Mtu akiwa Waziri anaendelea kuchukua posho za kibunge?

Mtu akiwa Waziri anaendelea kuchukua posho za kibunge?

Anachomaanisha ili kufidia pengo litakalotokea kwa Marekani kusitisha misaada Serikali haitapunguza marupurupu ya hao wabunge na mawaziri badala yake ni wananchi wa kawaida ndiyo wataongezewa Kodi.
Kwani ni kiasi gani kinakuja Tanzania katika msaada wa USAID? Na je! Kuna sekta bajeti ya Tanzania inategemea misaada hii ya nchi za jumuiya? Amref TACAIDs UNICEF UNHCR au hyo USAID?
Nauliza ili nijue kwamba USAID inafanya wabunge walipwe kiasi chao current.

Kuhint uchache nafahamu ni budget ya USA federal ni 6.3 trilion dollar. Na inatumia kati ya 0.6% ya budget hiyo kila mwaka kwenda USAID. sasa kwenye hizi Tanzania inaingia kiasi gani. Na budget yetu ni 49.3 trilioni tu ya madafu.
Nawakilisha kuelekezwa boss.
 
My friends, ladies and gentlemen,

kwa kuzingatia dhamana za nchi walizobeba mawaziri kwa niaba ya Taifa, na kwa kuzingatia kazi na majukumu mazito waliyonayo kwa maslahi mapana ya waTanzania wote,

ni muhimu sana immunities na previlagies zao hususan kwenye suala la shekeli zikaangaliwa vyema, kuongezwa na kuboreshwa zaidi ili kuongeza spirit of working na comfortability katika kuwatumikia wananchi na waTanzania wote 🐒
Wanyonyaji nyie
 
Mbunge akiteuliwa kuwa Waziri, jee anaendelea kuchukua posho zake za kibunge?

Akiwa bungeni na yeye anachukua "Sitting allowances" kama wabunge wengine?

Wakati akichukua posho za kibunge, atakuwa pia analipwa posho za kiwaziri?
Funguka tu.

Nani huyo?
 
Na dereva wake anachukuwa zote kama dereva wa mbunge na waziri au inakuwaje hapo
 
Na dereva wake anachukuwa zote kama dereva wa mbunge na waziri au inakuwaje hapo
Ila kwa dereva na gari nadhani huwa anachukuliwa vya ofisi ya wizara husika labda mhe akupigie chapuo uende nae wizarani na ikitokea dereva anakula zote
 
Gentleman,
ni katika kuongeza spirit of work na kuimarisha utendaji wa waandamizi hao wa serikali kuu kwa umma 🐒
Ulivyotype unaweza hisi umemaanisha kumbe ni utapeli mtupu. Wanyonyaji nyie na wajali maslahi yenu.
 
Ulivyotype unaweza hisi umemaanisha kumbe ni utapeli mtupu. Wanyonyaji nyie na wajali maslahi yenu.
relax gentleman,
wenye kazi na majukumu ya kitaifa ni muhimu sana maslahi yao kuzingatiwa ukilinganisha na uzito wa dhamana walizobeba kwa maslahi mapana ya waTanzania wote 🐒
 
Mbunge akiteuliwa kuwa Waziri, jee anaendelea kuchukua posho zake za kibunge?

Akiwa bungeni na yeye anachukua "Sitting allowances" kama wabunge wengine?

Wakati akichukua posho za kibunge, atakuwa pia analipwa posho za kiwaziri?
Kwani waziri sio mbunge ?
 
Mbunge akiteuliwa kuwa Waziri, jee anaendelea kuchukua posho zake za kibunge?

Akiwa bungeni na yeye anachukua "Sitting allowances" kama wabunge wengine?

Wakati akichukua posho za kibunge, atakuwa pia analipwa posho za kiwaziri?
Anaendelea kuwa mbunge
 
My friends, ladies and gentlemen,

kwa kuzingatia dhamana za nchi walizobeba mawaziri kwa niaba ya Taifa, na kwa kuzingatia kazi na majukumu mazito waliyonayo kwa maslahi mapana ya waTanzania wote,

ni muhimu sana immunities na previlagies zao hususan kwenye suala la shekeli zikaangaliwa vyema, kuongezwa na kuboreshwa zaidi ili kuongeza spirit of working na comfortability katika kuwatumikia wananchi na waTanzania wote [emoji205]
Hongera chawa mkuu
 
Mzee baba: Mbunge akiwa Waziri ubunge na maslahi havikomi. Ukiwa waziri na ukaenda kwenye kikao cha madiwani kwenye jimno lako ambalo wewe ni Mjumbe unalipwa. Pale Bungeni anakula Sitting allowance ya Bunge na anakula Sitting allowance ya Uwaziri (Analipwa bungeni na barazani kwa kikao hicho hicho.

Waziri akiwa bungeni analipwa kwa uwaziri wake na kwa ubunge wake, yupo kazini pale kama ilivyo kwa Mwanasheria Mkuu (AG).

To make a story short: Ukiwa mbunge+waziri. Maslahi yote ya Ubunge na benefits zake zote unapata. Ni kofia mbili zile na zina double payment. Bunge na Baraza la Mawaziri ni separate legal entities.

My take: Politics pays handsomely. Gombeeni ubunge 2025 vijana mle keki ya taifa hili la wajinga (mimi nikiwemo).
Hahahah!!!!unadhn kwann mpaka uchawi unatumika ktk kuusaka ukubwa
 
Back
Top Bottom