Mtu hatoki ndani asubuhi hadi jioni lakini analipa kodi na bills zote kwa wakati

Mtu hatoki ndani asubuhi hadi jioni lakini analipa kodi na bills zote kwa wakati

Biashara zinafanyika online, personal nauza VFD, nafanya marketing online, nauza online nalipwa online, nawaunganisha wateja online nalipwa online nalipa mawakala online, inshort silazimiki kutoka nyumbani
Hili ndio jibu,tatizo la Wabongo wanataka kila mtu awe anakimbizana tu kwenda maofisini asubuhi. Mbona kuna wazee wa Pwani unakuta ana ngalawa mbili na shamba la minazi,hizo ngalawa anakodisha na nazi anauza lakini yeye muda mwingi yupo kucheza bao na kunywa kahawa,wengine wanatembea na kazi mkononi na kichwani. Asipokuelewa hapa basi akapimwe akili
 
Nimewahi panga Nyumba fulani hivi kuna jamaa alikuwa anashinda chumbani asubuhi hadi jioni na anakula vzuri anapendeza na analipa bills zote bila usumbufu hadi majirani na wapangaji wenzie hususani wanawake walikuwa wakihisi labda anajihusisha na uuzaji madawa au ndo wale wa ile pesa tuma kwa namba hii..
Hii imekaaje wadau
Ulpanga maeneo gan??
 
mimi mwaka wa 3 huu kwa mwezi natoka kwenda job mara mbili tuu, sijui majirani wanazungunzaje ila working from home ni kitu cha kawaida sana kwa ulimwengu huu kwa technologia
 
Acha umbea si ungemuuliza, hujui ulimwengu wa sasa watu wanatembea na ofisi?
 
N

Mkuu natamani nipate kazi ya hivi
Dunia imebadilika Ili upate hela mtandaoni unatakiwa uwe na ujuzi wowote ule.
Mfano. Blogging, mwalimu, daktari, msanifu majengo n.k
Sehemu ni nyingi za kuweka ujuzi wako km youtube, x, facebook, website, blog au telegram.
Kama hauna ujuzi, jifunze maana wanaokupa hela ni watu halisi baada ya kutatua matatizo yao.
 
Dunia imebadilika Ili upate hela mtandaoni unatakiwa uwe na ujuzi wowote ule.
Mfano. Blogging, mwalimu, daktari, msanifu majengo n.k
Sehemu ni nyingi za kuweka ujuzi wako km youtube, x, facebook, website, blog au telegram.
Kama hauna ujuzi, jifunze maana wanaokupa hela ni watu halisi baada ya kutatua matatizo yao.
Kwahapa tanzania hawafiki asilimia 5 wakulala tu hom bila kuondoka
 
Nimewahi panga Nyumba fulani hivi kuna jamaa alikuwa anashinda chumbani asubuhi hadi jioni na anakula vzuri anapendeza na analipa bills zote bila usumbufu hadi majirani na wapangaji wenzie hususani wanawake walikuwa wakihisi labda anajihusisha na uuzaji madawa au ndo wale wa ile pesa tuma kwa namba hii..
Hii imekaaje wadau
unataka ujue imekaaje ili uikalie au fanya maisha yako mleta mada
 
Kwahapa tanzania hawafiki asilimia 5 wakulala tu hom bila kuondoka
Kuna njia zaidi ya bilion za kupata pesa duniani na kila siku zinazidi kuongezeka
Huo muda wa kumchunguza mwenzako unaupata wapi? Siku zote ukijipata usikae uswahilini ndiyo matokeo yake haya.
Mimi walikuwa wanamuuliza shemeji yako, mimi nafanya kazi gani. Nalipa umeme, maji, kodi na nipo ndani. Hata ukijua nafanya kazi gani itakusaidia nini?
 
Majiran lazima mnajuana ata kama n biashara ya mtandaoni au anafanya kaz nyumban lazima mngejua huyo atakuwa muuza madawa au jambaz
sasa kama lazima mngenua umeshindwaje kujua kama ni jambazi au muuza madawa..... mbona una hisi tu huna uhakika
 
ukipanga nyumba moja na mtu kama mleta mada unaweza mla mareender kizembe tu maana atataka kukujua hapo ndipo unamkribisha kajuice kana dozi akisinzia unamkakasa mareender yote
 
Nimewahi panga Nyumba fulani hivi kuna jamaa alikuwa anashinda chumbani asubuhi hadi jioni na anakula vzuri anapendeza na analipa bills zote bila usumbufu hadi majirani na wapangaji wenzie hususani wanawake walikuwa wakihisi labda anajihusisha na uuzaji madawa au ndo wale wa ile pesa tuma kwa namba hii..
Hii imekaaje wadau
Aisee huwezi kuishi ulaya hata wiki kwa tabia hiyo ya kufuatilia ya watu wanaishije,wanapataje kipato nk....fanya mambo yako
 
Nimewahi panga Nyumba fulani hivi kuna jamaa alikuwa anashinda chumbani asubuhi hadi jioni na anakula vzuri anapendeza na analipa bills zote bila usumbufu hadi majirani na wapangaji wenzie hususani wanawake walikuwa wakihisi labda anajihusisha na uuzaji madawa au ndo wale wa ile pesa tuma kwa namba hii..
Hii imekaaje wadau
na Uhakika huyo anafanya Betting na anakula mahela
 
Majirani bhana kipindi cha nyuma niliwahi dhaniwa me ni TWISS kisa navaa suti na kaunda.kilicho wamaliza kabsa ni jirani mmoja ali niona naongea na mkuu wa mkoa akajua baaasi, Kumbe gaidi nilienda kulia shida zangu
Twiss du
 
Pole ndugu kwa kuwa nyuma kiasi hiki dunia ya leo ipo kidigitali hivyo sio lazima mtu atoke aende kupatia riziki nje ya anapoishi, binafsi nimewahi fanya kazi miaka miwili nyumbani sikuwa natoka hata kila kitu namalizia online, na kama kuna vya kufuatilia physically ilikuwa natuma watu/mtu.
Safi sana hii, I did it for 3 years back then.
 
Fanya mambo yako acha kufuatilia maisha ya watu

Ebo! Mswahili sana wew!
 
Back
Top Bottom