Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
that's it 🐒Ooh so age is just a number. What matters ,is your physical and mental ability.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
that's it 🐒Ooh so age is just a number. What matters ,is your physical and mental ability.
Mjini sote ni vijana,unataka utukuze ili mabinti watunyime nini?Ujana mwisho miaka 35, kuanzia 36 uyo ni mzee wa makamo.
Umeshajibu swali 35/45 ni mzee kijanaMimi mzee kijana ahaa haa.
We bado maskini sana bro, kama bado unapambana kuhusu umri,Ni mara nyingi utasikia mtu mwenye zaidi ya miaka 35 anajiita kijana. Wengine wana miaka 45 na zaidi hasa wanasiasa lakini wana jiita vijana.
Mnaonaje hili wakuu ni kwamba Ujana una makundi tofauti au ni huwa tuna/wana jifariji tu kujiita vijana ilihali wanajua wazi kwamba umri tayari umesha watupa mkono.
Wasalam.
Hapo basi aliyekuwa na 35 ni mvulana kabisa 😂 😂Enzi za watu kale wa kwenye Biblia, mwanadamu mwenye miaka 70 alitambulika kama kijana...
Kwa kipimo cha umri ni kijana, akifika 40 ndiyoa anaamza kuitwa mtu wa Makamu/Makamo akisubiria 50 ili awe official mzee.Ni mara nyingi utasikia mtu mwenye zaidi ya miaka 35 anajiita kijana. Wengine wana miaka 45 na zaidi hasa wanasiasa lakini wana jiita vijana.
Mnaonaje hili wakuu ni kwamba Ujana una makundi tofauti au ni huwa tuna/wana jifariji tu kujiita vijana ilihali wakijua wazi kwamba umri tayari umesha watupa mkono.
Wasalam.
Hutaki shikamoo sioMjini sote ni vijana,unataka utukuze ili mabinti watunyime nini?
🤣
Sawa sawaUmeshajibu swali 35/45 ni mzee kijana
Sawa sawa kiongozi. Ni kweli bado wana ujana fulani.We bado maskini sana bro, kama bado unapambana kuhusu umri,
We jiulize una pesa?
Ruto,David Cameron, Emmanuel macron, Lisu, Zito, hawa ni above 40,lakini kuna muktadha wanaonekana vijana,
Huu ni muktadha wa fedha, karne hii bro ujana kama ujana tu wa umri bila kitu kingine, hauna maaana, una kuwa kijana sawa bado mbichi,20yrs +, lakini Huna elimu, pesa, mawazo ya makuu,
Nini siri ?Mimi nautamani uzee, kwa maana ya umri.... kasoro yale maradhi maradhi ya uzeeni.
#ForeverYOUNG!
SanaaHapo basi aliyekuwa na 35 ni mvulana kabisa 😂 😂
Sawa sawa ila naona hili nalo liangaliwe umri wa ujana uelezwe vizuru na uwe uniform ili kuondoa mikanganyiko.Kwa kipimo cha umri ni kijana, akifika 40 ndiyoa anaamza kuitwa mtu wa Makamu/Makamo akisubiria 50 ili awe official mzee.
Ingawa kwenye katiba ya vyama vingi vya vijana, ukomo wa umri wa kijana ni 34, kama ni kwenye Kanisa Katoliki unatakiwa utoke VIWAWA na uende kujiunga na UWAKA au WAWATA.
I stand to be corrected.
Bado upo upo sanaa. Asikuulize mtu.Kumbe na mimi bado nipo nipo 😄
Ndio nakatiza mitaa ya vunja bei hapa napitia kajordan kangu mambo yasiwe mengiBado upo upo sanaa. Asikuulize mtu.
Huo ndio umri unaoukaribia, usiulize wenzako wamefikaje huko, kama hujafika jiulize nitafikaje huko.Ni mara nyingi utasikia mtu mwenye zaidi ya miaka 35 anajiita kijana. Wengine wana miaka 45 na zaidi hasa wanasiasa lakini wana jiita vijana.
Mnaonaje hili wakuu ni kwamba Ujana una makundi tofauti au ni huwa tuna/wana jifariji tu kujiita vijana ilihali wakijua wazi kwamba umri tayari umesha watupa mkono.
Wasalam.
Ujana bila pesa au mafanikio flani ni uzeeNi mara nyingi utasikia mtu mwenye zaidi ya miaka 35 anajiita kijana. Wengine wana miaka 45 na zaidi hasa wanasiasa lakini wana jiita vijana.
Mnaonaje hili wakuu ni kwamba Ujana una makundi tofauti au ni huwa tuna/wana jifariji tu kujiita vijana ilihali wakijua wazi kwamba umri tayari umesha watupa mkono.
Wasalam.
Ni kweli Mchungu tupambane hakuna namna.Ujana bila pesa au mafanikio flani ni uzee
Mcheki lady jaydee ana miaka above 50 ila ukimsimamisha na mabinti wengi Tz ataonekana mdogo
Pesa inatakatisha Wakuu
Tuendelee kupambana
mambo ya kutengana kisa umri vijana mnashida gani?Hutaki shikamoo sio