Mtu Mweusi [Mwafrika] sio uzao wa Adam na Hawa

Mtu Mweusi [Mwafrika] sio uzao wa Adam na Hawa

Naona kuna majibu ya aina mbili hapa,
1: wanajibu kibinadamu nje ya imani
2: wanaojibu kupitia imani zao

Kupitia imani pia imegawanyika kulingana na madhehebu yao na namna walivyofundishwa
1: kupitia biblia
2: kupitia quran

Ngoja niwapitishe kidogo hapa

Mwanzo 9 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
¹⁸ Wana wa Nuhu waliotoka katika safina, ni Shemu, na Hamu, na Yafethi; na Hamu ndiye baba wa Kanaani.
¹⁹ Hawa watatu walikuwa wana wa Nuhu na kwa hao nchi yote ikaenea watu.
²⁰ Nuhu akaanza kuwa mkulima, akapanda mizabibu;
²¹ akanywa divai, akalewa; akawa uchi katika hema yake.
²² Hamu, baba wa Kanaani, akauona uchi wa baba yake, akawaeleza ndugu zake wawili waliokuwa nje.
²³ Shemu na Yafethi wakatwaa vazi, wakalitanda mabegani mwao wote wawili, wakaenda kinyumenyume, wakaufunika uchi wa baba yao; na nyuso zao zilielekea nyuma, wala hawakuuona uchi wa baba yao.
²⁴ Nuhu akalevuka katika ulevi wake, akajua mwana wake mdogo alivyomtendea.
²⁵ Akasema,Na alaaniwe Kaanani;Atakuwa mtumwa kabisa kwa ndugu zake.
²⁶ Akasema,Na atukuzwe Bwana,Mungu wa Shemu;Na kaanani awe mtumwa wake.
²⁷ Mungu akamnafisishe Yafethi,Na akae katika hema za Shemu; Na kaanani awe mtumwa wake.

Kwa context hiii leo tuulizane nani mtumwa wa mwenzake?
1: mzungu
2: Asia
3: mwafrika

Jibu ni mwafrika
Mwafrika ni uzao wa hamu ulilaanika ukasambaa kusini hata afrika

Kuhusu rangi
Tujiulize hili, ukikaaa bonde la usangu jua linawaka balaa badala kuwa mweupe unaanza kuwa mweusi,
Pili kwa nini watu wanaoishi sana ukanda wa ikweta wengi ni mablack sanaaa, kadiri unavyoenda kaskazini zaidi au kusini zaidi watu huanza kuwa weupe mfano mabushmen kule south ila uje zambia cameroon hawa mabantu ni mablack usipime

Swali
Je rangi inaendana na hali ya hewa?

Maana miaka mingi nyuma jamii ya waafrika ilikuwa ni misri, libya, ethiopia ukanda wa kaskazini kwingine hakukuwa na watu, ila walianza sambaa baadaye kupitia magharibi na kaskazini mfano wabantu, kalamajong wahadzabe, wairaq n.k wakasambaa kusini,

Najaribu kufikiria kuwa laana ya hamu kumchungulia baba yake imetuleta huku uafrikani uliochangiwa na hali ya hewa ukanda wa ikweta jua ni kali sana ili kumaintain mazingira ngozi lazima ibadirike,


Nenda maeneo ya bonde la usangu hata wazungu hupoteza ile ngozi yao ya asili kabisa na kuanza kuwa ngumu[emoji1][emoji1][emoji1]
 
Je wafahamu kuwa abrahamu au ibrahimu ni mweusi.
Ibrahimu si mweusi ni uzao wa shemu ambao umepelekea

watu wa jamii ya asia yote israel na waarabu kwa ujumla
Jamii ya Jafeti ni jamii ya watu wa ulaya warusi n.k wanaitwa gogu na magogu

Jamii ya hamu ndo hawa waliosambaa kusini ambao ni waafrika

Kumbuka bala la amerika lote ni wageni waliotoka sehemu mbalimbali za asili zao kama wahindi wekundu wa zani na hawa wengine wote ndo maana hata color zao pia zipo tofauti na nchi zao za asili mfano america kusini walio wengi.


N.B: nakubali kurekebishwa na kukosolewa ila si kwa matusi let be civilized this time.
 
