Mtu ukiwa na pesa, somesha mwanao international schools, achana na hizi exam based schools or education

Mtu ukiwa na pesa, somesha mwanao international schools, achana na hizi exam based schools or education

Sijui shuke nyingine,lakini wanafunzi wa IST wanakwenda katika program moja inaitwa Model United Nations, hapo Nairobi UN office. Wanafunzi waliochaguliwa wanaiwakilisha nchi tofauti katika debate kama wanavyofanya katika mikutano ya Umoja wa Mataifa.

Labda, njia ya kufika UN inaanza hapo.
Mkuu ni kukosa pesa tu ila hizi shule hasa english medium zinaharibu watoto kwa kuwakalilisha tu ili wafaulu sana wapate wanafunzi zaidi. Ebu fikiria mtoto wa primary darasa la nne gari inamptia saa 11 halafu anabaki shule eti wanasoma masomo ya ziada ya kujiandaa na mtihani nyumbani anafika saa mbili usku.
Mimi najiuliza kama primary mtoto anasoma serious hivyo je sekondari.
 
Mkuu ni kukosa pesa tu ila hizi shule hasa english medium zinaharibu watoto kwa kuwakalilisha tu ili wafaulu sana wapate wanafunzi zaidi. Ebu fikiria mtoto wa primary darasa la nne gari inamptia saa 11 halafu anabaki shule eti wanasoma masomo ya ziada ya kujiandaa na mtihani nyumbani anafika saa mbili usku.
Mimi najiuliza kama primary mtoto anasoma serious hivyo je sekondari.
Mkuu, Hii ni kawaida katika nchi za Asia pia.
Wanafunzi wa Korea, China na Japan wanasoma shule, halafu tuition,halafu kujifunza piano, ballet etc. Yote kujitayarisha kuingia vyuo vikuu elite.
 
Mkuu, Hii ni kawaida katika nchi za Asia pia.
Wanafunzi wa Korea, China na Japan wanasoma shule, halafu tuition,halafu kujifunza piano, ballet etc. Yote kujitayarisha kuingia vyuo vikuu elite.
Si unaona wanachnaganya walau vitu, wa huku wanakalili notsi siyo kwamba wanawaandaa kuingia vyuoni, bali wanawaandaa wafaulu shule ipate wanafunzi wengi.
Kuna shule flani iko maeneo ya posta ni ya wahindi haina mtaala wa tz pale watoto wanasoma vitu yani vingine kabisa, mara kuogela, mara tennis na hawakai kidogo tu wameenda mbele huko. Waafrika ni wachache sana pale.
Siku neema ikinishukukiwa wanangu nawapeleka shule zenye mitaala tofauti.
 
Si unaona wanachnaganya walau vitu, wa huku wanakalili notsi siyo kwamba wanawaandaa kuingia vyuoni, bali wanawaandaa wafaulu shule ipate wanafunzi wengi.
Kuna shule flani iko maeneo ya posta ni ya wahindi haina mtaala wa tz pale watoto wanasoma vitu yani vingine kabisa, mara kuogela, mara tennis na hawakai kidogo tu wameenda mbele huko. Waafrika ni wachache sana pale.
Siku neema ikinishukukiwa wanangu nawapeleka shule zenye mitaala tofauti.
Elimu ni biashara, hapa na nje vile vile. Ukiwa na uwezo,msomeshe mwanao shule inayoweza kumsaidia kujiandaa kimaisha.

Binafsi, utajiri si muhimu kuliko kupanua mawazo ya mtoto kuelewa vitu tofauti zaidi ya kusoma na kuandika. Naamini kama elimu yetu ingekuwa bora nchi nzima, ingezalisha viongozi bora pia.
 
Mkuu kuna world scholars kibao ambao hawajakanyaga hizo international schools na wanaheshimika kwenye field zao. Nafikiri hizo shule zimeanzishwa purposely kwa ajili ya watoto wa mabalozi kwenye nchi husika, hakuna jipya...
Ndugu kwani ugomvi? Haya peleka mwanao huko Kimanumanu sec school
 
Back
Top Bottom