, jee anaendelea kuchukua posho zake za kibunge?

Akiwa bungeni na yeye anachukua "Sitting allowances" kama wabunge wengine?

Wakati akichukua posho za kibunge, atakuwa pia analipwa posho za kiwaziri?
Na diesel au petrol lts 60
Na msamaha wa kodi ya usafiri(v8,vx a.k.a shangingi)
 
Trump alikua akimlipa Mbunge kupitia USAID?
Trump noma kumbe.
Anachomaanisha ili kufidia pengo litakalotokea kwa Marekani kusitisha misaada Serikali haitapunguza marupurupu ya hao wabunge na mawaziri badala yake ni wananchi wa kawaida ndiyo wataongezewa Kodi.
 
Mbunge akiteuliwa kuwa Waziri, jee anaendelea kuchukua posho zake za kibunge?

Akiwa bungeni na yeye anachukua "Sitting allowances" kama wabunge wengine?

Wakati akichukua posho za kibunge, atakuwa pia analipwa posho za kiwaziri?
Unazijua taratibu za malipo ya Kibunge? Kama huzijui, muulize Lissu au John Heche au Mnyika watakuelewesha maana wanazijua uzuri!
 
My friends, ladies and gentlemen,

kwa kuzingatia dhamana za nchi walizobeba mawaziri kwa niaba ya Taifa, na kwa kuzingatia kazi na majukumu mazito waliyonayo kwa maslahi mapana ya waTanzania wote,

ni muhimu sana immunities na previlagies zao hususan kwenye suala la shekeli zikaangaliwa vyema, kuongezwa na kuboreshwa zaidi ili kuongeza spirit of working na comfortability katika kuwatumikia wananchi na waTanzania wote ๐Ÿ’
Imebidi nicheke tu, kichwa kimebeba nini comrade? Kuna ubongo kweli ndani?
 
Mbunge akiteuliwa kuwa Waziri, jee anaendelea kuchukua posho zake za kibunge?

Akiwa bungeni na yeye anachukua "Sitting allowances" kama wabunge wengine?

Wakati akichukua posho za kibunge, atakuwa pia analipwa posho za kiwaziri?
Ndio tunachukua.
 
Mbunge akiteuliwa kuwa Waziri, jee anaendelea kuchukua posho zake za kibunge?

Akiwa bungeni na yeye anachukua "Sitting allowances" kama wabunge wengine?

Wakati akichukua posho za kibunge, atakuwa pia analipwa posho za kiwaziri?

Mbunge akiteuliwa kuwa Waziri, jee anaendelea kuchukua posho zake za kibunge?

Akiwa bungeni na yeye anachukua "Sitting allowances" kama wabunge wengine?

Wakati akichukua posho za kibunge, atakuwa pia analipwa posho za kiwaziri?
Jibu ni ndiyo na wapo na wengine kama mwanasheria mkuu wa serikali
 
Imebidi nicheke tu, kichwa kimebeba nini comrade? Kuna ubongo kweli ndani?
Gentleman,
ni muhimu maslahi zaidi yakaongezwa kwa wazalendo hao muhimu waliobeba dhamana nzito na muhimu sana kwa maslahi mapana ya waTanzania wote ๐Ÿ’
 
Mbunge akiteuliwa kuwa Waziri, jee anaendelea kuchukua posho zake za kibunge?

Akiwa bungeni na yeye anachukua "Sitting allowances" kama wabunge wengine?

Wakati akichukua posho za kibunge, atakuwa pia analipwa posho za kiwaziri?
Ndio....

Waziri nae ni mbunge...
 
Back
Top Bottom