Kwan hapa watu wanaongelea kwamba ukisoma IST ndo utaweza kusimamia mali za wazazHahiitaji kusoma IST ndio uweze kurithi mali za baba na kuzisimamia
Sawa tutajie hao darasa la 7 waliorithi mali za baba zao na wakawa the richest person in Tz na the youngest billionaire in Africa...usiongee general statement zisizo na data.!.usiwe kama wale wanaosema wasio soma wana maisha mazuri kuliko waliosoma but wakiambiwa walete data wanarukarukaMkuu umetoka nje ya mada kabisa,habari za wivu zinatoka wapi tena ongea mada iliyopo mezani.
Mo karithi utajiri kwa baba yake kitu ambacho hata darasa la 7 pia anaweza kufanya kama kwa kuna mali.
Kama hii ndio reasoning na analytical skills ya mliopita international schools, basi aliyesema hamuwezi kusoma science, nyie mnaenda kuwa maDJ wa muziki hajakoseaHizo ni kazi za kufanywa na serikali yako kwa kuweka mazingira rafiki,we unataka afanye mtoto wa mwenzako aliyejipinda...acha iwe faida kwake na kwa familia yake, we lia na serikali yako
siku watakayothubutu kufanya ivi na madarakani watang'oka kitu ambacho wao hawataki kukisikia.....Nadhani serikali ijaribu kubuni mfumo mzuri utakaojengea wanafunzi ufahamu na uelewa wa kusoma na kuweza kutatua changamoto za mazingira yetu
Watoto wa mawaziri wenyewe tunakimbizana nao kwenye ma corridor ya Kibaha secondaryKila Mtanzania bila shaka angependa mtoto wake asome International School of Tanganyika (IST) lakini wangapi wanaweza karo zake?
Tukibadilisha mtaala ccm itakosa wapiga kuraHivi inamaana hatuwezi kubadilisha mitaala ya hizi shule zetu ziwe kama za kimataifa. Najiuliza tu. Kwani hatuwezi au ni nini shida
Usingekuwa hapa muda huuMbona wengine tumesoma hizi hizi shule za sirikali, tena shule ya msingi kijijini kwa babu kuongea kilugha mwanzo mwisho lakini tumefanikiwa kupata scholorship kusoma Masters na PhD kwenye international universities ambazo zipo kwenye world ranking ya 10 bora, what happened?
Hongera, maana umekuwa mzalendo. Jamii yetu imezungukwa na watu (wakulima, wafugaji, wavuvi) wanaoishi katika umasikini mkubwa. Je hizi elimu za IST zimewasaidia hawa watu wetu kuondoka kwenye umasikini? Kujieleza na confidence ni vitu vizuri sana, lakini elimu bora inatakiwa ijikite kwenye kuleta maendeleo ya watu katika jamii yetu na siyo mtu mmoja tu binafsi.
Natamani wanaosifia sana hizo international schools na wao kusoma Universities za nje ya nchi na kuishi huko watuletee mifano ya watu waliotoka hizo shule na kwa jinsi gani wamekuwa msaada/ role models kwa watu wetu wa Tanzania.
Je tunahitaji skills gani kuwasaidia wakulima na wafugaji wetu ambao ndio majority. Tunahitaji watu wa kwenda majukwaani na kwenye makongamano na kuongea kingereza/ kiswahili kizuri? Je ili vijana wetu waweze kujiajiri hapa Tanzania wanahitaji skills gani?
Hebu tuache haya mambo ya kurithiswa/ kuaminishwa na wakoloni tuwaze nje ya Box. Tunahitaji skills zipi za kuwatoa watu wetu kweye umasikini, wazalishe kwa ubora na ufanisi na kupata masoko ya bidhaa zao? Skills gani za kuwawezesha vijana kujiajiri?
Andiko lingekuwa zuri sana kama wangesema muasisi wa kampuni kama ASAS, Tanga milk, Shambani milk, alisoma IST kwa sasa anamiliki kiwanda cha bidhaa za maziwa. Ananunua maziwa kiwa wafugaji pia kaajiri waTanzania kadhaa kwenye processing, distribution na marketing. Hizo habari za exposure za kuishi na kufanya kazi nje ya nchi ni fursa zilizopo kwa vijana wachache sana na hazina trickle down effects kwa waTanzania walio wengi.
Hiki ndo namaanisha kwamba upo brainwashed, kabla wazungu wakoloni hawajaja afrika walikuwa hawaishi? na waliishi vp, kama hawakuwa na reasoning na analytical capability mnazotafuta sasa kwa wazungu.Tatizo hizo shule zenyewe katuletea huyo mzungu unayembeza,
Kakufundisha kusoma na kuandika na una type kupitia device yake...then unataka uvimbe eti elimu yao ni kuwa brainwashed ,ha ha haaa kweli dunia haiishiwi vituko
Reply yako tu inaonesha jinsi gani haujiamini ,na hayo maisha mazuri ni kwa mtizamo wako.Ndio hizo hizo za std 7 zimeniwezesha kua na maisha mazuri.
unaijua taasisi inaitwa MENSA?Tatizo mtu mweusi yuko brainwashed na fikra kwamba hakuna anachoweza hadi asomeshwe na mzungu au asome shule za wazungu. Na hii ndo imefanya wazungu wametu-undermine karibu kila sekta ya maisha toka miaka mingi sana. Sasa wewe umekiri kwamba you among a few best students, lakini bado unajidharau kwamba bila kufundishwa reasoning na analysis na mzungu bado wewe si kitu!
Nimeelezea binadamu wenye IQ kubwa sio wewe mtu , walioelewa hapo ndiyo wenye sifa ya kuitwa binadamu .Tuambie wewe maana hata kuelezea tu kitu mtu akuelewe huwezi
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Ila ukishindwa peleka English Media za ukweli angalauMtu ukiwa na hela ya kueleweka ama kama unataka kuwekeza kweli kwa watoto wako, wasomeshe international schools au shule zenye mitaala ya kimataifa.
Hizi shule zenye mitaala ya kimataifa zinawajenga watoto kwenye analytical skills, reasoning, logic, creativity, competence na mambo kama hayo.
Ukikutana na mtoto wa darasa la 6 wa hizi shule, reasoning yake ama analytical skills zake ni sawa na kijana wa form six wa necta schools.
Shule hizi hazilengi kuona mtoto anapata nini au maksi gani darasani bali kuibua talents nyingine alizonazo mtoto sio hizi za necta ambazo zimejikita kwenye ufaulu tu wa mwanafunzi.
Ukitaka kuwekeza kwenye elimu ya kweli kwa mwanao na kama uwezo upo peleka mwanao shule zenye mitaala ya kimataifa.
Hapana..unaijua taasisi inaitwa MENSA?
Hata hizi English medium zina walakinIla ukishindwa peleka English Media za ukweli angalau
sasa nimeelewa kwanini umejibu ulivyojibu.Hapana..