Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kuna hiari katika kuzeeka?Lakini kuna wengine hawakubali kuwa wameshazeeka...
Itasaidia kuepuka magonjwa yasiyo ambukiza huwa yanazeesha mapema sana haya.Hapana-Bado sana aisee. Kama ni mtumishi wa Serikali, ujue ni mpaka ugonge 60. Kama uko mtaani achana na unywaji wa pombe na ulaji wa hovyo -junk foods.
35 bado sana, kijana mbichi kabisa.mutatusababishia sonona bure muwe na huruma
Yes sir, mapambano yanaendelea eti... 😃😃😃Kabisa hupaswi kukaa kinyonge.
Pesa sabuni ya roho. Unaitwa Papaa.ukiwa na hela hata uwe na miaka 50 wewe ni kijana ila kama kapuku 30 tu wewe kizee
Hapana ni natural, na wanakuwa wamezeeka ila hawatqki kutambuliwa kama wazee.Kwani kuna hiari katika kuzeeka?
Exactly -yes. Mtu anashindia chips au mihogo na pilipili(Chachandu)halafu anaenda kujilipua kwa bapa mbili. Jioni(uck) yuko bize naItasaidia kuepuka magonjwa yasiyo ambukiza huwa yanazeesha mapema sana haya.

We una miaka mingapi, ungejua ni lofa usingeandika ubwege km huu.Ni mara nyingi utasikia mtu mwenye zaidi ya miaka 35 anajiita kijana. Wengine wana miaka 45 na zaidi hasa wanasiasa lakini wana jiita vijana.
Mnaonaje hili wakuu ni kwamba Ujana una makundi tofauti au ni huwa tuna/wana jifariji tu kujiita vijana ilihali wakijua wazi kwamba umri tayari umesha watupa mkono.
Wasalam.
Matokeo yake ni nini?Exactly -yes. Mtu anashindia chips au mihogo na pilipili(Chachandu)halafu anaenda kujilipua kwa bapa mbili. Jioni(uck) yuko bize na![]()
Watawakatalia wangapi? Mbona watoto vya shule utawasikia shkamoo babu.Hapana ni natural, na wanakuwa wamezeeka ila hawatqki kutambuliwa kama wazee.
Vipi mkuu na wewe upo miongoni mwa hilo kundi ? Naona umekuwa offended sana. Pole!We una miaka mingapi, ungejua ni lofa usingeandika ubwege km huu.
Wengine hawaitikii marahaba .Watawakatalia wangapi? Mbona watoto vya shule utawasikia shkamoo babu.
Potelea mbali lakini message inakuwa sent and deliveredWengine hawaitikii marahaba .
Kabisa.Potelea mbali lakini message inakuwa sent and delivered
Kama Will Smith ana 56 lakini kama kijana tu..Napo pakujiuliza watu kama JAY Z na wengine umri wao above 50 lakini wapo vizuri utawaita wazee wale.
Yes Will Smith kijana sana yaani. Kumbe ana 56. Wakati huko 35 ni mzee.Kama Will Smith ana 56 lakini kama kijana tu..
Walikuwa wakiishi miaka hiyo au namna ya kuhesabu ilikuwa na walakini ?Siyo kijana huyo wa 70 yrs old ni mtoto. Kama hao ancestors wetu walikuwa wanaishi miaka mpaka 500 mpaka 700 huko. Je huyo wa 70 si ni mtoto kabisa.
Au idadi ya siku katika mwaka ilikuwa tofauti na miaka ya sasa.Walikuwa wakiishi miaka hiyo au namna ya kuhesabu ilikuwa na walakini ?
Au labda alienda Uturuki? Hahahaa.Yes Will Smith kijana sana yaani. Kumbe ana 56. Wakati huko 35 ni mzee.