Mtu yoyote aliyewahi kuishi na mwanamke/mwanaume na kuunda familia Hawezi kuwekwa katika Kundi la Kataa Ndoa

Mtu yoyote aliyewahi kuishi na mwanamke/mwanaume na kuunda familia Hawezi kuwekwa katika Kundi la Kataa Ndoa

Kwani utaratibu wa cheti umeanza lini?

Inamaana babu zetu walioweza endelea hii generation walikuwa hawajui walifanyalo?
Bila cheti hauwezi kua mke na mume kisheria labda muitane tu ila siku ikifika ya kuthibitisha kama nyie ni mke na mume na hamna cheti ndio utaelewa ninacho kwambia.
 
Huwezi ongoza taifa ambalo robo tatu ya Watu ni wakataa Ndoa, hiyo haiwezekaniki.

Ni kama kuongoza taifa la mashetani ambalo mara kwa mara mapinduzi, tamaa mbaya, uchafu utakuwa ndio mila na desturi.
 
Si ndio hapo Sheria ya Ndoa ya Tanzania inaruhusu mwanamke hata wa miaka 15 aolewe ila Kwa IDHINI ya wazazi au walezi wake.
Nimenukuu kipengele hicho cha Sheria hapo chini

"17. Requirement of consent​

(1)A female who has not attained the apparent age of eighteen years shall be required, before marrying, to obtain the consent—
(a)of her father;
(b)if her father is dead, of her mother; or
(c)if both her father and mother are dead, of the person who is her guardian."

Na sio kama mtoa posti anavyoeleza eti numemnukuu

"haihitaji ruhusa ya Wazazi, sijui taasisi ya dini gani huko, sijui serikali. Yaani serikali inaweza isiwepo lakini ndoa ikawepo, wazazi wanaweza wasiwepo lakini ndoa ikawepo, taasisi za dini zinaweza zisiwepo lakini Ndoa ikawepo. Hiyo tosha inatakiwa ikuonyeshe kuwa Maamuzi na makubaliano ya wawili(me na ke) ndio independent Factor. Hizo zingine ni dependent Factors."
Onyo usijaribu kuoa mwanamke wa miaka 15 - 18 Bila idhini ya wazazi au walezi wake ,

Unazungumzia watoto wa miaka 15
Hapa anazungumziwa Mwanamke na mwanaume aliyekamilika
 
Wapo sana maana wamekataa kuhalalishwa na jamii. Na kanisa au msikiti , .... na serikali pia . Ukiwa na ndoa unadhaminika hata kukitokea mgogoro unasaidika kwa haraka
 
Hakuna kitu kama icho ndugu yani bila cheti cha ndoa hawawezi kua mke na mume bali watakua ni mahawala walio ishi kwa muda mrefu

Kwa jicho la kisheria sivyo.
Lakini kwa nature hizo sheria hazitambuliwi.
Ndio maana hata kwenu ukoo mzima sio ajabu wenye vyeti vya ndoa hawafiki Kumi.

Ni sawa useme kama huna cheti cha kuzaliwa hujazaliwa, utakuwa na matatizo ya Akili.

Cheti ni kithibitisho tuu na sio Ndoa. Ni kama Pete n.k.
Cheti kinaweza kupotea au kuungua na moto na bado ndoa ikawepo.

Cheti unaweza ukafoji lakini ndoa huwezi ukafoji.

Kisheria upo sahihi lakini kiuhalisia hauna usahihi wowote
 
Yani ata kama umetoa mahari kama hujafunga ndoa upate cheti uyo sio mke wako ni hawala tu
Wewe mke wako kapewe cheti mimi wangu nalala naye, nazaa naye na anapika na kupakua.

1. Cheti kinakusaidia nini?
2. Nikiwa na cheti napata nini na nikikosa cheti ntakosa nini kwa mwanamke?
 
Wewe mke wako kapewe cheti mimi wangu nalala naye, nazaa naye na anapika na kupakua.

1. Cheti kinakusaidia nini?
2. Nikiwa na cheti napata nini na nikikosa cheti ntakosa nini kwa mwanamke?
Wewe kaa nae hivyo lakini uyo sio mkeo kisheria
 
Familia yako itaundwa na kikundi cha tmk Mkuu.

Maana inavyoelekea umekremisha hapo kwenye kikundi

Utapataje kikundi bila kumzalisha mwanamke aka kupanga hiko kikundi.

Hii thread ni yako, inakubidi uisome vizuri uielewe ili ukiwa mkubwa(ukifika umri wa kuoa) ufanye maamuzi sahihi
wote walio zaa walikua na ndoa....?!
 
Kataa ndoa ni wanaume wasiojiamini, wabinafsi si ajabu hata familia zao zina walakini.

Sio ajabu wala haikatazwi kua muoga na mbinafsi wana haki yako pia ila sasa tatizo ni kuwa wanatumia mbinu ya kuwachafua wanawake ili hoja zao zisikilizwe.
 
Back
Top Bottom