Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
Na huku wakiibia nchi p1 na maslahi lukuki wanayoyapataGentleman,
ni muhimu sana maslahi ya mawaziri kuimarisha na kuzingatiwa mara kwa mara bila chuki, ili hatimae kuchochea ufanisi wa kazi na majukumu ya kitaifa kwa maslahi mapana ya waTanzania wote [emoji205]