Mtu unajirekodi chumbani ili iweje? Nina uhakika Aslay na Lukamba wameteswa sana kisaikolojia kusubiri kuziona dhambi zao zilizovuja

Mtu unajirekodi chumbani ili iweje? Nina uhakika Aslay na Lukamba wameteswa sana kisaikolojia kusubiri kuziona dhambi zao zilizovuja

Mbona kama mimi nimeona Aslay ndie kategesha simu yule dada alikua amelala halafu akamuamsha ndio wakaanza kupeana mambo?

Ya Lukamba ndio Mwanamke alikua anarekodi ila mwanaume alijua
Hii ya aslay wote walijua km wana record movie ya ngono, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hata kila lukamba pia. Ilikua planed bhana.
 
Ndo maana akee uduguu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Performance lazima ingaliwe upyaa, hakuna supp wala carry, muda hautoshi.
Woiiiiih
🤣🤣🤣🤣 Ni kujibebea points za msingi
Halafu udugu wahi piem kuna connection ya shangazi wa maporini 😜
 
Bongo kuna matatizo sana, na matatizo yanaanza kwenye akili, Kujirikodi sio kosa, kosa na kusambaza bila ya ridhaa ya wahusika. Hao wasambazaji wanahitajika kuwa ndani nasio kutetewa. Hayo mambo majuu ni ngumu sana unaweza kuozea jela kimasihara tu.
 
Back
Top Bottom