Mtu wa namna hii aachwe kuwa kiongozi kwakuwa alipata kura nyingi?

Mtu wa namna hii aachwe kuwa kiongozi kwakuwa alipata kura nyingi?

Hakika, binafsi Huwa siamini katika hii inaitwa dsmokrasia.. kwenye demokrasiaz wajinga watakuchagulia Mjinga akuongoze.
Demokrasia ya kweli hainaga rushwa.Kwa sababu ya Rushwa mnapata viongozi wabovu kama Mwigulu Nchemba,January Makamba,Job Ndugai,Lusinde na hao wote unaowataja wewe.
 
Hao wanaoitaka demokrasia huku wanaitaka sababu inawanufaisha.

wao kwao hakuna demokrasia ipo kama gheresha. ni kikamati flani kidogo chenye watu wenye akili ndio wanaamua nani awe rais.

Waafrika demokrasia haitakiwi. Hawa juzi wamefunguliwa mikutano sijui lakini nyie wenyewe ni mashahidi sasahivi.

Afrika Demokrasia inatumika kama bishara.
Kasome Katiba yako ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977 ibara ya 3(1).Ndiyo uje na hoja zako.
 
Maelezo yako yanaashiria kampeni ya 2025 na kwa kuwa umewagusa ccm huo ni mzigo wako na chama chako ungekuwa mkweli ungehimiza katiba mpya ndio dawa ya hayo magonjwa lkn unajua fikka katiba ikipatikana hata huyo unaemta hapatikani kwani watu wengi watamchagua wanaemtaka
 
Huenda Maneno haya Machache yakaeleweka na watu wachache tu Kwa wengi ndio hao wanaoshabikia Ujinga.

Ipo hivi, ukikaa Kwa kutulia ukaitazama Dunia vizuri, utagundua Raia wengi wa Nchi zote Duniani, wamepitiwa na Ushetani hivi wa kupenda masuala ya kijinga jinga yaani masuala ya ovyo ovyoo.

Ni Rahisi sana Kwa Mgombea Uongozi anayeongea Pumba hata kama hazisaidii Taifa husika( Mf Kibajaji), kuweza Kushinda uchaguzi Kwa kishindo sana kuliko Mgombea anayeongea Facts( Mf.Mpina ) kwanini?? Kwa sababu watu wengi Duniani wamezolewa na Ushetani wa Kupenda mambo ya kijinga.

Namaanisha hivi, Mgombea X anaweza tumia jukwaa Zima kusifia Wanawake na kusifia wanaume ,kuongelea Mkongo , unywaji pombe baada ya kazi , kupeleka moto na Bado Akashinda Uchaguzi Kwa kishindo ... Kwa nn? Kwa sababu wapiga Kura wengi Dunian wamekua Brainwashed na masuala ya Ujinga ujinga.

Nini kinatokea Sasa? Dunia inaenda kua na Viongozi mbumbumbu ,majuha ,waliojaza vichwa vyao ujinga mtupu na Kwa namna hiyo, Itakua ngumu Taifa kupiga hatua.

Kwann Mabeberu wao hawaathiriki na hili?. Kwasababu wao Nchi zao zilijengwa zaman sana na hivo wakajiwekea Misingi yao imara linapokuja suala la Uongozi , ndio maana unaona wao Ni rahisi Kiongozi kuachia Madaraka pale anapohisi kapwaya, au anaondoshwa lakini Bado na wao Kuna wakati Wananchi wao Wajinga Kwa wingi wao huingia barabaran kutafuta mabadiliko yanayowafurahisha, na hapo ndipo Wenye Hekima huamua kutumia Nguvu , ndiooo wanatumia Nguvu kulinda Masilahi ya Nchi .

Mpumbavu hatakiwi kuongoza Nchi, Nchi haipaswi kuongozwa na mpumbavu Et kisa Upumbavu wake unapendwa na Raia wengi ambao wamekua Brainwashed na Sasa wanafurahia Upumbavu na wanaunga mkono Upumbavu.

Kwa mfano..... Chukulia watu wanaofurahia Ushoga, Hawa ikitokea Mgombea anatetea ushogaz wako tayari kumpigia kura na Akashinda Kwa kishindo kikubwa ( ingawa Ushoga ni Laana ya Nchi) ila atashinda..... Je mtu wa namna hii aachwe kuwa Kiongozi kwakuwa Alipata Kura nyingi?."

