Mtu ukiwa na pesa, somesha mwanao international schools, achana na hizi exam based schools or education

Mkuu, kama pesa ipo mpeleke mtoto shule nzuri
 
Mpaka inakatisha tamaa kabisa.

Kuna vituko vilitokea shirika la reli aisee..
 
cariha suala la elimu sio kazi ya serikali tu. Hapana unakosea. Mtoto na mzazi pia wana mchango mkubwa sana katika kutatua changamoto hii.

Siku hizi access ya internet ni kubwa kiasi kwamba mtoto anaweza akaongozwa vema na mzazi anayejitambua katika kujiongezea maarifa.
 
Talent inakuzwa, na sehemu ya kukuza hio talent ni shule ndio maana wakaanzisha shule za vipaji ingawa lengo la hizo shule halikufikiwa.Wenzetu huko ulaya was Academy za soka.Marekani wana Jim club kukuza mabondia.Hakuna talent inayojikuza yenyewe ndi maana Diamond na wasafi yake huwachukua wasanii kuwakuza, kama kungekuwa na shule kulikuwa hakuna haja hizo lebo.
 
Haijaishi umesoma Mpaka level gani foundation ndio kila kitu Nina uhakika reasoning yako and analytical skills zako ni tofauti kabisa na wale watoto wa Breibum na IST
 
Umeona sasa [emoji23][emoji23][emoji23] yale yale.
Ukisema yaleyale ndiyo unakuwa umeelewekaje/umesemaje au ndiyo unaongea kimataifa

Ulichoonge mwanzo hujaeleweka fafanua
Basi bado unaleta manyanga
 
Sasa mbona watu ninaowafahamu mimi ambao walisoma International asilimia kubwa wamesoma vyuo vyetu vya Kibongo,Wameajiriwa kwenye fani zile zile za sisi akina Yakhe,Sasa je,unataka kuniambia kuwa hao wote wameshuka kiwango?.
 
Ukisema yaleyale ndiyo unakuwa umeelewekaje/umesemaje au ndiyo unaongea kimataifa

Ulichoonge mwanzo hujaeleweka fafanua
Basi bado unaleta manyanga
Una IQ ya ngapi ndugu? Hadi unashindwa kuelewa vitu simple kama vile ?
 
Sasa mbona watu ninaowafahamu mimi ambao walisoma International asilimia kubwa wamesoma vyuo vyetu vya Kibongo,Wameajiriwa kwenye fani zile zile za sisi akina Yakhe,Sasa je,unataka kuniambia kuwa hao wote wameshuka kiwango?.
mkuu fatilia vizuri sababu za wao kusoma hapa....kumbuka ili kuweza kuwa qualified kusoma nje kutokea International schools lazima upitishwe na CIA (Cambridge International Assessment) tena hiyo ni hatua ya pili baada ya kupita AS inayofanywa sana na walimu wa hapohapo shuleni... So unaweza kuwa na expectation ya kusoma nje ila ukakosa vigezo ukaamua kusoma hapahapa..

Mimi kuna alumn wa miaka 2 iliyopita ninaowajua walisoma shuleni hapa 80 wote wameenda vyuo vya nje na waliofail wengine wanapiga kazi office za wazee wao wengine wanasoma hapa bongo....

Ila pia unaweza soma PYP, MYP kwa primary au ukafanikiwa vuka hadi olevel na alevel wanaotumia IGCSE ukamaliza alafu uchumi ukawa mbaya home, ukaenda shule za kawaida as long as unaufaulu mzuri.....

So ni kweli wanaosoma bongo wapo ila wachache sana na wanakuwaga na sababu 2 tu kukatwa na CIA au uchumi bro
 
Wazo zuri
 
Ndio swala la elimu ni la wote Ila think about mtaala Raia wakawaida huwezi kujibunia mtaala hapo lazima ushirikiane na serikali ili Mambo yaende vizuri. Pia kiongozi wa mwalimu unahitajika pia maana mzazi huwezi google Jambo lolote na ku mu feed mtoto tu bila kuchuja
 
Tatizo ada zao hadi mil 45.
 
Hapa wengi wanawaza kama mkoloni alivyopanga iwe.Watu wanataka mtoto aongee kingereza kama vile hapa Uingereza.Hizo International organization zinatoa ajira ngapi mpaka tufate mtaala wao ? Mmesoma curriculum development au mnalopoka bila ufahamu.Yani tubadili mtaala uwe wa kimataifa nchi gani imewahi Fanya hivyo ? Hata Marekani hawawezi kufanya huo ujinga.
Hivi Tz unaweza ishi mahala mpaka ukajuta hicho kingereza ulijifunza cha nini maana Hana wa kuongea nae.
Huwa najiuliza watu waliopelekwa kusoma ulaya wameleta faida gani kwa nchi zaidi ya kuleta machotara wa kizungu. Ni bora anaesoma kayumba m,kama kuna teknolijia au jambo kubwa tujuzane.Wasomi wetu hao wanaojua kingereza wameshindwa hata kuandika vitabu ili tujitegemee tusiagize virabu vya wazungu.
 
Lakini mbona kibongo talent nyingi zinatoka kwa watu ambao ni masikini na wasio na elimu kubwa
Mbona hatuoni hao international wakiongoza kwenye fani nyingi zinazotumia vipaji sana
Tajiri namba moja wa Tanzania bwana Mo kasoma shule gani?? Mo amesoma International School of Tanganyika (IST)

Watu wote tunahangaika kutafuta hela/utajiri. Sasa kama tajiri namba moja kasoma IST unataka kutulinganishia na nani mwingine??
 
Kama uwezo wako sio wa kumpeleka mwanao hizo shule, mpeleke shule zetu hizi hizi kisha mtengenezee mazingira hayo ya ki international nyumbani.

Mfundishe kujiamini, ongea nae ktk mazingira ya kutaka ushauri wake utamjengea reasoning skills, usiwe unamfokea hovyo, tembea nae maeneo mbalimbali apate exposure, muache afanye anachokitaka ilimradi hakivuki mipaka ya kimaadili.
 
Kama uwezo wako sio wa kumpeleka mwanao hizo shule, mpeleke shule zetu hizi hizi kisha mtengenezee mazingira hayo ya ki international nyumbani.

Mfundishe kujiamini, ongea nae ktk mazingira ya kutaka ushauri wake utamjengea reasoning skills, usiwe unamfokea hovyo, tembea nae maeneo mbalimbali apate exposure, muache afanye anachokitaka ilimradi hakivuki mipaka ya kimaadili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…