Mwamba 3
JF-Expert Member
- Dec 20, 2018
- 253
- 285
Nisaidie sababuKibaiolojia ni kwamba haiwezekani mtu mwenye rangi nyeupe kumzaa mtu mwenye rangi nyeusi anapofanya sex na mtu mweupe.
Never
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nisaidie sababuKibaiolojia ni kwamba haiwezekani mtu mwenye rangi nyeupe kumzaa mtu mwenye rangi nyeusi anapofanya sex na mtu mweupe.
Never
Wewe ndio umeshindwa. Kila kitu kiko wazi tu, soma maandikoMaswali mengine yalishashindikana kujibiwa
Duuh! Aya bwana.Maswali mengine yalishashindikana kujibiwa
Alikua binadamu au mtu wa kwanza ovaBinadamu wa kwanza anasadikika kutokea oldvai gorge
kama sikoseiLakini pia ukiangalia Bible haikutaja udongo ulikuwa wa rangi gani Mana tunaona udongo una rangi tofauti tofauti.
Kikubwa imeachwa kuwa tata ili tujue wote Ni wa baba na mama mmoja tukitokea kwa baba mmoja.
Hata kwenye Bible Ni maongezi machache unaweza kuona yakiongelea rangi, Mfano Mfalme sule akisifia weusi wa ngozi yake kwenye Moja ya vitabu vyake.
Bustani ya Edeni sio sehemu Bali ni uwepoTukumbuke pia ktk geography Kuna kitu kinaitwa PANGAEA, ukiangalia vizuri Ile Pangaea utaona n Kama African Continent ndio ika katikati, then kutokana na Mambo ya Continental drifts hiyo bustani ya Eden labda ilihama, ama bado iko Africa.
Lakini pia tunaposema bustani sidhani Kama ni kijibustani kidogo, yawezeka kuwa n eneo kubwa zaidi kuliko biblia ilivozumgumza
Fuvu adi mzungu agundue je wasingegundua Hoja umewai jiuliza ingekuajePia.
Hilo n fuvu lililogunduliwa, yawezeka pia kukawa na fuvu mahala fulani ambalo halijagunduliwa.
Bila shaka huo ni mtazamo wako ila hakuna ukweli wowote.
Nadhani unafaham ama ushawahi kumskia malikia wa Sheba kutoka Ethiopia,
Malkia wa Sheba alizaa na Mfalme Suleman, mtoto aliitwa Meneliki wa Kwanza naye akamza Menelik II, Menelik II akamzaa Haile Sellasie
Swali je hao wote walikuwa watu weupe na ikumbukwe Suleman ni uzao wa Daudi generation ya Baba wa Iman Ibrahim.
Ungesema habar za Evolution kibiologia angalau ungekuwa unaelekea kweny fact japo hakuna empirical evidence.
Fuvu la binadamu wa kwanza kuishi duniani, linapatokana Olduvai Gorge. Hii ni kwa mujibu wa historia. Hivyo binadam wa kwanza labda alikuwa mtu mweusi tena Mtanzania.
Mleta mada, mambo vipi? Kabla ya kuuliza hili swali lako ulishapata kwanza uthibitisho (Valid Evidence) kwamba Adam na Hawa walikua ni wa rangi gani?Awali ya yote ningependa kuwasalimu wanajamii wenzangu habari zenu, natumai ni wazima wa afya.
Nina maswali kadhaa ambayo ningependa kupata majawabu kutoka kwenu wana Jamiiforums yatakayo kuwa msaada na faida kwa jamii nzima na kubadili taswira na mtazamo wa jamii nzima juu ya asili ya mtu mweusi [ mwafrika ] na uwepo wake hapa duniani.
Maswali:
1. Je mtu mweusi[ Mwaafrika ] ni uzao wa Adamu na Hawa ?
2. Je Adamu na Hawa walikuwapo pekee duniani ? na Afrika kulikuwa hakuna watu?
3. Je uzao wa mtu mweusi ni kutoka ndani ya Afrika au nje ya Afrika ? Na Kama ni kutoka nje ni kutoka kwa nani watu wa bara la Ulaya [wazungu], watu wa Mashariki ya Kati, watu wa Asia ya mbali au watu wa bara la Amerika?
4. Je inawezekana mtu mweupe kwa mweupe [ mfano mzungu kwa mzungu ] kuzaa mtu mweusi?
N.b: Matusi na lugha za kuudhi hazitakiwi , pia unaweza kuongeza maswali yako kama kutakuwa na ulazima wa kufanya hivyo.
Ki vipi unaweza kuthibitisha kauli yako?Mtu mweusi alikuwa binadam wakwanza kuumbwa na Anunaki na izo races nyingine zimetengenezwa maabara
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Kutokana na jamii ya watu wa mashariki ya kati .Mleta mada, mambo vipi? Kabla ya kuuliza hili swali lako ulishapata kwanza uthibitisho (Valid Evidence) kwamba Adam na Hawa walikua ni wa rangi gani?
Kama huo uthibitisho unao, uweke hapa alafu niendelee kulijibu swali lako.
Asante
Kwenye hili jambo waalimu wangu walifeli kuniaminisha,pengine ni fuvu la kwanza lililoonekana na sio mtu wa kwanzaKwa mujibu wa tafiti, mtu wa kwanza duniani aliishi Africa.
Mkuu, hao watu wa mashariki ya kati ni watu wa rangi tofauti au ni rangi moja tu?Kutokana na jamii ya watu wa mashariki ya kati .
rangi moja.Mkuu, hao watu wa mashariki ya kati ni watu wa rangi tofauti au ni rangi moja tu?