Awali ya yote ningependa kuwasalimu wanajamii wenzangu habari zenu, natumai ni wazima wa afya.

Nina maswali kadhaa ambayo ningependa kupata majawabu kutoka kwenu wana Jamiiforums yatakayo kuwa msaada na faida kwa jamii nzima na kubadili taswira na mtazamo wa jamii nzima juu ya asili ya mtu mweusi [ mwafrika ] na uwepo wake hapa duniani.

Maswali:
1. Je mtu mweusi[ Mwaafrika ] ni uzao wa Adamu na Hawa ?

2. Je Adamu na Hawa walikuwapo pekee duniani ? na Afrika kulikuwa hakuna watu?

3. Je uzao wa mtu mweusi ni kutoka ndani ya Afrika au nje ya Afrika ? Na Kama ni kutoka nje ni kutoka kwa nani watu wa bara la Ulaya [wazungu], watu wa Mashariki ya Kati, watu wa Asia ya mbali au watu wa bara la Amerika?

4. Je inawezekana mtu mweupe kwa mweupe [ mfano mzungu kwa mzungu ] kuzaa mtu mweusi?

N.b: Matusi na lugha za kuudhi hazitakiwi , pia unaweza kuongeza maswali yako kama kutakuwa na ulazima wa kufanya hivyo.
Adamu na hawa hawajawai kuwepo habari zao ni story tu
 
Naona kuna majibu ya aina mbili hapa,
1: wanajibu kibinadamu nje ya imani
2: wanaojibu kupitia imani zao

Kupitia imani pia imegawanyika kulingana na madhehebu yao na namna walivyofundishwa
1: kupitia biblia
2: kupitia quran

Ngoja niwapitishe kidogo hapa

Mwanzo 9 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
¹⁸ Wana wa Nuhu waliotoka katika safina, ni Shemu, na Hamu, na Yafethi; na Hamu ndiye baba wa Kanaani.
¹⁹ Hawa watatu walikuwa wana wa Nuhu na kwa hao nchi yote ikaenea watu.
²⁰ Nuhu akaanza kuwa mkulima, akapanda mizabibu;
²¹ akanywa divai, akalewa; akawa uchi katika hema yake.
²² Hamu, baba wa Kanaani, akauona uchi wa baba yake, akawaeleza ndugu zake wawili waliokuwa nje.
²³ Shemu na Yafethi wakatwaa vazi, wakalitanda mabegani mwao wote wawili, wakaenda kinyumenyume, wakaufunika uchi wa baba yao; na nyuso zao zilielekea nyuma, wala hawakuuona uchi wa baba yao.
²⁴ Nuhu akalevuka katika ulevi wake, akajua mwana wake mdogo alivyomtendea.
²⁵ Akasema,Na alaaniwe Kaanani;Atakuwa mtumwa kabisa kwa ndugu zake.
²⁶ Akasema,Na atukuzwe Bwana,Mungu wa Shemu;Na kaanani awe mtumwa wake.
²⁷ Mungu akamnafisishe Yafethi,Na akae katika hema za Shemu; Na kaanani awe mtumwa wake.

Kwa context hiii leo tuulizane nani mtumwa wa mwenzake?
1: mzungu
2: Asia
3: mwafrika

Jibu ni mwafrika
Mwafrika ni uzao wa hamu ulilaanika ukasambaa kusini hata afrika

Kuhusu rangi
Tujiulize hili, ukikaaa bonde la usangu jua linawaka balaa badala kuwa mweupe unaanza kuwa mweusi,
Pili kwa nini watu wanaoishi sana ukanda wa ikweta wengi ni mablack sanaaa, kadiri unavyoenda kaskazini zaidi au kusini zaidi watu huanza kuwa weupe mfano mabushmen kule south ila uje zambia cameroon hawa mabantu ni mablack usipime

Swali
Je rangi inaendana na hali ya hewa?

