Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba mbinu hizi ndugu yanguInaitwa "working from home". Ni kawaida sana kwa dunia ya leo.
Amekariri huyo hajui kuwa kuna mtu yupo Tegeta ila anafanya kazi New York Marekani, mwingine yupo Lushoto ila anafanya kazi Geneva Uswizi ndo working station zao! na watu kama hawa ndo wamejaa serikalini na taasisi za umma ndiyo maana nchi haiendelei hii maana kuna watu akili zao ni za zama za mawe. Na cha kufurahisha ni kwamba hawa ambao wanawork from home aisee wengi wapo very disciplined, very time conscious na wanadeliver kinoumeerMpaka leo akili yako inajua kazini ni kwenda kubeba mizigo na (kwa waliopo Dar) ofisini ni lazima uende mjini/Posta!?
Tafuta kazi kwenye taasisi/makampuni/mashirika za/ya kimataifa zipo nyingi za kuwork from home, kazi kama hizi huwezi zikuta utumishi!Naomba mbinu hizi ndugu yangu
Naomba madini hapo mkuuKwani hujui kuna watu wanajua kona zote kuhusu Biashara Online..
Jifunze uiweze,jipe muda Online pesa zipo ni wewe tu ujue namna ya kuzipata
Vipi haja zakoBiashara zinafanyika online, personal nauza VFD, nafanya marketing online, nauza online nalipwa online, nawaunganisha wateja online nalipwa online nalipa mawakala online, inshort silazimiki kutoka nyumbani
Toeni maelekezo hizo kazi zinapatikana wapi vijana wengine nao wafanyeView attachment 3053787mkuu watu tukiwa ndani tunakuwa busy kuliko walio nje sometimes. Hapo ni malipo yangu ya kazi nlizofanya mwezi wa saba leo asubuhi ndio nimepokea email kuwa yamekuwa processed. Kwasababu leo ni weekend bila shaka yatasoma crdb jumanne.
Jirani akiona umebadili gari anahisi una chuma ulete. Hatutoki ndani kwa sababu tuko busy.
Mtandaoni mkuu ni kujitengenezea skills na kupata clients wanaokuaminiToeni maelekezo hizo kazi zinapatikana wapi vijana wengine nao wafanye
Nchi ina vijana waliojizeekea mapema sanaAmekariri huyo hajui kuwa kuna mtu yupo Tegeta ila anafanya kazi New York Marekani, mwingine yupo Lushoto ila anafanya kazi Geneva Uswizi ndo working station zao! na watu kama hawa ndo wamejaa serikalini na taasisi za umma ndiyo maana nchi haiendelei hii maana kuna watu akili zao ni za zama za mawe. Na cha kufurahisha ni kwamba hawa ambao wanawork from home aisee wengi wapo very disciplined, very time conscious na wanadeliver kinoumeer
Sasa kama hatoki ndani hayo madawa anayauzaje?Nimewahi panga Nyumba fulani hivi kuna jamaa alikuwa anashinda chumbani asubuhi hadi jioni na anakula vzuri anapendeza na analipa bills zote bila usumbufu hadi majirani na wapangaji wenzie hususani wanawake walikuwa wakihisi labda anajihusisha na uuzaji madawa au ndo wale wa ile pesa tuma kwa namba hii..
Hii imekaaje wadau
Dunia imebadilika na covid ndio kabisaBiashara zinafanyika online, personal nauza VFD, nafanya marketing online, nauza online nalipwa online, nawaunganisha wateja online nalipwa online nalipa mawakala online, inshort silazimiki kutoka nyumbani
Msikariri maishaAlikuwa anagawa BOGA kwa masela / WAHUNI.
Huu ndio utamu wa demokrasia. Unakula kiulaini bila jasho.
Unachopaswa kufanya ni kufungua BOGA LAKO na kulitumia kikamilifu (EFFECTIVE UTILIZATION).
Cc: Lamomy Poor Brain Extrovert Mzee wa kupambania mshamba_mwingine dronedrake Yohimbe bark