Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.

Ulisema wanaosema Ile tafsiri ya Mungu ni Bible , Qur'an na philosophers,

Nilitaka ushahidi wa hayo maneno yako
 

Kwani kabla yesu kuzaliwa, Mungu alikuwa na jina gani?? Na wapi alisema nitajitia nyama niwe binadamu ??
 
Ulisema wanaosema Ile tafsiri ya Mungu ni Bible , Qur'an na philosophers,

Nilitaka ushahidi wa hayo maneno yako
Maneno yangu au kutoka kwenye Quran, Bible na Philosophers?

Wewe unakubali huyo Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote yupo?

Tubishane mimi na wewe hata tukivitoa hivyo vitabu na philosophers.

Unaelewa kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote kuumba ulimwengu huu unaowezekana kuwa na mabaya ni contradiction?

Unaelew kwamba contradiction hiyo inaonesha kwamba Mungu huyo hayupo, ni kama habari ya kuwepo pembetatu ambayo hapo hapo ni duara katika Euclidean plane geometry?
 
Ziko dini za hovyo kama baniani na pia wachawi wapo lakini waislam wao wanahangaika na wakristo tuuuuuu. Hatutaacha kuwafukuza majini yenu.
 
Kwani kabla yesu kuzaliwa, Mungu alikuwa na jina gani?? Na wapi alisema nitajitia nyama niwe binadamu ??

Toka asubuhi kwa Upendo Wa KRISTO Nimekushauri zunga linakusababish umfananishe Mwenyezi na Babu yako hivyo ukatahiriwe [emoji117] ona unavyo leta wazimu wa maswali [emoji117] nimeamini Fundisho la HEKIMA [emoji117]
 

Hayo maneno uliyoyaandika ndiyo ushahidi wa tafsiri ya Mungu kutoka biblia na Qur'an na philosophers?
 
Hayo maneno uliyoyaandika ndiyo ushahidi wa tafsiri ya Mungu kutoka biblia na Qur'an na philosophers?
Unataka ushahidi kutoka kwangu mimi au kutoka kwenye Biblia, Quran na Philosophers?

Mbona hueleweki?

Nimekuuliza unayajua majina 99 ya Allah?

Nimeandika "Do you know the 99 characteristic names of Allah? "

Hujajibu swali hili.

Unategemea tutajadiliana vipi kama hujibu maswali yangu?

Nikwamba umeliona ukalikwepa? Hukuliona au huna nidhamu ya kusoma maswali na kuyajibu tu?
 
Naona umeanza kuchanganyikiwa au unajitia wazimu , hivi wapi uliniuliza suali la majina 99 ya Allah??
Kama unakimbia kujibu swali langu kistyle kimbia Tu si aibu
 
Ahahahahahahahahaha ndio maana nikasema Wewe bado sana kwanza unaafiki kuwa Ayubu alichezewa na shetani ,kwahiyo hoja yako ya shetani kuwajaribu waislamu imekwisha, sasa umehamia kwenye mapicha hakuna cha kukusaidia kwasababu picha haiwezi kuwa hoja , na nimekwambia kama unaweza kuamini Bikira maria anakuombea kwa Mungu si vichekesho
 
Ahahahahahahahahahaha kumsalia ndio nini umesema ? eti kuchukua udhu unatafuta kichaka wakati watu wameshalima , ebu uliza maulamaa tukufundishe , utetezi wa kitoto unaoleta hauwezi kukusaidia amuwezi kumpa mtu cheo cha Mungu halafu mkabaki salama, nyie ni zaidi ya wachawi na washirikina, nyie niwatovu wa nidhamu kwa Muumba wa nchi , Bikira maria mama wa Mungu huu ni ubahau ahahahahahhahahahhaha
 
Wewe Mungu hawezi kufanywa toy, acheni imani ya kipuuzi hiyo, hivi kwanini unatetea imani ya ovyo iliojaa uongo, yaani kweli umekaa hapo unasema Mungu kasulubiwa msalabani mara wamemvua nguo wakambakisha na kachupi , amka usingizini Huo ni ushirikina wa kumpa mtu cheo cha Mungu
 
Ziko dini za hovyo kama baniani na pia wachawi wapo lakini waislam wao wanahangaika na wakristo tuuuuuu. Hatutaacha kuwafukuza majini yenu.
Tulia kijana dawa ikuingie, mtoa mada ni mkristo , sasa waislamu wanaangaikaje na wakristo? tunachofanya sisi ni kujibu mapigo tu
 
Huwezi na huna UWEZO wa kufanya Mungu toy ilaha Mungu ANA UWEZO WA Kukufanya wewe toy ima uoze ugeuke funza au Leo uwe mbuguma vidume wanakugombea [emoji123] [emoji106] TAMKA UWEZO HUO MUNGU HANA [emoji15] [emoji47]
 




Hebu rudia kauli hii ya allah [emoji117] View attachment 861859 anamsalia au hamsalii [emoji47] na taratibu za kuswali hizi hapa [emoji117] na kama allah kushughulika aoge na sababu za kuoga hizi [emoji117] umebakia maulamaa maulamaa=majingaa [emoji12] [emoji33] [emoji23] [emoji23] au kama wewe ndie allah sema [emoji4]
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…