Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kweli hata mimi huenda majiran zangu wanahisi hivi. Mimi hutoka nyumbani jumamos na jumapili kula mema ya nchi. Siku zilizobak niko home full time labda nitoke kwa dharura. Kuna kazi zinafanyika remotelyNimewahi panga Nyumba fulani hivi kuna jamaa alikuwa anashinda chumbani asubuhi hadi jioni na anakula vzuri anapendeza na analipa bills zote bila usumbufu hadi majirani na wapangaji wenzie hususani wanawake walikuwa wakihisi labda anajihusisha na uuzaji madawa au ndo wale wa ile pesa tuma kwa namba hii..
Hii imekaaje wadau
Kwani hujui kuna watu wanajua kona zote kuhusu Biashara Online..Nimewahi panga Nyumba fulani hivi kuna jamaa alikuwa anashinda chumbani asubuhi hadi jioni na anakula vzuri anapendeza na analipa bills zote bila usumbufu hadi majirani na wapangaji wenzie hususani wanawake walikuwa wakihisi labda anajihusisha na uuzaji madawa au ndo wale wa ile pesa tuma kwa namba hii..
Hii imekaaje wadau
Nimewahi panga Nyumba fulani hivi kuna jamaa alikuwa anashinda chumbani asubuhi hadi jioni na anakula vzuri anapendeza na analipa bills zote bila usumbufu hadi majirani na wapangaji wenzie hususani wanawake walikuwa wakihisi labda anajihusisha na uuzaji madawa au ndo wale wa ile pesa tuma kwa namba hii..
Hii imekaaje wadau
umenikumbusha. kuna wakati nimeishi maisha hayoHajakuelewa rudia tena tafadhari!
Wabongo wamezoea kazi za jasho na ile sifa ya kuonekana unatoka asubuhi na kurudi usiku. Hata kama hurudi na kitu utaonekana bora kwao.
mnakariri ujinga.Anafanya Forex wazee wa ku download money
YeahBiashara zinafanyika online, personal nauza VFD, nafanya marketing online, nauza online nalipwa online, nawaunganisha wateja online nalipwa online nalipwa mawakala online, inshort silazimiki kutoka nyumbani
Mkuu nipe njia unaifanyaje hiyoBiashara zinafanyika online, personal nauza VFD, nafanya marketing online, nauza online nalipwa online, nawaunganisha wateja online nalipwa online nalipwa mawakala online, inshort silazimiki kutoka nyumbani
mkuu hao uliowatag ndio effective utilization..??? sijaelewa😂Alikuwa anagawa BOGA kwa masela / WAHUNI.
Huu ndio utamu wa demokrasia. Unakula kiulaini bila jasho.
Unachopaswa kufanya ni kufungua BOGA LAKO na kulitumia kikamilifu (EFFECTIVE UTILIZATION).
Cc: Lamomy Poor Brain Extrovert Mzee wa kupambania mshamba_mwingine dronedrake Yohimbe bark