Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeelewa kilichoandikwa kwanza!?Shenz kabisa , hujui kwamba Corona inathili watu wa umri wote.
Pili hata ukipona kunauwezekano wa kuaribika kwa Baadhi ya organs za mwili kama figo na ini.
Unajua siyo tu kupata Corona bali athali zinazotokana na CODIV 19
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna sababu, acha ujinga
Sidhani kama mama yako aliyekuzaa akisikia una support ujinga huu hatakuvulia nguo kukulaani
Sahihi kabisa,Atakua anatania Tu hawezi kuwa sirius kwa akili yake ya kawaida hana tofauti na mwanafunzi anaetamani corona ije ili Shule zifungwe
Usiombee haya mkuu, kama sote tutakuwa "wiped out" hayo maisha ya maana ndio tutayapata?Tulipofikia wacha ije we all be wiped out and have a new creation, labda mbaya wangu anaweza ondoka. kwa sasa maisha hayana maana tanzania
Ukiwa mpiga filimbi Hata ki English kinapotea, is that Idd Amin's version of English?Acha kuwa inferior mpuuzi wewe
Kabendera was exposed himself, tena kwa makosa sio ya kiuandishi
Acha ujinga
Kwa hiyo kwako jambo likiwadhuru cdm huna shida, ila kama litawadhuru na ccm hapo ndio unaona shida?
Ndo Mana kimeandikwa.
tindo kwa hiyi hata wewe kwa heshima yako unaomba korina ije tuangamie?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tulipofikia wacha ije we all be wiped out and have a new creation, labda mbaya wangu anaweza ondoka. kwa sasa maisha hayana maana tanzania
Kama facebook kwako ni kipimo cha ujinga.. Basi wewe ndio mjinga kuliko.Sahihi kabisa,
Nashangaa kwa mtu kama Pasco kuandika thread ndeeefu kwa ajili ya hiyo comment moja,
Halafu anapaswa ajue humu jf kuna watoto wengi sana wameingia kupitia facebook, utawajua kwa mada zao na comments zao, ikifanyika censor ya umri humu utachoka.
Hata watu wazima wapo pia ila ni 'watu wazima kiyambo' utawajua kwa mada zao na comments zao.
Acha matusi mkuu, hapa JF hatutukani, tunafahamu Kabendera kwamba alichomwa na Paskali Mayalla, usimtetee huyo Paskali ni nyokaAcha kuwa inferior mpuuzi wewe
Kabendera was exposed himself, tena kwa makosa sio ya kiuandishi
Acha ujinga