Pleasepast
JF-Expert Member
- May 30, 2023
- 509
- 848
Bila cheti hauwezi kua mke na mume kisheria labda muitane tu ila siku ikifika ya kuthibitisha kama nyie ni mke na mume na hamna cheti ndio utaelewa ninacho kwambia.Kwani utaratibu wa cheti umeanza lini?
Inamaana babu zetu walioweza endelea hii generation walikuwa hawajui walifanyalo?
Kama nimemtolea mahari kwao bado siyo mke wangu?Bila cheti hauwezi kua mke na mume kisheria labda muitane tu ila siku ikifika ya kuthibitisha kama nyie ni mke na mume na hamna cheti ndio utaelewa ninacho kwambia.
Kwa sasa ni miezi mitatu mfululizo na kuwe na mashahidi huyo anakua mkeo na anaweza kukuburuza kotiniKuishi na mwanamume au mwanamke (jinsia tofauti) kinyumba chini ya paa moja kwa zaidi ya miaka miwili huyo ni mkeo/mumeo
Yani ata kama umetoa mahari kama hujafunga ndoa upate cheti uyo sio mke wako ni hawala tuKa
Kama nimemtolea mahari kwao bado siyo mke wangu?
Wewe uelewa.
😂😂😊 Hakuna kitu kama hicho acha kupotosha ummaKwa sasa ni miezi mitatu mfululizo na kuwe na mashahidi huyo anakua mkeo na anaweza kukuburuza kotini
Kwa sasa ni miezi mitatu mfululizo na kuwe na mashahidi huyo anakua mkeo na anaweza kukuburuza kotini
Si ndio hapo Sheria ya Ndoa ya Tanzania inaruhusu mwanamke hata wa miaka 15 aolewe ila Kwa IDHINI ya wazazi au walezi wake.
Nimenukuu kipengele hicho cha Sheria hapo chini
"17. Requirement of consent
(1)A female who has not attained the apparent age of eighteen years shall be required, before marrying, to obtain the consent—
(a)of her father;
(b)if her father is dead, of her mother; or
(c)if both her father and mother are dead, of the person who is her guardian."
Na sio kama mtoa posti anavyoeleza eti numemnukuu
"haihitaji ruhusa ya Wazazi, sijui taasisi ya dini gani huko, sijui serikali. Yaani serikali inaweza isiwepo lakini ndoa ikawepo, wazazi wanaweza wasiwepo lakini ndoa ikawepo, taasisi za dini zinaweza zisiwepo lakini Ndoa ikawepo. Hiyo tosha inatakiwa ikuonyeshe kuwa Maamuzi na makubaliano ya wawili(me na ke) ndio independent Factor. Hizo zingine ni dependent Factors."
Onyo usijaribu kuoa mwanamke wa miaka 15 - 18 Bila idhini ya wazazi au walezi wake ,
Aisee😀Ati kuburuzwa kortini
Hakuna kitu kama icho ndugu yani bila cheti cha ndoa hawawezi kua mke na mume bali watakua ni mahawala walio ishi kwa muda mrefu
Wewe mke wako kapewe cheti mimi wangu nalala naye, nazaa naye na anapika na kupakua.Yani ata kama umetoa mahari kama hujafunga ndoa upate cheti uyo sio mke wako ni hawala tu
Wanaume kataa ndoa ni wale wanaokimbia majukumu. Mru anatamba eto ronaldo kataa ndoa wakati mwenzao ana mchumba na watoto kibao wanalea pamoja.
Wapo sana maana wamekataa kuhalalishwa na jamii. Na kanisa au msikiti , .... na serikali pia . Ukiwa na ndoa unadhaminika hata kukitokea mgogoro unasaidika kwa haraka
Umeona njia nyepesi ni kunipachika ushoga na usagaji.
Hili ni tatizo sidhani kama hapa ni mahali sahihi kwangu, siku njema.
Wewe kaa nae hivyo lakini uyo sio mkeo kisheriaWewe mke wako kapewe cheti mimi wangu nalala naye, nazaa naye na anapika na kupakua.
1. Cheti kinakusaidia nini?
2. Nikiwa na cheti napata nini na nikikosa cheti ntakosa nini kwa mwanamke?
Ndioo unaolewa jamii maana nyie ni wanajamiiKwani naolea jamii?
Wewe kaa nae hivyo lakini uyo sio mkeo kisheria
wote walio zaa walikua na ndoa....?!Familia yako itaundwa na kikundi cha tmk Mkuu.
Maana inavyoelekea umekremisha hapo kwenye kikundi
Utapataje kikundi bila kumzalisha mwanamke aka kupanga hiko kikundi.
Hii thread ni yako, inakubidi uisome vizuri uielewe ili ukiwa mkubwa(ukifika umri wa kuoa) ufanye maamuzi sahihi