Maana miaka mingi nyuma jamii ya waafrika ilikuwa ni misri, libya, ethiopia ukanda wa kaskazini kwingine hakukuwa na watu, ila walianza sambaa baadaye kupitia magharibi na kaskazini mfano wabantu, kalamajong wahadzabe, wairaq n.k wakasambaa kusini,

Najaribu kufikiria kuwa laana ya hamu kumchungulia baba yake imetuleta huku uafrikani uliochangiwa na hali ya hewa ukanda wa ikweta jua ni kali sana ili kumaintain mazingira ngozi lazima ibadirike,


Nenda maeneo ya bonde la usangu hata wazungu hupoteza ile ngozi yao ya asili kabisa na kuanza kuwa ngumu[emoji1][emoji1][emoji1]
Inaaana watu weusi wakienda ulaya watazaa wazungu? Hivi vitu ni vya kukaririshwa tu.
 
Kwa hiyo ni sahihi kusema mtu mweusi[ Mwaafrika ] ni uzao wa mtu mweusi [ mwafrika ] mwenyewe na sio Adamu na Hawa ?
Kwanini unasema sio uzao wa Adamu na Hawa? Kwani nini kilithibitisha kwamba Adamu na Hawa walikuwa weupe?
 
Watu wote duniani ni ndugu sabb wazazi walikuwa ni adama na eva
 
Kuna wanaosema Mungu mweupe hawezi kuumba mtu mweusi na kuna wanaosema wazungu hununua sana vinyago vyeusi
 
Mkuu Nadhari ya “ Creation Theory” hii unaipata katika masomo mbalimbali ikiwemo Geography, History, Biology na sio katika vitabu tu vya kiimani vya kikristo na kiislamu .
Na swala la mimi kutokuwa na dini hayo ni maamuzi yangu binafsi amabayo hata wewe na mtu yoyote yule hapa duniani hawezi kuyabadali yapo hivyo na yata endelea kuwa hivyo. turudi kwenye maswali yangu Kama utakuwa na majawabu karibu kutoa majawabu yako na kuyatetea.
Creation theory katika vitabu vya masomo kama hayo uliyoyataja hakuna sehemu vinataja binadamu wa kwanza kuumbwa ni Adam na Hawa!
 
Ukitaka ushahidi wa kweli kamwe usitake kubase kwenye vitabu vya dini pekee.

UKWELI WENYEWE.
hapo mwanzo Muumba wa kweli alifanya uumbaji wa mtu kupitia Nguvu zake, na ninaposema Nguvu zake namaanisha si yeye Muumba aliyeshuka kuumba bali Mjakazi wake ama Mwana wake, na Mwana kimaandiko anaweza kuwa malaika, Christo wa kwanza ama christo wa pili pia hata mtu ni mwana wake vile vile.

Sasa Muumba wa kwel hakuwa na haja ya kushuka dunian kuumba isipokuwa kuweka sheria kwa viumbe wake wa awali kufanya kazi yake kimtiririko kulingana na sheria za uumbaji,

Kiumbe wake wa kwanza kuumbwa ndiye aliyeshiriki kumuunda mtu kutoka ktk ardhi ama udongo na ndipo kikatokea kinyago cheusi na baadae Kinyago icho kuwekewa pumzi ya uhai(roho).

Sasa tofaut ya rangi inakuja vipi, inakuja pale baada ya wazawa wa watu(black people) waliposambaa dunian kipindi hiko kuna bara moja tu, wazawa ama wana wa Mungu waliokuwa washirika wa lucifa/shetan kujibadiri mionekano yao na kuwa kama watu na kuja kuzaa na kuoa wanawake weusi na ndipo baadae kikatokea kizaz cha laana cha watu weupe wakubwa na waliokuwa na mionekano tofaut,

Machotara hawa ndio walio introduce tabia za hovyo mauwaji, vita na ibada za kishetan(dini) pia ushoga na usagaj ulianzia huku, na hiki ndicho kipind kinaitwa CRASH OF TITANS(anguko la malaika/miungu).

Baada ya machafuko kuzidi watu weusi walimlilia Muumba na ndipo aliamuru wabadili tabia zao ili waokolewe pamoja na nuhu maana mafuriko yangekuja kuufuta uzao huo ambao haukuwa halali dunian.

Unatakiwa ujuwe pia Nuhu wa ukweli hakuwa mzungu wala mweupe bali alkuwa mweus na aliitwa kwa majina ya kimila za kiafrika ya kale.

