Mtu anatekwa Stendi ya Magufuli huku watu wanaangalia? Wananchi tunatakiwa kujitafakari, imekuaje tumekuwa mazombi hivi?

Mtu anatekwa Stendi ya Magufuli huku watu wanaangalia? Wananchi tunatakiwa kujitafakari, imekuaje tumekuwa mazombi hivi?

Hali imefika hapa ilipo kwa uwoga wa wananchi wenyewe, umoja kwenye mambo ya kijinga , lakini mambo serious ahhh
 
Dah! Yule jamaa Hamza anastahili pongezi nyingi sana kwa ule ujasiri wake. Maana siku zote dawa ya moto ni moto tu.
 
Siku ukionyeshewa Bomba la bunduki usoni huku wewe ukiwa huna silaha aina ya bunduki utakuja kufuta huu ushuzi wako hapa
 
Wakuu,

Mtu wa pili huyu anatekwa sehemu ambayo kuna watu na hakuna kitu raia tunafanya? Tunasubiri apotee ndio tuje mtandaoni kuanza kulaani na kulisema Jeshi la Polisi, Samia na Serikali yake?!

Pia soma: Breaking News: - Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulika katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli

Wana Dar tuna nini? Ndio hatuna umoja kiasi hiki? Hili jambo lingetokea Chuga au sehemu nyingine wangekiwasha hadi kieleweke, na ijulikane hao watu ni akina nani. Walau hata kwa Bonge walijiongeza tukio likarekodiwa, huko watu wamekaa tu kama ndezi.

Wamejaribu kwa bonge wakaona jinsi watu hatuna umoja, leo wakaenda kwa chembamba wamprove kuwa wananchi tupo tupo tu!

Kwanini lakini tunakuwa mazombi hivi?
Cute Wife taarifa za awali nadhani unazo. Ebu nenda pale stendi upate a b c za kutosha ukinukishe. Isiwe wa kulalamikia wenzako tu!
 
Tulia uelezee vizuri tukio lilikuaje, unavyoelezea ni kama vile na wewe ulikuepo eneo la tukio, umeshindwa kuchukua hata video au picha?

Mbona Uzi upo unaoelezea kila kitu. Utafute ukausome
 
Ila Dar waoga Sana. Ukiangalia Kuanzia kutekwa kwa Mzee Ally Kibao mpaka kwa Tarimo utaona watu wa dar Wana shida.
 
Wakuu,

Mtu wa pili huyu anatekwa sehemu ambayo kuna watu na hakuna kitu raia tunafanya? Tunasubiri apotee ndio tuje mtandaoni kuanza kulaani na kulisema Jeshi la Polisi, Samia na Serikali yake?!

Pia soma: Breaking News: - Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulika katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli

Wana Dar tuna nini? Ndio hatuna umoja kiasi hiki? Hili jambo lingetokea Chuga au sehemu nyingine wangekiwasha hadi kieleweke, na ijulikane hao watu ni akina nani. Walau hata kwa Bonge walijiongeza tukio likarekodiwa, huko watu wamekaa tu kama ndezi.

Wamejaribu kwa bonge wakaona jinsi watu hatuna umoja, leo wakaenda kwa chembamba wamprove kuwa wananchi tupo tupo tu!

Kwanini lakini tunakuwa mazombi hivi?
Ni vizuri haya mambo yatokee, labda yakitokea kila siku ili wananchi watazinduka.
 
Back
Top Bottom