Hapa tunapata sababu ya kihakika kwamba, Sio Kura tu za makaratasi zinaweza kutuletea Viongozi Bora, Smart, wabunifu, wenye Maono , wanaojiamin, wazalendo, wanaweza kutuvusha kama Taifa, Viongozi Hawa wanaweza wasipendwe na watu wengi wajinga lakini wakapendwa na wachache wenye Akili na Hekima .


Sasa Tuje hapa kwetu ....... Je Kuna uwezekano wa kupata Viongozi Diwan, Mbunge, Rais asiyefaa ila kwakua kapigiwa kura na watu wengi wajinga basi awe Kiongozi??. ... Jibu ni ndio , na nyie wote ni mashaidi.

Kuna Siku nimekaa nikatafakari, Et Akina Nape, January ,Mwigulu , ndio ambao watatuchagulia Rais kupitia CCM?. .......

Bwana DOLA, embu tuweni serious kidogo basi Kuna Sheria na Kanuni ni LAZIMA VIVUNJWE KWA MSILAHI MAPANA YA NCHI "

Tuchukulie , Waziri Mkuu KASIM MAJAALIWA , kachukua Fomu ya Urais , na January naye kachukua Fomu ya Urais ........ Ni wazi Nape na Mwigulu, Kura zao zitakwenda Kwa January, Na pengine kwakua Wana mkono mrefu huenda wakahakikisha anapita kugombea Urais, na Hatimaye Kasim anapigwa chini...... SASA DOLA, hivi Kwa haraka haraka, January anaweza kutuvusha kama ambavyo angetuvusha KASIM ? Et sababu tu ya Kura za makaratasi?.. HAPANA ,HAIPASWI KUA HIVO, SHERIA NI LAZIMA IVUNJWE, NDIO SHERIA LAZIMA IVUNJWE NA IWASHANGAZE WENGI ,NDIO MAANA UNAONA UCHINA LEO HII WAMEMUONGEZEA XI JINPING MUHULA WA TATU WA KUONGOZA !!.


Kwakua Upinzani wamepoteza Dila na mwelekeo na hawajui nini Sasa wanasimamia na falsafa zao hazieleweki, wamelevywa Kwa kileo Cha AsAli ya Ikulu na wamesahau wajibu wao na Sasa Mwananchi anatakiwa kujisemea mwenyeweee , Na kwakua Dola ni CCM na Kwamba CCM inaitwgemea DOLA kuliko Dola inavyotegemea CCM basii

RAI YANGU kwako Dola Mwaka 2025 ,tuleteeni watu Si ambao watatokana na Kura tu, Bali tuleteeni watu ambao mmekaa mkatafakari na kuona kwambaz Hawa wataipigania Nchi, kiuchumi, KIJAMII, kitamaduni, kisiasa na Nchi itasonga mbele Kwa Amani, Maendeleo kama Taifa Kwa Ujumla.
1.kwamba wewe mpumbavu wa uvccm na sukuma gang ndio unaweza kutathimin dira ya vyama vya upinzan nchin.
2. kwamba wewe mpumbavu wa uvccm na sukuma gang uliyezoea kunufaika awamu ya tano ndio unaweza kutathmin nan anaweza kutuvusha nchi hii huku ulikuwa ukishabikia mauwaji yaliyokuwa yakifanywa na dictator uchwara.
3. kwamba wewe uvccm na sukuma gang uliyezoea kushabilia uporaji wa kura na utekaji wa nduli magufuli ndio unaweza kutathimin sera za upinzan.
uvccm na sukuma gang ni wapumbavu kweli.
 
Umeongea vizuri lkn umekosea pale ulipowalaumu wapinzani, kumbuka upinzani umepita katka tanuru la moto na bado makovu hayajapoa na kibaya zaidi wanachi wenyewe bado sana tena sana katka kujitambua, ni kama viongozi wetu wanaongoza mag'ombe na mambuzi.
 
Huyo Jamaa Ni mjinga Mmoja anaamini katika falsafa za Magufuli za kuua watu na kuiba hela huku akiita watu wanyonge na kuwaaminisha watu kuwa bodaboda na Mama ntilie ni Ajira.
Kila siku haipiti bira kuudhibitisha ujinga wako kwenye hadhira.
 
