Mtu Mweusi [Mwafrika] sio uzao wa Adam na Hawa

Mtu Mweusi [Mwafrika] sio uzao wa Adam na Hawa

Hahaha...
You are what you eat..
Nenda kaishi greenland,usipate jua,halafu uwe unakula samaki tu utaona kama ngozi yako na muonekano wako na utakachokizaa hakitobadilika..

Mkuu,hizi nazaria(theory),ni matokeo ya milioni ya miaka ..
Kuwa mamilioni ya miaka inazuia vipi kuthibitika?
 
Wapi ilipowataja 'Adam na Hawa' kwenye hicho kitabu na kimeandikwa na nani? Toa rejea za kutosha
Mkuu sasa huu unapoelekea utakuwa ni mchezo wa watoto wakati sisi ni watu wazima . Nimekwisha kutajia creation theory inapatikana katika vitabu vya History, Biology , Geography unaweza ukaandika hata mitandao ukajifunza zaidi .

Ili kuepesha huu mjadala kwenye nje ya lengo lililo kusudiwa.
 
Mkuu unataka nadharia ya Creation Theory au unataka maisha yote ya Adam na Hawa yaelezewe kwenye kitabu cha Historia na Jiografia ?
Wewe sema ulipotoa hayo majina ya 'Adam na Hawa' ni wapi weka na rejea zako, acha kuukwepa ukweli unarukaruka nini?
 
Mkuu sasa huu unapoelekea utakuwa ni mchezo wa watoto wakati sisi ni watu wazima . Nimekwisha kutajia creation theory inapatikana katika vitabu vya History, Biology , Geography unaweza ukaandika hata mitandao ukajifunza zaidi . Ili kuepesha huu mjadala kwenye nje ya lengo lililo kusudiwa.
Onyesha ni kitabu kipi kati ya hivyo ulivyovitaja na mwandishi yupi alieandika kuhusu 'Adam na Hawa' namaanisha taja jina la Kitabu na mwandishi wa kitabu
 
Asili ya Mzungu ni mchanganyiko wa binadamu na alliens wakiwemo majini. Ukisoma biblia waliitwa majitu uzao wa malaika waliofanya ngono na wanawake wa kibinadamu waliokutwa uchi wakioga mtoni wakazaliwa majitu.
Weka mistari ya biblia inayosema hivyo,biblia gani hiyo???

Biblia Mwanzo 2:7 inasema kuwa Mungu alimuumba binaadamu kwa vumbi..
IMG_20220813_202057.png
 
Je asili ya mtu mweusi ni nini?
Mabadiliko ya hali ya hewa,kawa Mweusi sababu ya kupigwa jua.
Hata weupe wakikaa mda mrefu afrika weupe wao uanza kufifia so kitendo hiki cha mabadiliko ya rangi ni cha miaka.Kadri watu wanavyozidi kurudi chini ya ikweta ndivyo uzidi kuwa weusi
 
Bila shaka huo ni mtazamo wako ila hakuna ukweli wowote.
Nadhani unafaham ama ushawahi kumskia malikia wa Sheba kutoka Ethiopia,
Malkia wa Sheba alizaa na Mfalme Suleman, mtoto aliitwa Meneliki wa Kwanza naye akamza Menelik II, Menelik II akamzaa Haile Sellasie
Swali je hao wote walikuwa watu weupe na ikumbukwe Suleman ni uzao wa Daudi generation ya Baba wa Iman Ibrahim.

Ungesema habar za Evolution kibiologia angalau ungekuwa unaelekea kweny fact japo hakuna empirical evidence.
Hiyo ni story kutoka kijiwe cha ma Rastamani a.k.a wakushi
 
Mabadiliko ya hali ya hewa,kawa Mweusi sababu ya kupigwa jua.
Hata weupe wakikaa mda mrefu afrika weupe wao uanza kufifia so kitendo hiki cha mabadiliko ya rangi ni cha miaka.Kadri watu wanavyozidi kurudi chini ya ikweta ndivyo uzidi kuwa weusi
Kwani watu weupe hawapigwi na jua huko kwao Ulaya ?
 
Sawa wewe kwa upande wako mtu mweusi katokana na jamii yake yenyewe ya watu weusi au katokana na jamii ya rangi nyingine?
Kama angelitokana na jamii ya rangi nyingine, Basi asingelikuwa mtu mweusi.
 
Ish
Hiyo ni story kutoka kijiwe cha ma Rastamani a.k.a wakushi

Ishu ya malkia wa Sheba na Mfalme Suleman hiyo mbona inajulikana dini zote zimeeleza vizuri tu, ila tatizo la mtanzania ukitaka kumpoteza na kumficha kitu muamdikie kwenye kitabu.
 
Je wazungu wakikaa Afrika na wakajamiana baina ya Wazungu kwa wazungu mtoto atakaye toka hapo atakuwa mweusi mfano Kama Mangala ? Na je Weusi wakienda kuishi ulaya na waka jamiana weusi kwa weusi mtoto atatoka mweupe mfano Kama Billget ?

N.b Rejea swali namba 4.
Mzee kuna maarifa ya kila siku (inayoangalia vizazi 2.-4) na kuna maarifa ya sayansi inayopima habari za karne na milenia. Mabadiliko hutokea polepole.
 
Back
Top Bottom