Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ubarikiwe. Umenifungua sana machoKwa sababu hilo jengo limejengwa iringa haimaanishi jengo linaweza jengwa sehem yeyote hapa duniani.
Kinacho detarmine sustainability ya jengo sio "limesha wahi kujengwa iringa" bali ni nature ya udongo pamoja structural design iliyo fanywa na injinia (namaanisha injinia sio fundi wa mtaani).
Ni kweli mkuu. AsanteUnasema uzoezi je ni uzoefu gani na wa nani?
Na huo uimara wa kuta ya chini unaupimaje ili kukiridhisha ni imara? Unaweza kutupa kipimo chake ili na sisi tujue ni imara?
Je hiyo nguzo kutoka chini inatofauti gani na ujenzi kwa kutumia columns?
Ujue unapojenga nyumba ya kuishi watu unaongelea uhai wa watu mkuu!!
Ni ghorofa hilo?Wahandisi tupeni miongozo
Mimi naona inawezekana hili Jengo lilijengwa na Wajerumani mwaka 1916 mpaka leo lipo.
Iringa Boma.
View attachment 2035113
Mim makubaliano na mapendekezo yako kwamba kila ujenzi lazima mtalaamu ahusishwe ktk hatua zote muhimu kutokana aina ya jengo na eneo linakojengwa .Ni kwel tofali zinaweza kujenga mpaka ghorofa 4 to maximum ili mradi tu wazingatie ubora wa materials na aina ya udongo .mfano mzuri ni ghorofa polisi ufundi kilwa road dsm na Jeshi pale mwenge.Shida sio ghorofa tatu hata 10 wenda ukajenga! Swali ni je kuna scientific/engineering logic behind hilo jibu?
Na ndio mana kwenye posti yangu ya awali nilimshauri ajiridhishe hilo kutoka kwa injinia!
Maana siku hilo ghorofa likianguka tujue tunaanzia wapi sio aje atuambie aliambiwa ajenge tu bila colums!
Tofautisha ghorofa na nyumba zilizobebana! Pale Goba walijenga nyumba zilizobebana wakadhani wanajenga ghorofa!Samahanini wadau naomba kujua hivi kujenga gorofa bila kusimamisha nguzo za zege zile. Uimara wake ukoje?
Engineer anadai kwa aina ya udongo ukiwa na matofali imara yakajengwa kwa kulaza inatosha.
Ni kweli inaweza kuwa imara? Eneo ni tambarare.
Naombeni mawazo yenu
Cha kwanza ulicho feli ni kuamini katika degree hapo ndipo ulipo feli na nikaudharau uzi wako wote na ujuzi wako wa kwenye madaftari.1. Huyo injinia umejiridhisha ni injinia kweli?
Maana siku hizi hata darasa la saba au watu wenye diploma za ujenzi wanajiita mainjinia. Kujirisha mwambie akupe muhuri wake wa ERB kama asipokupa mwambie cheti na uhakikishe kiwe cha degree ya civil engineering.
2. Je hilo jengo ghorofa ngapi?
3. Je kuna structural analysis yeyote aliyo fanya ili kuthibitisha anachosema? Kama anayo amekupa? Je kama amekupa ina muhuri wa mhandisi aliye sajiliwa na bodi ya wahandisi Tanzania?
4. Je huyo injinia wako alikushauri ufanye soil analysis ili kujua nature ya udongo kabla hajaja na hilo jibu alilo kupa?
Naomba nijibu maswali yote ili tuendelee.
Wewe umejibu kitaalam kabisa 100%Unaweza kujenga, ila tu inabidi ulaze tofari na hizo tofari unazolaza inabidi ziwe na compression strength ya 4.5 yaani (atleast mfuko mmoja wa cement 42.5 itoe tofari 25) ambapo tofari moja uwa ni Tsh 1800 ziwe cured na zimekaa siku 21 tokea kufyatuliwa, usitumie tofari ya Tsh 1000/1200. Pia hapo hapo partitions za vyumba vya chini visizidi span ya mita 4 bila kuwa na ukuta.
