Mtu Mwenye miaka 35 ni Kijana?

Mtu Mwenye miaka 35 ni Kijana?

Ni mara nyingi utasikia mtu mwenye zaidi ya miaka 35 anajiita kijana. Wengine wana miaka 45 na zaidi hasa wanasiasa lakini wana jiita vijana.

Mnaonaje hili wakuu ni kwamba Ujana una makundi tofauti au ni huwa tuna/wana jifariji tu kujiita vijana ilihali wakijua wazi kwamba umri tayari umesha watupa mkono.

Wasalam.
Jitahidi na wewe uitwe kijana
 
Wanasiasa hutumia ujana kiulaghai
Yeah! Wanawalaghai watu(Wapiga kura) kwakuwa inaeleweka kijana bado damu ni moto moto na anaweza kukimbia huku na kule kufukuzia haki na kutatua kero za wananchi hao wadanganyika na kuwaletea maendeleo. Akisha chaguliwa anaenda kupumzika au utamwona bungeni anasinzia au hasemi lolote zaidi ni kupiga makofi baas.
 
Yeah! Wanawalaghai watu(Wapiga kura) kwakuwa inaeleweka kijana bado damu ni moto moto na anaweza kukimbia huku na kule kufukuzia haki na kutatua kero za wananchi hao wadanganyika na kuwaletea maendeleo. Akisha chaguliwa anaenda kupumzika au utamwona bungeni anasinzia au hasemi lolote zaidi ni kupiga makofi baas.
Kweli kabisa na wana kwambia kwani bungeni watu wanaenda kubeba zege, ? haaa
 
Ni mara nyingi utasikia mtu mwenye zaidi ya miaka 35 anajiita kijana. Wengine wana miaka 45 na zaidi hasa wanasiasa lakini wana jiita vijana.

Mnaonaje hili wakuu ni kwamba Ujana una makundi tofauti au ni huwa tuna/wana jifariji tu kujiita vijana ilihali wakijua wazi kwamba umri tayari umesha watupa mkono.

Wasalam.
Kijana mwisho miaka 45 ndiio maana limiti ya ajira za serikali ni 45 years ukiondoa za majeshi ambazo zinahitaji damu changa 30 kurudi chini
 
Back
Top Bottom