Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You are as Old as You feel inside.Ni mara nyingi utasikia mtu mwenye zaidi ya miaka 35 anajiita kijana. Wengine wana miaka 45 na zaidi hasa wanasiasa lakini wana jiita vijana.
Mnaonaje hili wakuu ni kwamba Ujana una makundi tofauti au ni huwa tuna/wana jifariji tu kujiita vijana ilihali wakijua wazi kwamba umri tayari umesha watupa mkono.
Wasalam.
Wewe ni kiumbe uliekosa akili katika ufahamu wako kiasi cha kupoteza utambuzi wa uhalisia na ndoto.me Nina miaka 17 lakini nato-mba to-mba mishangazi Sasa hapo me ni mzee au kijana au mtoto. 😃😃😃😃😃😃
Tuwe na mtizano chanya .You are as Old as You feel inside.
Maisha yako yanatokana na maamuzi ya ndani yako.
Unachoruhusu kitawale kila sekunde ya uhai wako ndicho kinachoyaendesha maisha yako, kwa kujua ama kwa kutokujua.
Mara nyingi kwa kutokujua.
Ni kijana ambaye probably ndiyo kamaliza chuo kikuu na bado anaishi kwa wazazi wakeNi mara nyingi utasikia mtu mwenye zaidi ya miaka 35 anajiita kijana. Wengine wana miaka 45 na zaidi hasa wanasiasa lakini wana jiita vijana.
Mnaonaje hili wakuu ni kwamba Ujana una makundi tofauti au ni huwa tuna/wana jifariji tu kujiita vijana ilihali wakijua wazi kwamba umri tayari umesha watupa mkono.
Wasalam.
Bado utaukwepa uhalisia.Tuwe na mtizano chanya .
Sawa sawaBado utaukwepa uhalisia.
Ishi uhalisia wako unaousikia ndani yako, unaoutambua kwenye fahamu zako, unaouona kwenye macho yako ya nje na ya ndani.
Kuwa wewe bila sababu.
Siyo kijana huyo wa 70 yrs old ni mtoto. Kama hao ancestors wetu walikuwa wanaishi miaka mpaka 500 mpaka 700 huko. Je huyo wa 70 si ni mtoto kabisa.Enzi za watu kale wa kwenye Biblia, mwanadamu mwenye miaka 70 alitambulika kama kijana...
BibiiNi mara nyingi utasikia mtu mwenye zaidi ya miaka 35 anajiita kijana. Wengine wana miaka 45 na zaidi hasa wanasiasa lakini wana jiita vijana.
Mnaonaje hili wakuu ni kwamba Ujana una makundi tofauti au ni huwa tuna/wana jifariji tu kujiita vijana ilihali wakijua wazi kwamba umri tayari umesha watupa mkono.
Wasalam.
Ujana na uzee ni muonekano sio umri!!!
We jiweke sawa acha kushambulia wanga uatakua kijana wa Miaka 65!
Wewe ni kiumbe mwenye akili nyingi Sana ndiyo maana upo jamii forumz 😃😃😃😃😃Wewe ni kiumbe uliekosa akili katika ufahamu wako kiasi cha kupoteza utambuzi wa uhalisia na ndoto.
Your sense of humor is amazing 🤩Wewe ni kiumbe mwenye akili nyingi Sana ndiyo maana upo jamii forumz 😃😃😃😃😃
Jua li mezama sio?Kijana anaechungilia utu uzima.
As long as same to you coach... You sense amazing 😃😃😃😃Your sense of humor is amazing 🤩
JF ni kokoro.
Wabhejah sana!As long as same to you coach... You sense amazing 😃😃😃😃
You have decided to switch frequency to Queen language. Haaa haaaAs long as same to you coach... You sense amazing 😃😃😃😃