Mtambachuo
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 1,907
- 3,560
- Thread starter
- #161
Ila yawezekana na nyie si mmesogezewa huduma hapo Mloganzila. haaaaaAu labda alienda Uturuki? Hahahaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila yawezekana na nyie si mmesogezewa huduma hapo Mloganzila. haaaaaAu labda alienda Uturuki? Hahahaa.
Mloganzila ni gharama kubwa na hakuna siri. Si unawajua wabongo?Ila yawezekana na nyie si mmesogezewa huduma hapo Mloganzila. haaaaa
Jitahidi na wewe uitwe kijanaNi mara nyingi utasikia mtu mwenye zaidi ya miaka 35 anajiita kijana. Wengine wana miaka 45 na zaidi hasa wanasiasa lakini wana jiita vijana.
Mnaonaje hili wakuu ni kwamba Ujana una makundi tofauti au ni huwa tuna/wana jifariji tu kujiita vijana ilihali wakijua wazi kwamba umri tayari umesha watupa mkono.
Wasalam.
Wanasiasa hutumia ujana kiulaghaiUjana ni big deal sana kwamba mtu akijiita kijana kuna kitu anawapunguzia?
Ni kweli soon utakuwa kwa Mange Kimambi na ushahidi wa video jinsi Procedure ilivyofanyika.Mloganzila ni gharama kubwa na hakuna siri. Si unawajua wabongo?
Kumbe bado sana.Young adult (18-25 age), Adult (26-44 age), Middle-age (45-59 age), Old age (60 and above)
Mzee anaanzia miaka 60.
Kijana wa makamo hiviiWanaongezeaga hapo " Wa Makamo".....
Yeah! Wanawalaghai watu(Wapiga kura) kwakuwa inaeleweka kijana bado damu ni moto moto na anaweza kukimbia huku na kule kufukuzia haki na kutatua kero za wananchi hao wadanganyika na kuwaletea maendeleo. Akisha chaguliwa anaenda kupumzika au utamwona bungeni anasinzia au hasemi lolote zaidi ni kupiga makofi baas.Wanasiasa hutumia ujana kiulaghai
Umeonae. Ndo mana watu wanaenda Uturuki. Hakuna wanoko.Ni kweli soon utakuwa kwa Mange Kimambi na ushahidi wa video jinsi Procedure ilivyofanyika.
Nifanyaje mkuu ikiwa umri ushanitupa mkono, haa haaaJitahidi na wewe uitwe kijana
Sana wajanja wajanja wa mjini. Wapate kukubalika kwa kundi kubwa la vijana.Wanasiasa hutumia ujana kiulaghai
Kweli kabisa na wana kwambia kwani bungeni watu wanaenda kubeba zege, ? haaaYeah! Wanawalaghai watu(Wapiga kura) kwakuwa inaeleweka kijana bado damu ni moto moto na anaweza kukimbia huku na kule kufukuzia haki na kutatua kero za wananchi hao wadanganyika na kuwaletea maendeleo. Akisha chaguliwa anaenda kupumzika au utamwona bungeni anasinzia au hasemi lolote zaidi ni kupiga makofi baas.
Huku professionalism haizingatiwi. Acha Uturuki wazidi kuvuna pesa, mara mana hamna namna nyingine...Umeonae. Ndo mana watu wanaenda Uturuki. Hakuna wanoko.
Wewe wale wote wanaobana matako kukusalimia lazima wakuite mzee.Nipo kwenye my 40s vijana wananiita Mzee wazee wananiita kijana
56. 🙄Uneminyaka emingaki nkosikazi 😋😋😋
Kijana mwisho miaka 45 ndiio maana limiti ya ajira za serikali ni 45 years ukiondoa za majeshi ambazo zinahitaji damu changa 30 kurudi chiniNi mara nyingi utasikia mtu mwenye zaidi ya miaka 35 anajiita kijana. Wengine wana miaka 45 na zaidi hasa wanasiasa lakini wana jiita vijana.
Mnaonaje hili wakuu ni kwamba Ujana una makundi tofauti au ni huwa tuna/wana jifariji tu kujiita vijana ilihali wakijua wazi kwamba umri tayari umesha watupa mkono.
Wasalam.