Mtu hatoki ndani asubuhi hadi jioni lakini analipa kodi na bills zote kwa wakati

Mtu hatoki ndani asubuhi hadi jioni lakini analipa kodi na bills zote kwa wakati

Kawaida kuna jamaa yangu yeye hupokea buku jero buku mbili kwa siku hapati chini ya 50k.Anatumia simu tu yaani
 
Alikuwa anapokea mgao wa kodi kutoka fremu za kupanga za urithi huko Kariakoo.
 
Nimeishi maisha ya hivyo huu ni mwaka wa 4 hadi nimekuja kupata ajira rasmi mwaka huu.
Wabongo wengi hasa uswahilini ni wajinga wengine hawana maarifa wanajua kazi lazima uhenyeke viwandani, vibarua vya ujenzi nakuuza mbogamboga.
Kuna fursa nyingi mtandaoni ni ujanja wako tuu.
Mtu unakuta ananunua bando badala kutafuta fursa za kipato na maarifa anamaliza bando lote ticktok na instagram
 
Nimewahi panga Nyumba fulani hivi kuna jamaa alikuwa anashinda chumbani asubuhi hadi jioni na anakula vzuri anapendeza na analipa bills zote bila usumbufu hadi majirani na wapangaji wenzie hususani wanawake walikuwa wakihisi labda anajihusisha na uuzaji madawa au ndo wale wa ile pesa tuma kwa namba hii..
Hii imekaaje wadau
KWANINI USIMFWATE AKAKUFILA UKAACHA SHOBO KWA WANAUME WENZAKO
 
Nimewahi panga Nyumba fulani hivi kuna jamaa alikuwa anashinda chumbani asubuhi hadi jioni na anakula vzuri anapendeza na analipa bills zote bila usumbufu hadi majirani na wapangaji wenzie hususani wanawake walikuwa wakihisi labda anajihusisha na uuzaji madawa au ndo wale wa ile pesa tuma kwa namba hii..
Hii imekaaje wadau
Watu wa forex hao.
 
Back
Top Bottom