Mtu wako wa karibu anakwambia nini katika hatua kama hii?

Kuna ukweli hapa mkuu, mara nyingi wanaume wapole ndio wanakutana na majanga makubwa
 
Boga la kiangazi unashindwa nn wakati watoto wa juzi tu wanakua matajiri we upo upo tu
 
"J you are..." or "J you'r...." Rudi OLDmoshi school kajifunze tena uandishi.
"J your a genius I believe in you " my girl says.

Huyu binti hunipa hamasa kwenye kila ninacho Fanya.

Nampenda mrembo wangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…