Ndio sababu unaambiwa usiseme TWAFA, sema NAFA. Lakini si kuna Watabzabia wanasomesha watoto pale?Kila Mtanzania bila shaka angependa mtoto wake asome International School of Tanganyika (IST) lakini wangapi wanaweza karo zake?
What reasoning? elezea maana ya hicho kinachoitwa reasoning..Unaweza kuwa umefika huko lote lkn reasoning yako ikawa bado chini tu.
Wadanganye wajingaMtu ukiwa na hela ya kueleweka ama kama unataka kuwekeza kweli kwa watoto wako, wasomeshe international schools au shule zenye mitaala ya kimataifa.
Hizi shule zenye mitaala ya kimataifa zinawajenga watoto kwenye analytical skills, reasoning, logic, creativity, competence na mambo kama hayo.
Ukikutana na mtoto wa darasa la 6 wa hizi shule, reasoning yake ama analytical skills zake ni sawa na kijana wa form six wa necta schools.
Shule hizi hazilengi kuona mtoto anapata nini au maksi gani darasani bali kuibua talents nyingine alizonazo mtoto sio hizi za necta ambazo zimejikita kwenye ufaulu tu wa mwanafunzi.
Ukitaka kuwekeza kwenye elimu ya kweli kwa mwanao na kama uwezo upo peleka mwanao shule zenye mitaala ya kimataifa.
Watoto wa Bakhresa karibia wote wamesoma IST lakini woote ni MATAGA yaani hata kuwapa uongozi ktk kampuni Mzee analazimisha tu sasa hapo sijui tatizo ni nini Mkuu au inategemea na I.Q ya mtu kama kichwa chako ni maji ni maji tu. hii imekuwa ikinisumbua akili saana. Chukulia mfano shule walizosoma watu wenye akili hapa nchini kama Nyerere,Tundu Lissu, Warioba arafu linganisha na hawa wa kizazi cha sasa wakina Lemutuz waliosoma International schoolsKila Mtanzania bila shaka angependa mtoto wake asome International School of Tanganyika (IST) lakini wangapi wanaweza karo zake?
Tatizo mtu mweusi yuko brainwashed na fikra kwamba hakuna anachoweza hadi asomeshwe na mzungu au asome shule za wazungu. Na hii ndo imefanya wazungu wametu-undermine karibu kila sekta ya maisha toka miaka mingi sana. Sasa wewe umekiri kwamba you among a few best students, lakini bado unajidharau kwamba bila kufundishwa reasoning na analysis na mzungu bado wewe si kitu!Huo uelewa mnaupima vipi? Maana hata mimi nimesoma special school ilboru sec tena advance na nikatoka na 1 ya mwisho mwisho huko , sasa mkuu kwa taarifa tu ni kwamba hakuna tofauti kati ya anaesoma special school tena hapa bongo na yule asiyesoma special school ni kwamba wengi tuliosoma shule hizi zinazoitwa special ni tuna mentality ya u superior wakati wote tunameza kwa ajili ya necta tu na chuo mnakutana na mwenye three yake safi na wote mna mkopo na wote tena mnaeza mkawa mnasoma course moja.
Special school mbele sio hapa bongo.
Hapo sasa, ukiwa huna hivyo vitu ina maana ubongo wako umekufa...Kwa hiyo Sisi akina Uchebe wa St.Kayumba hatuna creativity, reasoning na logic?.
Ndio hizo hizo za std 7 zimeniwezesha kua na maisha mazuri.Akili hizi ndizo zilizotufikisha hapa ,sisi kama nchi.
Tatizo wengi mko brainwashed na hicho mnachoita reasoning na analytical skills ambacho kimsingi ni kutekwa kifikra, namaanisha huyo anayekufundisha huko IST sijui na international school gani huko hataki uwe huru kifikra ndo maana anakuingizia ideology za ushoga na unaona ni kitu kizuri kabisa, simply because ameshakuteka kifikra. Wengi mmekwama hapo kwenye ndoto kwamba mtoto wangu akisoma IST atakuwa katibu mkuu wa UN kwa sababu ana analytical na reasoning skills, then what! hivi kuna binadamu hata kama hajakanyaga darasani ambaye hawezi kufanya reasoning na analyisis? labda kama ubongo wake umekufa.
Wewe akili utoe wapi?Wadanganye wajinga
Si ndo nauliza?Hapo sasa, ukiwa huna hivyo vitu ina maana ubongo wako umekufa...
Kuna facts apa ila umeongea kishabiki sana mpaka umepotez mantiki ya bandiko lako ambalo lina ukweli sehemu na sehemu, Umewahi kumsikia The late Ambassador Mahiga kwenye viunga vya international affairs? He was truly DiplomatSi kweli. Tunaona changamoto sana kwa hawa waliosoma Kayumba na kubahatika kufika level za kimataifa kwenye kazi za kimataifa.
