Mtu Mwenye miaka 35 ni Kijana?

Mtu Mwenye miaka 35 ni Kijana?

Mtambachuo

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2023
Posts
1,907
Reaction score
3,560
Ni mara nyingi utasikia mtu mwenye zaidi ya miaka 35 anajiita kijana. Wengine wana miaka 45 na zaidi hasa wanasiasa lakini wana jiita vijana.

Mnaonaje hili wakuu ni kwamba Ujana una makundi tofauti au ni huwa tuna/wana jifariji tu kujiita vijana ilihali wakijua wazi kwamba umri tayari umesha watupa mkono.

Wasalam.
 
Ni mara nyingi utasikia mtu mwenye zaidi ya miaka 35 anajiita kijana. Wengine wana miaka 45 na zaidi hasa wanasiasa lakini wana jiita vijana.

Mnaonaje hili wakuu ni kwamba ujana una makundi tofauti au ni huwa tuna wana jifariji tu kujita vijana wakati wanajua umri tayari umewa tupa mkono.

Wasalam.
Ni kijana tena kwa mazingira ya bongo bado kajawa na utoto mwingi anayepinga anyooshe mkono juu ni mwone😁
 
Ni mara nyingi utasikia mtu mwenye zaidi ya miaka 35 anajiita kijana. Wengine wana miaka 45 na zaidi hasa wanasiasa lakini wana jiita vijana.

Mnaonaje hili wakuu ni kwamba ujana una makundi tofauti au ni huwa tuna/wana jifariji tu kujita vijana wakati wanajua umri tayari umewa tupa mkono.

Wasalam.

Ujana mwisho miaka 35, kuanzia 36 uyo ni mzee wa makamo.
 
Ni mara nyingi utasikia mtu mwenye zaidi ya miaka 35 anajiita kijana. Wengine wana miaka 45 na zaidi hasa wanasiasa lakini wana jiita vijana.

Mnaonaje hili wakuu ni kwamba Ujana una makundi tofauti au ni huwa tuna/wana jifariji tu kujiita vijana wakati wanajua wazi kwamba umri tayari umesha watupa mkono.

Wasalam.
Ujana na uzee ni muonekano sio umri!!!

We jiweke sawa acha kushambulia wanga uatakua kijana wa Miaka 65!
 
Ni mara nyingi utasikia mtu mwenye zaidi ya miaka 35 anajiita kijana. Wengine wana miaka 45 na zaidi hasa wanasiasa lakini wana jiita vijana.

Mnaonaje hili wakuu ni kwamba Ujana una makundi tofauti au ni huwa tuna/wana jifariji tu kujiita vijana wakati wanajua wazi kwamba umri tayari umesha watupa mkono.

Wasalam.

Enzi za watu kale wa kwenye Biblia, mwanadamu mwenye miaka 70 alitambulika kama kijana...
 
miaka 35 bado mtoto kabisa, hata kuwa kijana bado tena kwa akili bado kabisa hana hata akili

kdg kwa mwanamke ni kijana ila kwa mwanaume ni mtoto na akili hana vzr
Ila ni kweli ana kuwa bado na ujinga mwingi kichwani na ujana ndio una kuwa kwenye peak.

Wanawake wana kuwa matured mapema tofauti na wanaume.
 
Kuna ule wepesi wa mwili baada ya miaka 35 ni kama unaanza kuwa mzito, Putin bodyguards wake wale commandos wanakuwa replaced wakitimiza 35. Angalia hata michezo, bondia n.k

Lakini pia jinsi umri unavyokwenda ndivyo busara , hekima vinaongezeka huku nguvu ya mwili inapungua.

Hivyo kusema kijana kikomo ni 35 waliangalia zaidi ile physical fitness ya mwili, ndio peak yake ya juu kabisa kwenye graph baada ya hapo graph inaanza kushuka chini.
 
Napo pakujiuliza watu kama JAY Z na wengine umri wao above 50 lakini wapo vizuri itawaita wazee wale.
Screenshot_20240529_123110_Chrome.jpg
Jay na Snoopy
 
Back
Top Bottom