Mtu kama huyu mnamsaidiaje?

Mtu kama huyu mnamsaidiaje?

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
25,258
Reaction score
48,589
Nina mdogo wangu kamaliza chuo 2022 up leo hana cv mara ya kwaza nimtumia cv yangu nikamwambia edit ilikuwa mwaka jana akasema hana cv nikampa yangu edit then itumie iyo leo anakuja kusema hana cv na ata aibu kijana wa miaka 25 kweli kuna watu wanatia hasira sana can u image
 

Attachments

  • IMG-20241206-WA0062.jpg
    IMG-20241206-WA0062.jpg
    48.2 KB · Views: 4
Nina mdogo wangu kamaliza chuo 2022 up leo hana cv mara ya kwaza nimtumia cv yangu nikamwambia edit ilikuwa mwaka jana akasema hana cv nikampa yangu edit then itumie iyo leo anakuja kusema hana cv na ata aibu kijana wa miaka 25 kweli kuna watu wanatia hasira sana can u image
H-inaleta shida sana kwenye kiswahili. Iyo hiyo. Ata hata. Vinginevyo usichoke kumsaidia nduguyo
 
Back
Top Bottom