Mtu kama huyu mnamsaidiaje?

Mtu kama huyu mnamsaidiaje?

Nina mdogo wangu kamaliza chuo 2022 up leo hana cv mara ya kwaza nimtumia cv yangu nikamwambia edit ilikuwa mwaka jana akasema hana cv nikampa yangu edit then itumie iyo leo anakuja kusema hana cv na ata aibu kijana wa miaka 25 kweli kuna watu wanatia hasira sana can u image
Kuna mwamba nilimwambia anitumie CV yake. Inaelekea ali edit ya mtu na alicho edit ni jina tu. Vilivyobaki vyote aliacha kama vilivyo ikiwemo mwaka wa kuzaliwa (mmiliki wa CV alizaliwa 1985, dogo wa 1998) na jinsia, mwenye CV alikuwa wa kike na dogo wa kiume ila kwa uvivu wa fikra aliacha hivyo hivyo Female.

Baadhi ya watu ni naturally stupid, hata ukiwashika mkono bado watadondoka.
 
Nina mdogo wangu kamaliza chuo 2022 up leo hana cv mara ya kwaza nimtumia cv yangu nikamwambia edit ilikuwa mwaka jana akasema hana cv nikampa yangu edit then itumie iyo leo anakuja kusema hana cv na ata aibu kijana wa miaka 25 kweli kuna watu wanatia hasira sana can u image
Alısoma chuo gani
 
Huko vyuoni wanakaririshwa tuu, ili wajibu mitihani wafauru! Hawafundishwi uhalisia wa maisha na jinsi ya kutumia elimu ya kwenye makaratasi iwe practical. Mwambie tuu ukweli wa maisha achangamke!!
Wana ambilika basi
 
Kuna mwamba nilimwambia anitumie CV yake. Inaelekea ali edit ya mtu na alicho edit ni jina tu. Vilivyobaki vyote aliacha kama vilivyo ikiwemo mwaka wa kuzaliwa (mmiliki wa CV alizaliwa 1985, dogo wa 1998) na jinsia, mwenye CV alikuwa wa kike na dogo wa kiume ila kwa uvivu wa fikra aliacha hivyo hivyo Female.

Baadhi ya watu ni naturally stupid, hata ukiwashika mkono bado watadondoka.
Uyo kiboko ase
 
Nina mdogo wangu kamaliza chuo 2022 up leo hana cv mara ya kwaza nimtumia cv yangu nikamwambia edit ilikuwa mwaka jana akasema hana cv nikampa yangu edit then itumie iyo leo anakuja kusema hana cv na ata aibu kijana wa miaka 25 kweli kuna watu wanatia hasira sana can u image
Mtie banzi akili imkae sawa
 
Kuna vitu sio vya kufundishwa darasani mkuu.
Inakatisha tamaa mm kipnd nipo chuo mwaka wa pili lctr wetu alitoa agizo kila mtu aandae cv ilikuwa kama assgmnt ukikosea unarudia mpka namaliza najua kuandaa cv vzr sasa how comes kwa yeye kwamba chuo hskikuwafundisha cv
 
Elimu haina mwisho, wewe kama ndgu yake muelekeze namna anavyopaswa kua ama vile ungependa awe au maono yako juu yake.
Usiruhusu apotee na uwezo wa kumsaidia unao, usiishie kumsimanga na kumnenea mabaya mitandaoni, muelikishe.

Usiassume kua anajua, mpe elimu unayoona hana.
 
Waheshimiwa, mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza katika chuo cha Tumaini Dar es Salaam (TUDARCO) nikisomea sheria.

Nimekuwa nikikumbana na changamoto kubwa za kifedha baada ya kukosa mkopo licha ya kuambatanisha nyaraka muhimu kama cheti cha kifo cha baba yangu.

Control number yangu ni TU233351786402
Jina Joseph Msehi
Nambà yangu ya simu 0741995421

Hali hii imenifanya nifikirie kusitisha masomo kwa muda kutokana na ugumu wa maisha.

Naomba msaada wenu kwa namna yoyote, hasa katika kulipia ada ya mwaka huu, au hata ushauri kuhusu njia bora ya kusonga mbele. Kwa taarifa, nilihitimu shule ya sekondari kwa daraja la kwanza.
 
Kitu anapenda ni kukaa mwenywe tu

Yupo na gf nishamktaza huyu kigf wake ni malaya sana

Yupo home na wazee
Ni kipenzi cha wazazi wako. Wanaita mtoto wa kustaafu.
Sifa zao.
1. Huwa wazee wanawapata baada ya kujipata au baada ya kutoka masomonj haswa hawa wenye elimu.
2. Waweza kuta ni mtoto pendwa au kutokana na jinsi yake kuwa peke yake au kuugua kwa.muda meefj alivyokuwa mtoto so alivyopnaa alionekana kama dhahabu.

Cha msingi ewwe dili na hamsini zako. Baba na mama yake wapo
 
Ni last Born mkuu
Last born ni myths tu kwetu waswahili, huwa haina impact yoyote kwenye maisha
Msimdekeze
Last born wetu aliondoka home akiwa mdogo kuliko huyo na anapambana na maisha akiwa na mke na watoto na nyumba yake
Anakwenda nyumbani kutembea tu
 
Elimu haina mwisho, wewe kama ndgu yake muelekeze namna anavyopaswa kua ama vile ungependa awe au maono yako juu yake.
Usiruhusu apotee na uwezo wa kumsaidia unao, usiishie kumsimanga na kumnenea mabaya mitandaoni, muelikishe.

Usiassume kua anajua, mpe elimu unayoona hana.
Basi awe anaelimika
 
Back
Top Bottom