Mtu huyu alitunga post ya uongo kuipaisha Simba yake

Mtu huyu alitunga post ya uongo kuipaisha Simba yake

Luc Eymael yule ni kocha mbaguzi na alitoa kauli ya kibaguzi ambayo uongozi wenye akili wa Yanga ulimtimua na aliishia kufungiwa kwa kauli zake za kibaguzi. Kuita watu weusi nyani ni jambo lakibaguzi kwenye soka..
Nilidhani Adeni Rage alisema Kwa bahati mbaya kumbe alidhamiria
Kwa tabia za washabiki wa Yanga za kulialia,kuzomeazomea na kubwekabweka Luc Eymael alikuwa sahihi kabisa kuwafananisha na nyani na mbwa,namuunga mkono.
 
Ao jamaa ni watu wanao penda ukubwa na kiki kama zilivyo tabia za CEO wao, matokeo yake mtu kapewa cheo kisicho na kichwa Wala miguu wajanja wanaenda ku mtafuna wajinga wanashangilia.
Sasa hii mambo ya kupenda Umaarufu bila vigezo stahiki wanaumia na wataendelea kuumia wengi.
we acha tu watu wanatafunwa sana kuna boss mwingine kwenye team kubwa anawatafuna wanaume kabisa na kuwapangia majumba sehemu za bei ghali wengine anawasafirisha ma holiday huko duniani na kwenye ma viwanja makubwa kuonana na wachezaji wakubwa
wengine hadi watoto zao anawasomesha nje kisa tu anawazibua mtaro anazuga kwamba ni wasemaji
 
Luc Eymael yule ni kocha mbaguzi na alitoa kauli ya kibaguzi ambayo uongozi wenye akili wa Yanga ulimtimua na aliishia kufungiwa kwa kauli zake za kibaguzi. Kuita watu weusi nyani ni jambo lakibaguzi kwenye soka..
Nilidhani Adeni Rage alisema Kwa bahati mbaya kumbe alidhamiria
Watu weusi au watu wa utopolo ndio hao akili kama nyani?
Binadamu unaweza kumuita mbumbumbu kwa kuwa ni binadamu ila mtu akivuka mipaka ya ubibadamu hadi kuitwa nyani na huku tunamwona ni binadamu basi ujue ni hali ya hatari sana.
 
Ao jamaa ni watu wanao penda ukubwa na kiki kama zilivyo tabia za CEO wao, matokeo yake mtu kapewa cheo kisicho na kichwa Wala miguu wajanja wanaenda ku mtafuna wajinga wanashangilia.
Sasa hii mambo ya kupenda Umaarufu bila vigezo stahiki wanaumia na wataendelea kuumia wengi.
Dada huku unatafuta nini?
Ungependa ukatafunwe wewe? Mbona wivu tu dadangu?
 
Ao jamaa ni watu wanao penda ukubwa na kiki kama zilivyo tabia za CEO wao, matokeo yake mtu kapewa cheo kisicho na kichwa Wala miguu wajanja wanaenda ku mtafuna wajinga wanashangilia.
Sasa hii mambo ya kupenda Umaarufu bila vigezo stahiki wanaumia na wataendelea kuumia wengi.

USIJE KUMUONEA WIVU MWANAMKE MKUU NI MWIKO KABISA..!!!vipi unataka utafunwe wewe??
 
Kuna tofauti kubwa sana kati ya kauli iliyotolewa na msemaji wa timu ya Simba kipindi hicho akiikejeli Yanga na kauli iliyotolewa na ndugu Adeni Rage ambae alikiwa kiongozi wa juu zaidi wa Simba Tena aliitoa kauli hiyo ndani ya mkutano mkuu wa klabu.. km umeshindwa kutofautisha hayo mambo basi wewe utakuwa ni zaidi ya mbumbumbu

Lakini kipindi hicho naye alikuwa mwananchi kwenye chaka la simba
 
Mada iliandikwa kabla maboresho ya kanuni kubadilishwa na wala hakukosea kama unavyojitapa humu.

Manara yeye ndiye aliyewaingiza chaka utopolo kwa kudai eti yanga itaanzia hatua ya kwanza kwa kigezo kitu ambacho hakikuwa sahihi.

Kama kanuni za msimu uliopita zingelitumika msimu huu wa mashindano ni kwamba yanga angeanzia hapo alipo leo na SIMBA SC angeanzia kwa wakubwa wenzie.
 
Mada iliandikwa kabla maboresho ya kanuni kubadilishwa na wala hakukosea kama unavyojitapa humu.

Manara yeye ndiye aliyewaingiza chaka utopolo kwa kudai eti yanga itaanzia hatua ya kwanza kwa kigezo kitu ambacho hakikuwa sahihi.

Kama kanuni za msimu uliopita zingelitumika msimu huu wa mashindano ni kwamba yanga angeanzia hapo alipo leo na SIMBA SC angeanzia kwa wakubwa wenzie.
Hakuna maboresho ya kanuni. Kanuni ni ile ile ya miaka yote
 
Hakuna maboresho ya kanuni. Kanuni ni ile ile ya miaka yote
Mbona kombe la shirikisho azam fc hawajaanzia raundi ya awali kama ilivyo kwa GEITA FC? Na hujiulizi ni kwa nini AL AHLY, WYDAD, MAZEMBE, SUNDOWN
Hakuna maboresho ya kanuni. Kanuni ni ile ile ya miaka yote
kama kanuni ni hiyo hiyo kwa nini hazikuchukuliwa zile timu 10
Hakuna maboresho ya kanuni. Kanuni ni ile ile ya miaka yote
jiulize ilikuwaje msimu uliopita ni kwa nini timu 10 zilianzia raundi ya kwanza na msimu huu ni timu 6 pekee ndizo zitakazoanzia raundi ya kwanza!
 
Back
Top Bottom