Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
-
- #81
Ase ujakoseaNi kipenzi cha wazazi wako. Wanaita mtoto wa kustaafu.
Sifa zao.
1. Huwa wazee wanawapata baada ya kujipata au baada ya kutoka masomonj haswa hawa wenye elimu.
2. Waweza kuta ni mtoto pendwa au kutokana na jinsi yake kuwa peke yake au kuugua kwa.muda meefj alivyokuwa mtoto so alivyopnaa alionekana kama dhahabu.
Cha msingi ewwe dili na hamsini zako. Baba na mama yake wapo
Inafikirisha ila vyet niliona kabisa gp 3.0au alifeli
ItakuwaAna uhakika wa maisha!
Wa kwenu kajiongezaLast born ni myths tu kwetu waswahili, huwa haina impact yoyote kwenye maisha
Msimdekeze
Last born wetu aliondoka home akiwa mdogo kuliko huyo na anapambana na maisha akiwa na mke na watoto na nyumba yake
Anakwenda nyumbani kutembea tu
labda fani ngumu imemshinda maake ukikosea tu point kidogo mnyama anadied.Inafikirisha ila vyet niliona kabisa gp 3.0
Kwann usiseme ni wewe tu kuna haja gani ya kudanganya watu ni mdogo wako wakati ni wewe muhusikaNina mdogo wangu kamaliza chuo 2022 up leo hana cv mara ya kwaza nimtumia cv yangu nikamwambia edit ilikuwa mwaka jana akasema hana cv nikampa yangu edit then itumie iyo leo anakuja kusema hana cv na ata aibu kijana wa miaka 25 kweli kuna watu wanatia hasira sana can u image
Sasa si wanasemalabda fani ngumu imemshinda maake ukikosea tu point kidogo mnyama anadied.
Kwamba mm up now nisijue kuandik cv seriousKwann usiseme ni wewe tu kuna haja gani ya kudanganya watu ni mdogo wako wakati ni wewe muhusika
Funguka usaidiwe
Ni mfumo wa maisha wanaoandaa wazaziWa kwenu kajiongeza
Hawa ndio wale kenge wasiosikia mpaka damu itoke sikioni,Nina mdogo wangu kamaliza chuo 2022 up leo hana cv mara ya kwaza nimtumia cv yangu nikamwambia edit ilikuwa mwaka jana akasema hana cv nikampa yangu edit then itumie iyo leo anakuja kusema hana cv na ata aibu kijana wa miaka 25 kweli kuna watu wanatia hasira sana can u image
Embu semeni ninyi jmn aseHawa ndio wale kenge wasiosikia mpaka damu itoke sikioni,
Chuo unashindwa kuandaa cv from start,haya editing nayo
Sasa shule kaenda kufanya nini
Eti utaajiliwa na nani aseElimu yetu na Africa tunafundishwa kuwa wategemezi na hatusanuki,ni rahisi sana kijana wa std 7 kuwa tajiri kuliko wa chuo,
Elimu ni kufuli la maisha na sio funguo,haimfungui mtu badala yake inamfungia mtu kwenye utegemezi,
Lecturers wenyewe wanaweza kumdhihaki mwanafunzi kwa kusema utaajiriwa na nani wewe hivi ulivyo,mentality ya kitumwa
Serikali iliangalie hili tunahitaji elimu ya vitendo itawale
Ni last Born mkuu
Huyu kazidii duuhKuna mwamba nilimwambia anitumie CV yake. Inaelekea ali edit ya mtu na alicho edit ni jina tu. Vilivyobaki vyote aliacha kama vilivyo ikiwemo mwaka wa kuzaliwa (mmiliki wa CV alizaliwa 1985, dogo wa 1998) na jinsia, mwenye CV alikuwa wa kike na dogo wa kiume ila kwa uvivu wa fikra aliacha hivyo hivyo Female.
Baadhi ya watu ni naturally stupid, hata ukiwashika mkono bado watadondoka.