Mtu hatoki ndani asubuhi hadi jioni lakini analipa kodi na bills zote kwa wakati

Mtu hatoki ndani asubuhi hadi jioni lakini analipa kodi na bills zote kwa wakati

Nimewahi panga Nyumba fulani hivi kuna jamaa alikuwa anashinda chumbani asubuhi hadi jioni na anakula vzuri anapendeza na analipa bills zote bila usumbufu hadi majirani na wapangaji wenzie hususani wanawake walikuwa wakihisi labda anajihusisha na uuzaji madawa au ndo wale wa ile pesa tuma kwa namba hii..
Hii imekaaje wadau
Watu wanafanya kazi online na malipo anapokea kwa mobile money
 
Hii lifestyle nimeishi sana

Nilikuwa na bodaboda 17, kuku wa kufuga nilianza nao 300. Plus I also make money kwa kazi zangu ambazo nilizifanya five years ago online

People still talk about it. Wanahisi nina hela za majini hususani wakikumbuka nilivyokuwa nanunua maroba makubwa wakijua ya Michele kumbe pumba za kuku

Tengeneza maisha yako uwe unapiga hela usingizini.
 
Mimi mwenyewe mda mwingi nipo ndani mda wote jumatatu to jumapili saa 11 natoka naenda kwenye pooltable narudi saa 5 usiku.

Nakula hela ya mtaji niliopewa huku natafuta kazi, nikikosa ajira nitaanza kuuza odds za uhakika.
Nb.
Usisikilize wakamaria waliofeli tuulize sisi odds za uhakika tunazo.
 
Mimi pia natamani sana nirudi katika mishe za work from home. Sema majukumu ya familia kidogo yanabana. Work from home inafanywa na watu wenye akili zao, ila hawa wenye mawazo ya kibongobongo hawawezi elewa kama mleta mada.
 
Nimewahi panga Nyumba fulani hivi kuna jamaa alikuwa anashinda chumbani asubuhi hadi jioni na anakula vzuri anapendeza na analipa bills zote bila usumbufu hadi majirani na wapangaji wenzie hususani wanawake walikuwa wakihisi labda anajihusisha na uuzaji madawa au ndo wale wa ile pesa tuma kwa namba hii..
Hii imekaaje wadau
Trading inalipa vibaya sana ukiijulia limekua shamba la vijana wa mjini sasa hivi watu wanahitaji internet na laptop au imac vijana wanapiga kazi Sasa hivi watu wanakaa geto tu
 
Nimewahi panga Nyumba fulani hivi kuna jamaa alikuwa anashinda chumbani asubuhi hadi jioni na anakula vzuri anapendeza na analipa bills zote bila usumbufu hadi majirani na wapangaji wenzie hususani wanawake walikuwa wakihisi labda anajihusisha na uuzaji madawa au ndo wale wa ile pesa tuma kwa namba hii..
Hii imekaaje wadau
Pole ndugu kwa kuwa nyuma kiasi hiki dunia ya leo ipo kidigitali hivyo sio lazima mtu atoke aende kupatia riziki nje ya anapoishi, binafsi nimewahi fanya kazi miaka miwili nyumbani sikuwa natoka hata kila kitu namalizia online, na kama kuna vya kufuatilia physically ilikuwa natuma watu/mtu.
 
Dunia imebadilika sana tofauti na zamani enzi za kubeba briefcase na makaratasi kibao. Siku hizi kuna remote jobs ambazo hazihitaji uwepo physically ofisini. Zinataka udeliver kazi uliyopewa within time frame uliyopewa ukimaliza unakula pesa yako safi. Kwa bongo, kulikua na UpWork na wadau wamepiga sana kazi from home.View attachment 3053760
zinapatikana vp
 
Biashara zinafanyika online, personal nauza VFD, nafanya marketing online, nauza online nalipwa online, nawaunganisha wateja online nalipwa online nalipwa mawakala online, inshort silazimiki kutoka nyumbani
Nafanya kazi na watu ambao kwa kipindi cha mwaka mzima wanakuja ofisini mara moja/mbili sometime haji kabisa dunia imebadilika sana
 
Nimewahi panga Nyumba fulani hivi kuna jamaa alikuwa anashinda chumbani asubuhi hadi jioni na anakula vzuri anapendeza na analipa bills zote bila usumbufu hadi majirani na wapangaji wenzie hususani wanawake walikuwa wakihisi labda anajihusisha na uuzaji madawa au ndo wale wa ile pesa tuma kwa namba hii..
Hii imekaaje wadau
Mpaka leo akili yako inajua kazini ni kwenda kubeba mizigo na (kwa waliopo Dar) ofisini ni lazima uende mjini/Posta!?
 
Nimewahi panga Nyumba fulani hivi kuna jamaa alikuwa anashinda chumbani asubuhi hadi jioni na anakula vzuri anapendeza na analipa bills zote bila usumbufu hadi majirani na wapangaji wenzie hususani wanawake walikuwa wakihisi labda anajihusisha na uuzaji madawa au ndo wale wa ile pesa tuma kwa namba hii..
Hii imekaaje wadau
Ndio mimi
 
Back
Top Bottom