Huenda Maneno haya Machache yakaeleweka na watu wachache tu Kwa wengi ndio hao wanaoshabikia Ujinga.

Ipo hivi, ukikaa Kwa kutulia ukaitazama Dunia vizuri, utagundua Raia wengi wa Nchi zote Duniani, wamepitiwa na Ushetani hivi wa kupenda masuala ya kijinga jinga yaani masuala ya ovyo ovyoo.

Ni Rahisi sana Kwa Mgombea Uongozi anayeongea Pumba hata kama hazisaidii Taifa husika( Mf Kibajaji), kuweza Kushinda uchaguzi Kwa kishindo sana kuliko Mgombea anayeongea Facts( Mf.Mpina ) kwanini?? Kwa sababu watu wengi Duniani wamezolewa na Ushetani wa Kupenda mambo ya kijinga.

Namaanisha hivi, Mgombea X anaweza tumia jukwaa Zima kusifia Wanawake na kusifia wanaume ,kuongelea Mkongo , unywaji pombe baada ya kazi , kupeleka moto na Bado Akashinda Uchaguzi Kwa kishindo ... Kwa nn? Kwa sababu wapiga Kura wengi Dunian wamekua Brainwashed na masuala ya Ujinga ujinga.

Nini kinatokea Sasa? Dunia inaenda kua na Viongozi mbumbumbu ,majuha ,waliojaza vichwa vyao ujinga mtupu na Kwa namna hiyo, Itakua ngumu Taifa kupiga hatua.

Kwann Mabeberu wao hawaathiriki na hili?. Kwasababu wao Nchi zao zilijengwa zaman sana na hivo wakajiwekea Misingi yao imara linapokuja suala la Uongozi , ndio maana unaona wao Ni rahisi Kiongozi kuachia Madaraka pale anapohisi kapwaya, au anaondoshwa lakini Bado na wao Kuna wakati Wananchi wao Wajinga Kwa wingi wao huingia barabaran kutafuta mabadiliko yanayowafurahisha, na hapo ndipo Wenye Hekima huamua kutumia Nguvu , ndiooo wanatumia Nguvu kulinda Masilahi ya Nchi .

Mpumbavu hatakiwi kuongoza Nchi, Nchi haipaswi kuongozwa na mpumbavu Et kisa Upumbavu wake unapendwa na Raia wengi ambao wamekua Brainwashed na Sasa wanafurahia Upumbavu na wanaunga mkono Upumbavu.

Kwa mfano..... Chukulia watu wanaofurahia Ushoga, Hawa ikitokea Mgombea anatetea ushogaz wako tayari kumpigia kura na Akashinda Kwa kishindo kikubwa ( ingawa Ushoga ni Laana ya Nchi) ila atashinda..... Je mtu wa namna hii aachwe kuwa Kiongozi kwakuwa Alipata Kura nyingi?."

Hapa tunapata sababu ya kihakika kwamba, Sio Kura tu za makaratasi zinaweza kutuletea Viongozi Bora, Smart, wabunifu, wenye Maono , wanaojiamin, wazalendo, wanaweza kutuvusha kama Taifa, Viongozi Hawa wanaweza wasipendwe na watu wengi wajinga lakini wakapendwa na wachache wenye Akili na Hekima .


Sasa Tuje hapa kwetu ....... Je Kuna uwezekano wa kupata Viongozi Diwan, Mbunge, Rais asiyefaa ila kwakua kapigiwa kura na watu wengi wajinga basi awe Kiongozi??. ... Jibu ni ndio , na nyie wote ni mashaidi.

Kuna Siku nimekaa nikatafakari, Et Akina Nape, January ,Mwigulu , ndio ambao watatuchagulia Rais kupitia CCM?. .......

Bwana DOLA, embu tuweni serious kidogo basi Kuna Sheria na Kanuni ni LAZIMA VIVUNJWE KWA MSILAHI MAPANA YA NCHI "

Tuchukulie , Waziri Mkuu KASIM MAJAALIWA , kachukua Fomu ya Urais , na January naye kachukua Fomu ya Urais ........ Ni wazi Nape na Mwigulu, Kura zao zitakwenda Kwa January, Na pengine kwakua Wana mkono mrefu huenda wakahakikisha anapita kugombea Urais, na Hatimaye Kasim anapigwa chini...... SASA DOLA, hivi Kwa haraka haraka, January anaweza kutuvusha kama ambavyo angetuvusha KASIM ? Et sababu tu ya Kura za makaratasi?.. HAPANA ,HAIPASWI KUA HIVO, SHERIA NI LAZIMA IVUNJWE, NDIO SHERIA LAZIMA IVUNJWE NA IWASHANGAZE WENGI ,NDIO MAANA UNAONA UCHINA LEO HII WAMEMUONGEZEA XI JINPING MUHULA WA TATU WA KUONGOZA !!.


