Mtambachuo
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 1,907
- 3,560
- Thread starter
- #21
Ni kweli kabisa lakini 35 mpaka 45 mtu si bado yupo kwenye chart hasa kama ela ipo.Kuna ule wepesi wa mwili baada ya miaka 35 ni kama unaanza kuwa mzito, Putin bodyguards wake wale commandos wanakuwa replaced wakitimiza 35. Angalia hata michezo, bondia n.k
Lakini pia jinsi umri unavyokwenda ndivyo busara , hekima vinaongezeka huku nguvu ya mwili inapungua.
Hivyo kusema kijana kikomo ni 35 waliangalia zaidi ile physical fitness ya mwili, ndio peak yake ya juu kabisa kwenye graph baada ya hapo graph inaanza kushuka chini.