-
Wengine walifanikiwa kufika level hizo kwa Connection tu. Kwa mfano nafanya kazi na Mtanzania mwenzangu kwenye International Organizational nchini Nambia, huyu Mdada amepata kazi kwenye hiyo Organization kwa sababu tu Ndugu yake ni Balozi wa Namibia.
-
Imemlazimu kufanya short course kuanzia Lugha mpaka Communications Skills na nyinginezo kwa sababu yeye mwenyewe anajionea aibu.
-
Hizo International school zinawajenga watoto vizuri sana hata kwa KUFIKIRI na kujiamini na mzazi ukiwa msimamizi mzuri wa mtoto wako atafika mbali sana na atakuwa very presentable kwa fadhila za International Schools.
-
It is very serious issue sisi tulio kwenye International Organization tunaona mengi na tunaona changamoto ya Mfumo wetu wa elimu na Africa kwa Ujumla.
-
Ukiona Kayumba yupo kwenye hizi Organization na anafanya vyema ujue huyo kaji mix sana na anapenda kujifunza vitu mbalimbali au ana exposure ya maisha.
-
Kwanza sisi wabongo hata kuongea hatujui, sijui kwa nini ! Sio English wala Kiswahili, hatujui kuongea na wala hatufikirii tunachongea.
-
Ukitaka kuona hilo angalia wasanii wetu wanavyojibu maswali, angalia wachezaji mpira wakihojiwa akiwemo Samatha, zero kabisa, njoo kwenye ngazi za viongozi, zero kabisa, sio Kiswahili wala English.
-
Msanii anaejua kuongea vyema Kiswahili na English ni Sepetu na Vanesi na Kiongozi ni Mkapa na January tu.
-
Shida ipo sana eneo hili na ndio maana once it comes about International Interviews , yaani WATZD huwa ni wa mwisho na hapo unakuta mtu ana vyeti vizuri na pass Marks zake.
What reasoning? elezea maana ya hicho kinachoitwa reasoning..
ni kweli mkuu mfukoni wanakuwa wapo vizuri cha msingi wazazi wao wanaamini wakipata exposure ya kuwa karibu na watu wengine from Royal families basi hata kimawazo na kusaidiana watafaidika.....wanakuwa kama wanatengeneza team ya wenye uwezo kubebana nje ya elimuNilivyokuelewa ni km vile wanakuwa tayari ni watu kutoka Royal families kwa hiyo mambo ya connection za masomo ya nje ya nchi zipo nje nje,Maana kwa mtu km mimi Kapuku eti nimejichanga changa tuhela twangu twa kahawa au korosho nikajipinda nikampeleka shule hizo za kiinternational bila connection sidhani km mwanangu anaweza kufika ktk vyuo hivyo vya Mamtoni,kwangu ni km naota .
Shida ni viongozi wetu wa kisiasa kwasababu suala la kubadili mitaala limeanza kupigiwa kelele siku nyingi lakini wanachikifanya ni kubadilisha topic za nyuma kwenda mbele na za mbele kwenda nyuma au kuongeza content za mambo yasiyo ya muhimu sana.Hivi inamaana hatuwezi kubadilisha mitaala ya hizi shule zetu ziwe kama za kimataifa. Najiuliza tu. Kwani hatuwezi au ni nini shida
Ume-expose upumbavu wako wote hapa, yaani hicho kichwa unafugia nywele tu...Unaona akili za hovyo hizi
Yaani wewe umeona percent ya mliofaulu ni 10% kati ya 100%,wengine wote 90% walifeli wewe unachukulia hiyo 10% ndio normal wakati ni exception?
Mpumbavu kweli,na unadhani wanao watakua na akili kama wewe?Lazima regression law i-take place,maana two extremes hua zinatend ku-regress towards the mean.
Hivyo wanao watakua hoe hae,hivyo mpeleke Kayumba uliyopitia wewe "exception" uone kama hutaokota makapi...
Nina mwenzangu yeye alipata 150 Primary,akapata 1.7 Olevel halafu 1.3 Advance halafu 4.4 Coet Telecoms
Sasa hivi anaongea upumbavu wa eti mbona mi nilipita Kayumba,guess what mwanae kati ya watoto 48 anakua wa 36 darasa la tatu...
.....eti "Mbona mimi nilipita Kayumba nikapata A zote",well,that was you sio mwanao...separate the two.....
Wahusika watakuwa wameingia mitini..Si ndo nauliza?
Sasa hizo fikra si zinaibuliwa huko na wakubwa wa kwenye international community waliosoma international schools. Au unafikiri mimi kutoka kijiji cha nyambitilwa naweza kuibua hoja yoyote wazito wa dunia wakaielewa.Kuna mashoga kibao mtaani na hawajasoma IST, nioneshe James Delicisous mmoja aliaesoma international school yoyote kubwa