Baadhi ya machotara pia waliokubali kubadiri tabia zao waliingia ktk safina wakiongozana na familia ya Nuhu, na hawa machotara ndio waliokuja kuendeleza uzao wao baada ya kupona mafuriko.

Wahindi, wachina, wajapan,waarabu, wazungu na jamii za wanadamu tofaut na mtu mweusi chimbuko lao ni uzao wa wanawake weusi na jamii za malaika wahasi walipoowana na kuleta mbegu chotara ya laana ya watu weupe.

Na uzao huo wa watu weusi ulijitenga na ilikuwa sheria kuishi mbali na wanadamu weupe, maana hawo watu weupe hawakuacha machafuko kwakuwa yalikuwa ni asili yao, japo walijitenga na kuanzisha falme zao mbalimbali kama hizo za Persian, greece, Roman, Turkish, na hizi falme zilikuwa zikigain power ili kuja kuivamia ardhi ya watu weusi na kujaribu kuwafuta dunian ili kutimiza agenda za ujio wao dunian,

mbinu za kuwafuta ilikuwa ni kuwauwa, kuleta uzao wao kuja kuzaa na watu weusi ili kitokee kizazi kipya cha machotara tofaut na mtu wa asili.

Na ndiomaana ktk historia utaona kuwa afrika imekuwa ikivamiwa kila mara, kuanzia kipindi cha babu zetu mafarao waliochafuliwa sifa kwa kuitwa wakatiri na wauwaji, kumbe si kweli hata huyo musa hakuwai kuishi nje ya afrika wala waisrael wahajawai kuwa utumwani misri maana watu weusi hawakuwa na tamaduni za kuwatesa weusu wenzao, itoshe kusema biblia zenu zimewaingiza mkenge.

Miaka ya kuanzia 1400 A.D ndipo walifanikiwa kuiteka Africa rasmi kiakili,kimwil na kiroho kwa kuivamia na kuharibu falme zote zilizokuwa na nguvu, na pia kuharibu maktaba ya nakala za biblia za kwel huko misri na ilipokuwa Jerusalem ya kwel yaan central afrika, waliteketeza nakala hizo na zingine kusepa nazo kwenda kubadiri na kutuletea matoleo ya biblia za uongo na ujio wa uislam pia ni agenda ile ile.

Mujuwe kuwa hakuna undugu na hautowai kuwepo baina ya mtu mweusi na mtu mweupe, uliza hata kwa babu zako ilikuwa sheria kali kwa yeyote anayejihusisha na hao watu weupe, maana ilikuwa haram na laana kujihusisha na wazawa wa miungu/mashetani, na hapa chuki hii ndio inaendelea hata leo kwa waafrika kuua albino maana hawana ile asili ya uafrika.

Vita baina ya mtu mweusi na mweupe haita kwisha mpka mwisho wa dunia haki itakapopatikana.

Hizi dini, elimu na sayansi za kileo ni matokeo ya wazawa weupe kutaka kuutawala ulimwengu hususan bara la afrika, na ndiomaana hawaishi kutwangana wao kwa wao wakigombea usuper power, maana wanajua siri ya dunia kuwa ukifanikiwa kuitawala afrika basi umeitawala dunia, ndiomaana USA anatumia nguvu zote kuzorotesha maendeleo ya afrika ili isijitegemee pia china,india na nchi zngne hutumia nguvu kubwa kusambaza ushawishi kwa afrika ili zikubalike na baadae zisambaze sharia zao waiteke afrika.

Elimu hii hutopata kwenye hayo magenge yenu ya ibada za kishetan mnakowaabudu Miungu ya wazungu na waarabu, ukristo na uislam ni copy ya Imani walizokuwa wakiabudu mababu zetu kabla ya ujio wa hawa mashetan na dini zao.
 
Watu wote duniani ni ndugu sabb wazazi walikuwa ni adama na eva
Wangekuwa ndugu zako basi ungekuwa na wajomba Asia na ulaya, acha ujinga ruhusu akili ifanye kazi, tangu lini mzungu kwa mzungu wakazaa jitu leusi tii?

Hata elimu ya shule ya msingi inakataa na hakuna muujiza ktk uzazi acheni kudanganywa na dini za kishetan
 
Back
Top Bottom