Mtu yoyote aliyewahi kuishi na mwanamke/mwanaume na kuunda familia Hawezi kuwekwa katika Kundi la Kataa Ndoa

Mtu yoyote aliyewahi kuishi na mwanamke/mwanaume na kuunda familia Hawezi kuwekwa katika Kundi la Kataa Ndoa

Kama binadamu mwenye utashi nilitegemea ungeona jinsi ambavyo unatakiwa uonyeshe huo utashi wako kumzidi Kunguru na sio kushindwa kujua mtu au Watu unaofanana nao iwe kimaumbile, kitabia, na kifikra.

Sio kila binadamu ana utashi. Wapo Exceptional ambao ni kama Wanyama, hawana utashi. Ndio hao watakuambia ndoa haina umuhimu, wengine watakuwa mashoga na wasagaji. Mtu mwenye utashi hawezi kufikiri kwa namna hiyo
kufikil tofauti na ww ndio kutokua na utashi [emoji848]
 
Kama maumbile yao yanawaruhusu kuzaa watoto basi hiyo ni ndoa.
Ndio maana bado nasema FaizaFoxy anawaambia mmeenda shule kusomea ujinga
same na kuku na wanyama wengne wanazaa tu then wanaacha watoto walelewe na mama zao
and ukasema ndoa ni majukumu pia [emoji848] sasa kama nitaoa na kuzaa kama kuku heshima na huo utash unao sema uko wap hapo...?!
 
same na kuku na wanyama wengne wanazaa tu then wanaacha watoto walelewe na mama zao
and ukasema ndoa ni majukumu pia [emoji848] sasa kama nitaoa na kuzaa kama kuku heshima na huo utash unao sema uko wap hapo...?!

Kuku anautawala?
Utashi unaendana pia na Utawala na Mamlaka.
Mkuu kwa idhini yako naomba nikuache au vinginevyo nijue umri wako ili nijue najadiliana na wewe kwa namna ipi.

Huwezi ukaenda kwenye Jamii ya simba useme ndoa haina maana wenyewe watakuona hamnazo kwa sababu ndoa na utawala ni mambo yanayoenda sambamba.
 
hii nimeipata leo

Iko hivyo.
Ukienda Ulaya mzungu atampenda na kumpendelea mzungu mwenzake kisa wanafanana kuliko wewe.

Huwezi penda kitu ambacho haufanani nacho.
Ndio maana ukitembea na Wezi kikanuni Watu watakuita nawe mwizi au unapenda Wizi.
 
Kuku anautawala?
Utashi unaendana pia na Utawala na Mamlaka.
Mkuu kwa idhini yako naomba nikuache au vinginevyo nijue umri wako ili nijue najadiliana na wewe kwa namna ipi.

Huwezi ukaenda kwenye Jamii ya simba useme ndoa haina maana wenyewe watakuona hamnazo kwa sababu ndoa na utawala ni mambo yanayoenda sambamba.
sawa mzee ngoja niishie hapa [emoji1666]
 
KUOA = KUISHI NA MWANAMKE.

huko vijijini kijana anachukua mwanamke wanaishi pamoja wanazaa watoto na kujenga familia bila ya sherehe wala vyeti vya kanisa wala serikali.

Wewe unayekataa kuoa je?
1. Hutaki kutomba?
2. Hutaki kuzaa watoto?
3. Hutaki mwanamke wa kukufariji?

Vijana mbona mnajipoteza wenyewe.
yote hayo naweza yapata bira NDOA
 
Kivp?

Ngoja nikuulize swali,

wewe unaweza ishi na mwanamke yaani Mnalala kitanda kimoja kila siku?
kutiana wanawake wapo tu hata ukitoka hapo nje unakutana nao
watoto ni matokeo ya kutiana
kufarijiana ninao washkaj ndugu bmkubwa pia yupo so sina shida hapo
kuish ukimaanisha kila siku yupo tu ndan au anakuja na kusepa...?!
 
Sina haja hiyo kwa sababu nimekamilika kiasi kwamba naweza kuishi msituni miaka 100.

