The introvert
JF-Expert Member
- Sep 15, 2023
- 701
- 1,522
Tupeane fursa mkuu, mwaga nondo na sisi wengine tujaribu, mfano mimi ni graphic designer lakini sijui namna ya kupata online jobs. Ujuzi ninao nilichokosa ni fursaKuna njia zaidi ya bilion za kupata pesa duniani na kila siku zinazidi kuongezeka
Huo muda wa kumchunguza mwenzako unaupata wapi? Siku zote ukijipata usikae uswahilini ndiyo matokeo yake haya.
Mimi walikuwa wanamuuliza shemeji yako, mimi nafanya kazi gani. Nalipa umeme, maji, kodi na nipo ndani. Hata ukijua nafanya kazi gani itakusaidia nini?
😀😀ukipanga nyumba moja na mtu kama mleta mada unaweza mla mareender kizembe tu maana atataka kukujua hapo ndipo unamkribisha kajuice kana dozi akisinzia unamkakasa mareender yote
CodedTwiss du
Halafu kuna wewe gen z ambaye wazazi wako wanekutimua kwenu na kukuambia ujitegemee bila mtaji wala ajiraKawaida hiyo. Kuna jamaa namjua amepanga na huwezi kumuona akifanya kazi kutwa yupo na fortuner new model na bebz kama wote kumbe wazazi wake walivyofariki walimuachia ghorofa kariakoo kazi yake ni kupokea kodi na kufanyia marekebisho.
Cc : ephen_
Anadownload mapesa kupitia forex,acheni kufuatiria maisha ya watu mtalogwa bure.Nimewahi panga Nyumba fulani hivi kuna jamaa alikuwa anashinda chumbani asubuhi hadi jioni na anakula vzuri anapendeza na analipa bills zote bila usumbufu hadi majirani na wapangaji wenzie hususani wanawake walikuwa wakihisi labda anajihusisha na uuzaji madawa au ndo wale wa ile pesa tuma kwa namba hii..
Hii imekaaje wadau
Join Upwork ,we work na platforms za freelance kama hizo , kazi ni nyingi mnoTupeane fursa mkuu, mwaga nondo na sisi wengine tujaribu, mfano mimi ni graphic designer lakini sijui namna ya kupata online jobs. Ujuzi ninao nilichokosa ni fursa
likiwemo na jibu hiliMajibu ungeyapata kwa muhusika. Hapa utapata nadharia tu lakini si uhalisia wa jirani yako.
Home ipi?Inaitwa "working from home". Ni kawaida sana kwa dunia ya leo.
Sawa mkuu ngoja nijaribu,Join Upwork ,we work na platforms za freelance kama hizo , kazi ni nyingi mno
Hapanalikiwemo na jibu hili
Sio rahisi km unavyoambiwa anaekwambia hivyo mwambie akuonyeshe MuamalaSawa mkuu ngoja nijaribu,
Wanasema inahitaji uvumilivu na consistency of workingSio rahisi km unavyoambiwa anaekwambia hivyo mwambie akuonyeshe Muamala
Hakuna kitu km sio rahisi hivyo yaan mpaka upate mtu akutengenezee huyo anaekwambia hivyo mwambie akutengenezee alafu akuunganishe na wateja kinyume na hapo unaenda kusugua gaga hizo Dili wanaunganishiana sio unaenda kichwa kichwaWanasema inahitaji uvumilivu na consistency of working
tupe utaratibuJoin Upwork ,we work na platforms za freelance kama hizo , kazi ni nyingi mno