safi sanaa mkuu, ila nijibu haya maswali
1.umesema tumekopa kwasababu export ni ndogo kuliko import, sasa kumbe tulipopewa USD millioni 556 nazani, hizo pesa ndo tuseme kwamba tunaongeza foreign currency reserve ama??? na tsh yetu tunaizuia kutoka nje, so inakuwa bado inathamani, sasa kumbuka hapo tuna riba kwenye huo mkopo so tutarudishaa kiasi zaidi ya hicho tulichopewa, so tutakuwa tumekamuliwaa tsh kiasi flani, sasa najiulizaa nchi inatumia njia gani, kupata hizo fedhaa ili kulipa mkopo??? si unajua tena pesa zote zilizopo kwenye mzunguko zinatoka bank kuu, na hela kwenye mzunguko hazitaongezekaa kwa njia yoyote zaidi ya zile zilizoprintiwaa na kube assured na BOT, namanishaa BOT, haiwezi kurprint pesa, na kuzitiaa kwenye mzunguko halafu baadae ukasema zimeongezeka zaidi ya zile zilizoprintiwaa, sasa hawa BOT watarudisha vipi hela ya riba ya mkopo tuliopata kutoka bank kuu.???
2.nauliza tena hivi pesa zote kwenye mzunguko si zinatoka BOT, sasa BOT wanatumia formula gani kucalculate total goods na services zilizopo ndani ya nchi, ili kuhakikisha kwamba pesa inayoprintiwaa haizidi goods and services zilizopoto nchini??? hapo kumbuka kuna services kila siku zinaanzishwaa pasipo BOT kufahamu, mfano mamalishe vijijini wanatoa huduma ya chakula ila BOT hawafahamu, sasa huoni hesabu wanakosea wanaweza sababisha pesa kuwa kidogo sanaa zaidi ya huduma zilizopokwenye mzunguko, na kupelekea maisha kuwaa magumu kwa wananchi?? kwani mama lishe watakuwa wanakosaa wateja kwa sababu na wao wateja hela wanakosa hivyo kupelekea chakula kushuka bei, na watoa huduma kupata hasara
3.narudia tena sisi speculator wa currency ama forex traders tukimula broker na akatuiingizia tsh kwenye account zetu za bank, je nitakuwa nimewakamua watanzania au??? au nitakuwa nimewakamua watu wote wanaotumia USD?? hapa sijaelewa, maaana namkamua broker, dola zake then yeye ananiingia kama tsh kwenye account yangu bank
hesabu za uchumi bado zinanisumbuaa sanaa, sijui kwa nini nisingesomaga uchumi.