Mtu ukiwa na pesa, somesha mwanao international schools, achana na hizi exam based schools or education

Mtu ukiwa na pesa, somesha mwanao international schools, achana na hizi exam based schools or education

ulimwengu upi huo?kama unamaanisha ulimwengu ni ulaya kuna watu hawajasoma kabisa na kila mwezii wanaenda ulaya.
Sijaongelea kwenda ulaya popote katika comment yangu. Nimeonvelea exposure in a wide term!!
 
Hivi kwel usome international schools kutoka primary mpk secondary na chuo ukasome nje ww unarud bongo kuja kufanya nn

Yaan kama ni udaktar uache kufanye kaz hospital bora na zenye vifaa vizur uje kukimbilia muhimbili

Au kama ni Engineer uache project kubwa kubwa dunian uje kufanya kaz Tarura au Tanroads hiv hta kama ni wewe una CV hyo ungerud bongo ?

Most ya wanaosoma hizo shule mara nyingi hawarud bongo anarud kufanya nn connection sio wazaz tu hata watu aliosoma nao ni watoto wa mabaloz au wafanyabiashar wakubwa anarud kufanya nn

Swali la kujiuliuza ungekuwa ww ndo umesoma hvyo ungerud bongo?
Hapo utajua kwa nn impact yao huioni Tanzania utaiona na ww ukianza kupata exposure ya kufanya kaz mashrika ya nje
Yaani umegonga mule mule. Urudi kufanya nini bwana wakati huko ulaya wanakuona kifaa na unalipwa vilivyo.
Hapa utaishia kuambiwa ah kuwa mzalendo bwana while wanakulipa peanuts.
 
Usinikumbushe mapito niliyo pitia.
Ile naanza na form five tu mwalimu wa kemia mzungu,mmarekani na Mjapani,hesabu ni mchina wa kimarekani na Mhindi,nageukia Fizikia nakutana na mzee Ngui sijui kabila gani masikini muda wote ni kufoka tu. Halelujaaa GS hii hapa na mzee Mwangoka anafundisha kwa kinyakyusa na stori zake za Tukuyu na kufukuzwa chuo kikuu kwa migomo...
Ikawa mwanzo mwisho ni kumeza tu....
Si Mkwawa High School mkuu?
 
hiyo ni kweli upo sahihi.
Kuna jamaa fulani nawajua walichaguliwa kwenda mzumbe form 5 baada ya kuanza muhula wa kwanza na kukutana na magenius kule waliburuzwa sana na watabe wakanyoosha mikono baadae wakakimbia na kwenda kusoma IST kule wakaanza kuonekana vipanga eti
Kufaulu kwa elimu ya bongo ni kukariri.
 
Danganya watoto wadogo wenzio. Sisi watu wazima tunajua jinsi lugha, hata kama ni Kisukuma, inavyoweza kusaidia. Lugha ni muhimu sana kwenye kupata kazi international ambazo zinalipa vizuri.

Sisi tuliobahatika kutembea nje, unakutana na Waganda, Wakenya, Wanigeria... Watanzania ni shida kuwapata nje. Lugha inatuangusha. Mtanzania akifika Dar anaona amemaliza dunia, anatafuta kiwanja Chamazi, anajenga, ananunua Rav4, anaanza kula ugali hapo huku siku zikienda. Ukoo mzima unamwona tajiri. Na yeye akipigiwa simu za kuombwa 5,000/= kutoka kijijini anajiona amefika kileleni.

Kuna maisha zaidi ya Dar na kuna kazi zinalipa vizuri huko nje lakini lazima lugha za kigeni zipande hasa Kiingereza.
Huyo dogo ana akili za kishamba na kimasikini.
 
Hapa ndio ujinga ulipojikita mizizi na kuuondoa huu,inahitajika nguvu sana.

Unaweza kuniambia PhD nyingi zilizopo nchini zina msaada gani iwapo tunaagiza nje ya nchi hadi chupi?
Mbona wengine tumesoma hizi hizi shule za sirikali, tena shule ya msingi kijijini kwa babu kuongea kilugha mwanzo mwisho lakini tumefanikiwa kupata scholorship kusoma Masters na PhD kwenye international universities ambazo zipo kwenye world ranking ya 10 bora, what happened?
 
Wanatakiwa kufanya kwenye national level ili kuinua taifa, that's my opinion. Kama tuna wahitimu katika level ya kimataifa lakini maisha yetu bado duni, kuna faida gani hapo?
Huna uwezo wa kuaccomodate uwezo wao na huwezi kuwalipa.
 
Hawa watoto hawasomi kwa kutoboa, kukariri maswali ya physics sijui hesabu za mody physics.

Hawa wanajifunza elimu ya kuwasaidia kukabiliana na mazingira yanayowazunguka ambalo ndio dhumuni kuu la elimu.

Hizi za necta eti unakuta hadi wanazuia wazazi kwenda kumuona mtoto eti utamharibia concentration, sasa hiyo elimu ama ujinga, kwamba mzazi ukitembelea mtoto utamvuruga asifanye vizuri? Ujinga ujinga mtupu kwenye elimu ya necta.
Nimecheka sana hapo kwenye kuzuia wazazi
 
Majority ya watu wanaomiliki mabus na magorofa hawana hayo makaratasi yenu na wanaongea kiswahili tu kiingereza ni kwa mbali sana
Tatizo lako unaona maisha ni kumiliki mabasi na magorofa.

Maisha ni zaidi ya hayo.
 
... kwa upande wa HR unahitaji kuondoa, kujengea uwezo, na kuajiri walimu zaidi ya 100,000 sio mchezo. Hao utakaowaondoa inamaanisha lazima "redundancy" ipite sasa malipo yake ndio balaa; piga hesabu hapo kila mmoja alipwe average 100,000,000 unazungumzia more than 10tr/- redundancy ya walimu halafu uanzishe ajira mpya ku-replace hao walioondolewa. Hiyo ni HR peke yake; njoo kwenye miundombinu; vitabu; n.k. Si mnataka ISO-certification?
Mzee issue ni Dhamira tu nivile tuna watawala wasiojua kwanini wanahizo nafasi
 
Back
Top Bottom