Ila ukishindwa peleka English Media za ukweli angalau
Sijaongelea kwenda ulaya popote katika comment yangu. Nimeonvelea exposure in a wide term!!ulimwengu upi huo?kama unamaanisha ulimwengu ni ulaya kuna watu hawajasoma kabisa na kila mwezii wanaenda ulaya.
Jombii hujitambui na wala hujui unaongea nini bora kukaa kimya kuficha ujinga wakoNimeelezea binadamu wenye IQ kubwa sio wewe mtu , walioelewa hapo ndiyo wenye sifa ya kuitwa binadamu .
Yaani umegonga mule mule. Urudi kufanya nini bwana wakati huko ulaya wanakuona kifaa na unalipwa vilivyo.Hivi kwel usome international schools kutoka primary mpk secondary na chuo ukasome nje ww unarud bongo kuja kufanya nn
Yaan kama ni udaktar uache kufanye kaz hospital bora na zenye vifaa vizur uje kukimbilia muhimbili
Au kama ni Engineer uache project kubwa kubwa dunian uje kufanya kaz Tarura au Tanroads hiv hta kama ni wewe una CV hyo ungerud bongo ?
Most ya wanaosoma hizo shule mara nyingi hawarud bongo anarud kufanya nn connection sio wazaz tu hata watu aliosoma nao ni watoto wa mabaloz au wafanyabiashar wakubwa anarud kufanya nn
Swali la kujiuliuza ungekuwa ww ndo umesoma hvyo ungerud bongo?
Hapo utajua kwa nn impact yao huioni Tanzania utaiona na ww ukianza kupata exposure ya kufanya kaz mashrika ya nje
Hahaaa kumbe ni waendelee kuwa na jamii ya wajinga wengi ili watawale milelesiku watakayothubutu kufanya ivi na madarakani watang'oka kitu ambacho wao hawataki kukisikia.....
Kweli ukiona Elimu ni ghali, basi jaribu ujonga.Niache kula vizuri, niache starehe eti mtoto asome shule nzuri?
Atasoma hizo za baba ake
Kaijifunze kuandika kwanza ndio uje ukosoeKweli ukiona Elimu ni ghali, basi jaribu ujonga.
Huo ni mtizamo wako, ukweli nnao mimiReply yako tu inaonesha jinsi gani haujiamini ,na hayo maisha mazuri ni kwa mtizamo wako.
Si Mkwawa High School mkuu?Usinikumbushe mapito niliyo pitia.
Ile naanza na form five tu mwalimu wa kemia mzungu,mmarekani na Mjapani,hesabu ni mchina wa kimarekani na Mhindi,nageukia Fizikia nakutana na mzee Ngui sijui kabila gani masikini muda wote ni kufoka tu. Halelujaaa GS hii hapa na mzee Mwangoka anafundisha kwa kinyakyusa na stori zake za Tukuyu na kufukuzwa chuo kikuu kwa migomo...
Ikawa mwanzo mwisho ni kumeza tu....
Naam mkuu, ya Mgohamwende na KaayaSi Mkwawa High School mkuu?
Kufaulu kwa elimu ya bongo ni kukariri.hiyo ni kweli upo sahihi.
Kuna jamaa fulani nawajua walichaguliwa kwenda mzumbe form 5 baada ya kuanza muhula wa kwanza na kukutana na magenius kule waliburuzwa sana na watabe wakanyoosha mikono baadae wakakimbia na kwenda kusoma IST kule wakaanza kuonekana vipanga eti
Inahitaji kiasi kikubwa cha fedhaHivi inamaana hatuwezi kubadilisha mitaala ya hizi shule zetu ziwe kama za kimataifa. Najiuliza tu. Kwani hatuwezi au ni nini shida
Huyo dogo ana akili za kishamba na kimasikini.Danganya watoto wadogo wenzio. Sisi watu wazima tunajua jinsi lugha, hata kama ni Kisukuma, inavyoweza kusaidia. Lugha ni muhimu sana kwenye kupata kazi international ambazo zinalipa vizuri.
Sisi tuliobahatika kutembea nje, unakutana na Waganda, Wakenya, Wanigeria... Watanzania ni shida kuwapata nje. Lugha inatuangusha. Mtanzania akifika Dar anaona amemaliza dunia, anatafuta kiwanja Chamazi, anajenga, ananunua Rav4, anaanza kula ugali hapo huku siku zikienda. Ukoo mzima unamwona tajiri. Na yeye akipigiwa simu za kuombwa 5,000/= kutoka kijijini anajiona amefika kileleni.
Kuna maisha zaidi ya Dar na kuna kazi zinalipa vizuri huko nje lakini lazima lugha za kigeni zipande hasa Kiingereza.
Mbona wengine tumesoma hizi hizi shule za sirikali, tena shule ya msingi kijijini kwa babu kuongea kilugha mwanzo mwisho lakini tumefanikiwa kupata scholorship kusoma Masters na PhD kwenye international universities ambazo zipo kwenye world ranking ya 10 bora, what happened?
Huna uwezo wa kuaccomodate uwezo wao na huwezi kuwalipa.Wanatakiwa kufanya kwenye national level ili kuinua taifa, that's my opinion. Kama tuna wahitimu katika level ya kimataifa lakini maisha yetu bado duni, kuna faida gani hapo?
Nimecheka sana hapo kwenye kuzuia wazaziHawa watoto hawasomi kwa kutoboa, kukariri maswali ya physics sijui hesabu za mody physics.
Hawa wanajifunza elimu ya kuwasaidia kukabiliana na mazingira yanayowazunguka ambalo ndio dhumuni kuu la elimu.
Hizi za necta eti unakuta hadi wanazuia wazazi kwenda kumuona mtoto eti utamharibia concentration, sasa hiyo elimu ama ujinga, kwamba mzazi ukitembelea mtoto utamvuruga asifanye vizuri? Ujinga ujinga mtupu kwenye elimu ya necta.
Tatizo lako unaona maisha ni kumiliki mabasi na magorofa.Majority ya watu wanaomiliki mabus na magorofa hawana hayo makaratasi yenu na wanaongea kiswahili tu kiingereza ni kwa mbali sana
Mkuu Bavaria,Tatizo lako unaona maisha ni kumiliki mabasi na magorofa.
Maisha ni zaidi ya hayo.
Mzee issue ni Dhamira tu nivile tuna watawala wasiojua kwanini wanahizo nafasi... kwa upande wa HR unahitaji kuondoa, kujengea uwezo, na kuajiri walimu zaidi ya 100,000 sio mchezo. Hao utakaowaondoa inamaanisha lazima "redundancy" ipite sasa malipo yake ndio balaa; piga hesabu hapo kila mmoja alipwe average 100,000,000 unazungumzia more than 10tr/- redundancy ya walimu halafu uanzishe ajira mpya ku-replace hao walioondolewa. Hiyo ni HR peke yake; njoo kwenye miundombinu; vitabu; n.k. Si mnataka ISO-certification?
Tatizo lako unaona maisha ni kumiliki mabasi na magorofa.
Maisha ni zaidi ya hayo.