Kwakua Upinzani wamepoteza Dila na mwelekeo na hawajui nini Sasa wanasimamia na falsafa zao hazieleweki, wamelevywa Kwa kileo Cha AsAli ya Ikulu na wamesahau wajibu wao na Sasa Mwananchi anatakiwa kujisemea mwenyeweee , Na kwakua Dola ni CCM na Kwamba CCM inaitwgemea DOLA kuliko Dola inavyotegemea CCM basii

RAI YANGU kwako Dola Mwaka 2025 ,tuleteeni watu Si ambao watatokana na Kura tu, Bali tuleteeni watu ambao mmekaa mkatafakari na kuona kwambaz Hawa wataipigania Nchi, kiuchumi, KIJAMII, kitamaduni, kisiasa na Nchi itasonga mbele Kwa Amani, Maendeleo kama Taifa Kwa Ujumla.
Tunashukuru haya yanakuja ikiwa Bunge lote ni wana CCM baraza la mawaziri wote ni wana ccm na Viongozo ngazi zote Mkoa, wilaya hadi Kata ni wana ccm


Sisi sijui unataka kumlaumu nani hapa.
😆😆😆
 
Huyo Jamaa Ni mjinga Mmoja anaamini katika falsafa za Magufuli za kuua watu na kuiba hela huku akiita watu wanyonge na kuwaaminisha watu kuwa bodaboda na Mama ntilie ni Ajira.
Eeeh kumbe ana mlengo huo?
 
Demokrasia ni namna bora ya kuwapa wajinga nafasi ya kufanya maamuzi. We fikiria eti kura ya Juma Lokole iwe na thamani na sawa na Kura ya George Ambagile!
Udikteta wa Jamaa ndip ulituletea akina. Msukuma, Mwana Fa na Tale tale.

Sasa sijui mnataka kusemaje ndugu wana jukwaa.
 
Tanbihi:Siku CCM ikibakiwa na kundi moja la kimtazamo wananchi watachoka na kuamua kuchukuwa hatua zao wenyewe kwasababu usitegemee miongo ya hivi karibuni wapinzani kushika dola.
Wanachi hawana shida walishaamua kupitia Sanduku.......hado leo ukihesabu kura za Wananchi kwa Haki ccm haina Chake.

Wananchi sisi tulishaona mbali.....bado watu wenye matumbo yao na uroho wa mali za umma mnatuzidi nguvu.
 
Demokrasia maana yake wengi wape. Kwahiyo kama umekiri kwamba wapumbavu ndiyo wengi na wanaweza kumchagua mpumbavu wao ili atimize matakwa yao ya kipumbavu, kidemokrasia hiyo imekaa vizuri.

Wapumbavu hawataki kuona mambo yenye akili, wanataka mambo ya kipumbavu yapewe kipaumbele. Ukiwalazimisha wafuate mambo yenye akili itakuwa kama umewaweka utumwani.

Kama wapumbavu ni wengi acha wachague mpumbavu mwenzao, ili wafurahie upumbavu wao.
 
Demokrasia maana yake wengi wape. Kwahiyo kama umekiri kwamba wapumbavu ndiyo wengi na wanaweza kumchagua mpumbavu wao ili atimize matakwa yao ya kipumbavu, kidemokrasia hiyo imekaa vizuri.

Wapumbavu hawataki kuona mambo yenye akili, wanataka mambo ya kipumbavu yapewe kipaumbele. Ukiwalazimisha wafuate mambo yenye akili itakuwa kama umewaweka utumwani.

Kama wapumbavu ni wengi acha wachague mpumbavu mwenzao, ili wafurahie upumbavu wao.
Na kwa kuwa wapumbavu ni wengi hopefully na viongozi ni miongoni Mwao.
 
Back
Top Bottom