Mtambachuo
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 1,907
- 3,560
- Thread starter
- #41
Ndio bado ni vijana haoForty Something HAO bado vijana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio bado ni vijana haoForty Something HAO bado vijana
Duh, hio miaka hajaoa...Watu wanasikitika na kulia sana hasa akina mama, alikuwa bado kijana mdogo kabisa.
Nikiwa na 55 ninataka niwe kama huyu mwambaNi kweli mkuu..
Kama unakula vizuri, unafanya mazoezi, no stress na pesa ipo...Hata miaka 55 bado upo vizuri unless uamue kuzeeka mwenyewe.
![]()
Jamaa miaka 54.
mkuu nenda club utakuta watoto wa miaka 35-40 wanavyo sumbuaNdo maana masikini tupo wengi. Tunautumia ujana vibaya sana. Ukiwa na 35 bado una utoto utaokolewa na urithi wa wazazi wako tu.
Makamba Jr ana 50 na ushee lakini Bado anajiita kijanaNi mara nyingi utasikia mtu mwenye zaidi ya miaka 35 anajiita kijana. Wengine wana miaka 45 na zaidi hasa wanasiasa lakini wana jiita vijana.
Mnaonaje hili wakuu ni kwamba Ujana una makundi tofauti au ni huwa tuna/wana jifariji tu kujiita vijana ilihali wanajua wazi kwamba umri tayari umesha watupa mkono.
Wasalam.
Jitunze mzee na tafuta ela sana ina wezekana.Nikiwa na 55 ninataka niwe kama huyu mwamba
Kijana kabisa haaa haaa .Makamba Jr ana 50 na ushee lakini Bado anajiita kijana
Na wanakuambia sisi vijana wenzenu hatuta waangusha @ Nape huyo.Kwenye siasa wafuatao ni vijana wadogo;
1. Mwigulu
2. Nape
3. Makamba
4. Kigwangala
5. Bashe
6. Heche
7. Sugu
8. Lema
9. Zitto
10. Mnyika
Na Riz KikweteKwenye siasa wafuatao ni vijana wadogo;
1. Mwigulu
2. Nape
3. Makamba
4. Kigwangala
5. Bashe
6. Heche
7. Sugu
8. Lema
9. Zitto
10. Mnyika
Unatufariji mkuu, tuendelee kuitwa vijana kweli?🤣
Ni tatizo sababu ukiwa una miaka 35-40 upo kwenye peak. Ubongo upo active sana na mwili upo active sana sasa kama hiyo energy unaitumia kitoto utaikumbuka.mkuu nenda club utakuta watoto wa miaka 35-40 wanavyo sumbua
kwangu mimi naona 35 bado n watoto
Bado badoDah kwahiyo sisi tuliozaliwa 1988 ndo tushazeeka eeh?
Na cash ndio imeanza kuongezeka.Ni tatizo sababu ukiwa una miaka 35-40 upo kwenye peak. Ubongo upo active sana na mwili upo active sana sasa kama hiyo energy unaitumia kitoto utaikumbuka.
Kwa nini, mvi ziliota mapema au kipara?Mimi niliitwa mzee na nilikuwa na miaka 22 tu