Nilufer
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 9,603
- 13,654
Hawa ma lawyer wa mchongo wanaingizaga Sana watu Cha kike. Yaani anakupangaa weeh, unajiona hii kesi nachomoka....kumbee!Bush lawyer unaendeleaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa ma lawyer wa mchongo wanaingizaga Sana watu Cha kike. Yaani anakupangaa weeh, unajiona hii kesi nachomoka....kumbee!Bush lawyer unaendeleaje?
Ha ha ha. Sheria imechukua mkondo wake. Sasa wanaenda wao kuolewa jelaHawa ma lawyer wa mchongo wanaingizaga Sana watu Cha kike. Yaani anakupangaa weeh, unajiona hii kesi nachomoka....kumbee!
Bush Lawyer umewaponza.Hamna kesi pale.
Ushahidi umekaa ovyo sana kuthibitisha lile kosa. Kwa kuangalia mambo yafuatayo kwa haraka:-
1. Video inaonesha mmoja tu ndo anapiga mzigo. (Kumbuka kosa ni gang rape)
2. Muda wa mtuhumiwa alokuja kupimwa na daktari almost mwezi na siku kadhaa zimepita.
3. Tunaanza na authentification ya electronic evidence.
Na mambo mengine kibao, Hapo Nyundo anachomoka mapema sana ndo mana unaona anadandia gari kwa mbwembwe vile!...
Mtakuja kunambia
Ukiwa nje ya field huwez elewa.Bush Lawyer umewaponza.
Ukiwa nje ya field huwez elewa.Bush lawyer unaendeleaje?
Swali ni je jamaa walibaka kweli au hawakubaka ni wamesingiziwa tu!? Lete jibu moja tu, siyo unaanza eti uko nje ya field, au unataka kusema tulio nje ya field hatujui kabisa jema na baya!? Achaa kuegemea sana kwenye technicalities ndiyo ushinde kesi yako!!Ukiwa nje ya field huwez elewa.
Ngoja wakate rufaa alafu uone kama hawajachomoka saa 12 asubh mapema sana
Swala sio kubaka au kutobaka.Swali ni je jamaa walibaka kweli au hawakubaka ni wamesingiziwa tu!? Lete jibu moja tu, siyo unaanza eti uko nje ya field, au unataka kusema tulio nje ya field hatujui kabisa jema na baya!? Achaa kuegemea sana kwenye technicalities ndiyo ushinde kesi yako!!
Hadi wamehukumiwa,basi upande wa Jamuhuri umeweza kuthibitisha bila kuacha shaka,ndiyo maana kina Nyundo wakala Nyundo!!Swala sio kubaka au kutobaka.
Swala ni kuthibitisha bila kuacha shaka[emoji23][emoji23]
Video inaonyesha wazi,ushahidi bila chenga halafu unaandika mashudu,watu mna funza vichwani kweliHamna kesi pale.
Ushahidi umekaa ovyo sana kuthibitisha lile kosa. Kwa kuangalia mambo yafuatayo kwa haraka:-
1. Video inaonesha mmoja tu ndo anapiga mzigo. (Kumbuka kosa ni gang rape)
2. Muda wa mtuhumiwa alokuja kupimwa na daktari almost mwezi na siku kadhaa zimepita.
3. Tunaanza na authentification ya electronic evidence.
Na mambo mengine kibao, Hapo Nyundo anachomoka mapema sana ndo mana unaona anadandia gari kwa mbwembwe vile!...
Mtakuja kunambia
Imethibitishwa bila shaka ndo maana hukumu imetolewa , kungekua na doubt yoyote wasingehukumiwa wangeachiwa huruSwala sio kubaka au kutobaka.
Swala ni kuthibitisha bila kuacha shaka😂😂
Hao ndiyo mawakili wakina Nyundo,wanajifanya eti hawajui maumbile ya mbele na maumbile ya nyuma ya mwanadamu yako wapi!? Aisee kuna watu wazima tena wasomi waliobobea wanajua kujizima Data!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Video inaonyesha wazi,ushahidi bila chenga halafu unaandika mashudu,watu mna funza vichwani kweli
Cheki hili punga nalo.Video inaonyesha wazi,ushahidi bila chenga halafu unaandika mashudu,watu mna funza vichwani kweli
Ushahidi pekee unaoweza kuokoa hao vijana kwenye rufaa ni kama wataweza kuithibitishia Mahakama bila shaka kua siku hiyo video ina recordiwa wao hawakuwepo Nchini au walikua kambini!!Cheki hili punga nalo.
Anyway, naisev hii alafu nitarud baada ya rufaa