Kuongezea tu hapa, ghorofa bila nguzo zinaitwa kitaalamu (load bearing structures) na zile za nguzo zinaitwa (frame structures). Ni vizuri kujiridhisha kwa kusoma na kuwafata wataalaam na sio washinda katika mitandao
Kwa jengo la gorofa moja hakuna tatizo. Isipokuwa uzingatie uimara wa tofali na msingi. Pia nguzo baadhi ya sehemu zenye uwazi mpana jengo la chini au ground floor zinatakiwa ili kuweka uimara wa jengo la juu.Samahanini wadau naomba kujua hivi kujenga gorofa bila kusimamisha nguzo za zege zile. Uimara wake ukoje?
Engineer anadai kwa aina ya udongo ukiwa na matofali imara yakajengwa kwa kulaza inatosha.
Ni kweli inaweza kuwa imara? Eneo ni tambarare.
Naombeni mawazo yenu
Salaam
Naombeni msaada kuhusu hizo nguzo za geti.
Naambiwa na kijana wa zege kuwa wakati fundi anajenga hapo hizo nguzo kuwa hawakuchimba msingi mrefu kwenda chini na hana hakika kama waliweka kitako chini.
Bahati mbaya fundi alikimbia kabla ya kazi kukamilika na pia hapatikani kwa simu.
Sasa naombeni msaada wa kitaalamu hapo nifanye nini??
Je nivunje hizo nguzo zisukwe upya ama tufanyie ukarabati ili kuweza kuziimarisha hizo nguzo.
Mimi nipo mbali nashindwa kusimamia kwa ukaribu ujenzi.
Tafadhali naomba maoni yenu ya kitaalamu
Trendz
Upepo wa Pesa Equation x
View attachment 2067495
Kuna perception 2 hapa.Samahanini wadau naomba kujua hivi kujenga gorofa bila kusimamisha nguzo za zege zile. Uimara wake ukoje?
Engineer anadai kwa aina ya udongo ukiwa na matofali imara yakajengwa kwa kulaza inatosha.
Ni kweli inaweza kuwa imara? Eneo ni tambarare.
Naombeni mawazo yenu
Ahsante mkuu TrendzKazi ya nguzo (column) ni kusafirisha loads(mzigo) kwenda ktk ground na kazi ya kitako (Footing) ni kupunguza presha ya udongo inayotokana na mzigo uliobebwa juu.
1. Nguzo zako hazina mzigo wowote uliobebwa juu
2.Kuna aina tofauti za columns na sio kila column lazima iwe na footing.
3. Ukiangalia vizuri ktk picha umetuma kuna beam iliungwa na nguzo ya geti inamaana geti lako halitacheza.
4. Kwa rangi ya udongo wako ninaoona hapo yani wala usipate stress sana kuwa zitadondoka labda tu hiko kibonde kiwe kina erosion hapo utakuwa na tatizo.
Kwa ushauri soma Vizuri nilichoandika number 3
View attachment 2068574
Ila hata hizo tofali za kuchoma dio hizi za USWAHILINI labda ziwe kana ziler ZA NYANKALI - DODOMAAcha kucomplicatisha maisha, unahitaji detailed structural analysis umetoa hela??
Mtu kauliza amejibiwa shida iko wapi??
Anyways, Hakuna shida, mimi ni engineer tena structural na nina muhuri kabisa wa ERB.
Nasema hivi, INAWEZEKANA TENA BILA SHIDA YEYOTE KUJENGA JENGO HATA LA GHOROFA TATU BILA KUTUMIA COLUMNS.
Ukiwa na tofari za kuchoma itakuwa nzuri zaidi kuliko hizi za block za mtaani.
Maana tofari za kuchoma constantly zina bearing capacity kubwa ukilinganisha na za block ambazo nyingi ni za michongo
Hili jengo sio ghorofa....ni muundo tu.Wahandisi tupeni miongozo
Mimi naona inawezekana hili Jengo lilijengwa na Wajerumani mwaka 1916 mpaka leo lipo.
Iringa Boma.
View attachment 2035113