Nina watoto.
Ninauwezo wa kumpata mwanamke yoyote kwa wakati wowote.

NDOA YA NINI KAMA KUNA USALITI
NDOA YA NINI KAMA KUNA KUCHEPUKA
NDOA YA NINI KAMA KUNA KUUANA.
NDOA YA NINI KAMA KUNA KUDHALILISHANA.

NDOA HALISI NA AMBAYO NINGEWEZA KUIINGIA KWAYO NI NDOA ZA WAZEE WETU.
NDOA ZILIZOJAA UPENDO,KUHESHIMIANA,KULINDANA,UADILIFU NA MENGINE MENGI.
Ukikua utaacha
 
Wanaume kataa ndoa ni wale wanaokimbia majukumu. Mru anatamba eto ronaldo kataa ndoa wakati mwenzao ana mchumba na watoto kibao wanalea pamoja.
 
KATAA NDOA NI KAMPENI INAYOENDESHWA KWA UHURU
SI NA WANAUME TU BALI HATA WANAWAKE.

MADHUMUNI MAKUBWA NI KUPINGA UTAPELI UNAOFANYIKA KWA KIGEZO CHA MKATABA WA NDOA.

UKIPINGA PINGA KWA hoja

Kwenye utawala au mamlaka pesa hutafutwa. Lakini uaminifu, upendo, haki uadilifu, umoja, kujitoa ndio misingi ya Utawala ikiwemo familia.

Mwanaume kiasili ni mtawala.
Sasa fikiria ati Rais hataki utawala kisa kuna Waasi, wapindua nchi, magaidi n.k.


Hivyo ni vitu vya kawaida katika kuongoza na kutawala jambo lolote
 
kutiana wanawake wapo tu hata ukitoka hapo nje unakutana nao
watoto ni matokeo ya kutiana
kufarijiana ninao washkaj ndugu bmkubwa pia yupo so sina shida hapo
kuish ukimaanisha kila siku yupo tu ndan au anakuja na kusepa...?!

Hivi unadhani mtoto aliyelelewa na baba na mama ni sawa na mtoto aliyelelewa na mzazi mmoja?

Inaelekea wewe umekuzwa na singo Maza ndiyo sababu unaona na wanao kuishi bila wewe nia sawa.
 
Hakuna kitu kama icho ndugu yani bila cheti cha ndoa hawawezi kua mke na mume bali watakua ni mahawala walio ishi kwa muda mrefu

Kwani utaratibu wa cheti umeanza lini?

Inamaana babu zetu walioweza endelea hii generation walikuwa hawajui walifanyalo?
 
Ukiacha hisia zako binafsi kwa mujibu wa sheria za jamhuri ya muungano wa Tanganyika na Zanzibari inasema ndoa ni Nini?
Si ndio hapo Sheria ya Ndoa ya Tanzania inaruhusu mwanamke hata wa miaka 15 aolewe ila Kwa IDHINI ya wazazi au walezi wake.
Nimenukuu kipengele hicho cha Sheria hapo chini

"17. Requirement of consent​

(1)A female who has not attained the apparent age of eighteen years shall be required, before marrying, to obtain the consent—
(a)of her father;
(b)if her father is dead, of her mother; or
(c)if both her father and mother are dead, of the person who is her guardian."

Na sio kama mtoa posti anavyoeleza eti numemnukuu

"haihitaji ruhusa ya Wazazi, sijui taasisi ya dini gani huko, sijui serikali. Yaani serikali inaweza isiwepo lakini ndoa ikawepo, wazazi wanaweza wasiwepo lakini ndoa ikawepo, taasisi za dini zinaweza zisiwepo lakini Ndoa ikawepo. Hiyo tosha inatakiwa ikuonyeshe kuwa Maamuzi na makubaliano ya wawili(me na ke) ndio independent Factor. Hizo zingine ni dependent Factors."
Onyo usijaribu kuoa mwanamke wa miaka 15 - 18 Bila idhini ya wazazi au walezi wake ,
 
Back
Top Bottom