Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
Mtazamo wa Uislamu


Mungu alimtuma Yesu kwa Wayahudi kwa sababu waliiacha ibada ya Mwenyezi Mungu kwa madai na visingizio kwamba wanafuata sherehe na uchambuzi wa kina wa sheria.

Vitabu 63 vya Talmud - ambavyo ni tafsiri na uchambuzi wa sheria ya kiyahudi - ni uthibitisho juu ya jambo hili.

Wayahudi waliamini kwamba wokovu unapatikana kwa kutii sheria ya Mungu.


Yesu alitumwa katika jitihada za kuwaelewesha kwamba vitendo vizuri peke yake sio mwisho wa mambo yote bali walitakiwa pia kumuamini Mwenyezi Mungu.

Yesu alihimiza tena na tena kwamba "ibada tupu bila imani thabiti", si jambo lililotakiwa na Mungu kutoka kwao bali lililokuwa likitakiwa ilikuwa ni kufuata sheria zilizomo katika maandiko matakatifu "kwa dhati, uchaji Mungu na kumhofu Mwenyezi Mungu kwa dhati".

Hili ndilo jambo ambalo Yesu alilifundisha bila kuchoka lakini kwa bahati mbaya, leo hii haya sio mafundisho ambayo Ukristo unasimamia utekelezaji wake ule ujumbe wa Yesu:


"Amri kuu kuliko zote ni, sikieni, Enyi Israel; Bwana Mungu wetu ni Mungu mmoja".


Unaopatikana katika Marko 12:29, si chochote ila ni maandishi tu katika karatasi Paulo alimpachika Yesu uungu, kisha akaandaa masharti ya uokovu kwamba kilichotakiwa ni imani peke yake juu ya Yesu kwamba alikufa kwa ajili ya dhambi za wanadamu.

Utii wa sheria ya Mwenyezi Mungu ulitupiliwa mbali na ukaitwa kuwa ni "Laana".

Quran imeliweka jambo hili wazi kabisa. Imetaja masharti ya uokovu kuwa ni mawili, kumwamini Mwenyezi Mungu Mmoja na kutii sheria zake.


"Kwa wale ambao wameamini na wakafanya vitendo vizuri Mwenyezi Mungu amewaahidi msamaha na malipo makubwa". (Quran 5:9)
Vitendo vizuri ikiwemo kuua wasioamini,
Kuwachukia, kuwatoza kodi, kuwaita Kuffar,Kafir, najis, kuwabagua Sio?.
 
kamuulize Paulo


Wayahudi walifanikiwa kuyazimisha mafundisho ya Yesu; lakini si Wayahudi tu bali hata dini ya Ukristo tuliyo nayo leo ambayo mafundisho na imani zake zote muhimu zimeanzishwa na Paulo pia imeyafutilia mbali mafundisho na imani zote zilizofundishwa na Yesu.

Licha ya hoja zozote zinazoweza kutolewa na mkristo, hatuwezi kupata ushahidi wowote ambapo Yesu amethibitisha au kazitaja imani hizi nne (uungu wa Yesu, Utatu Mtakatifu, kufa kwa Yesu kwa ajili ya dhambi za wanadamu, na uokovu kwa imani peke yake) katika Injili.

Maadamu Yesu hakuwa na mpango wa kuanzisha dini mpya, basi bila ya chembe ya shaka ni wazi kwamba pia hakuunda au kuanzisha misingi au imani zozote za dini, kwani kama angekuwa na nia ya kuanzisha dini mpya basi angelazimika pia kuanzisha imani na misingi mipya ya dini.

Lakini maadamu hakuanzisha wala hakuwa na nia ya kuanzisha dini yoyote mpya basi pia hakuna imani yoyote mpya ya dini aliyoianzisha.



Imani, misingi na mafundisho yote ya Ukristo ni kazi ya Paulo ambayo aliifanya kwa shabaha ya kuungwa mkono na kukubalika kwa wafuasi wapya miongoni mwa ambao hawakuwa Wayahudi wa zama zake.

Kwa kuingiza na kuchanganya imani za kipagani katika mafundisho ya Yesu, Paulo alipata mafanikio makubwa mno katika kazi yake lakini kwa kufanya hivi aliharibu na kuivunjilia mbali imani ya kuamini Mwenyezi Mungu mmoja asiye kuwa na mshirika.

Kwa kufanya hivi Paulo alifanikiwa kuyapotosha kabisa mafundisho yote ya Yesu na badala yake akaanzisha maradhi mabaya na yaliyoenea kwa haraka aliyotatoa katika upagani - ambapo imani hizi bado tunazo mpaka leo katika ukristo.

Ni hapa kwenye kiini na kitovu cha mafundisho ya Yesu palipotoshwa na hii ndio sababu kuu ya tofauti za msingi kati ya Uislamu na Ukristo.


Inafurahisha kuona kwamba "imani na misingi ya Ukristo" ambayo Quran inaikubali inaweza pia kuthibitishwa kwa urahisi kabisa, kuwa ni sehemu ya mafundisho ya wanafunzi wa mwanzo kabisa wa Bwana Yesu, ambapo imani na misingi ambayo Quran inaikataa inaweza kuthibitishwa kuwa ni maongezo (nyongeza) yaliyoongezwa na viongozi wa juu wa kanisa au Paulo.

Waliyaongeza haya kwa sababu walipendezwa na falsafa na mifumo ya dini za Wapagani wa Kigiriki na wa Kirumi"
YESU ANASEMA:-

John 16:12
Hata bado nikali ninayo mengi ya kuwaambia, LAKINI HAMWEZI KUYASTAHIMILI HIVI SASA.

..TAFAKARI!.
 
Mpaka yesu anaondoka hakuna ukristo wew unapaswa kutuambia nani alianza kumiita nyie wakristo?

wee kwa nini unapenda kuzusha zusha [emoji53] Yesu Mwenyewe Alianza kutuita WA-KRISTO [emoji117]
IMG_20180917_055455_900.jpg
zusha lingine [emoji117]
IMG_20180916_200657_241.jpg
[emoji53]
 
kamuulize Paulo


Wayahudi walifanikiwa kuyazimisha mafundisho ya Yesu; lakini si Wayahudi tu bali hata dini ya Ukristo tuliyo nayo leo ambayo mafundisho na imani zake zote muhimu zimeanzishwa na Paulo pia imeyafutilia mbali mafundisho na imani zote zilizofundishwa na Yesu.

Licha ya hoja zozote zinazoweza kutolewa na mkristo, hatuwezi kupata ushahidi wowote ambapo Yesu amethibitisha au kazitaja imani hizi nne (uungu wa Yesu, Utatu Mtakatifu, kufa kwa Yesu kwa ajili ya dhambi za wanadamu, na uokovu kwa imani peke yake) katika Injili.

Maadamu Yesu hakuwa na mpango wa kuanzisha dini mpya, basi bila ya chembe ya shaka ni wazi kwamba pia hakuunda au kuanzisha misingi au imani zozote za dini, kwani kama angekuwa na nia ya kuanzisha dini mpya basi angelazimika pia kuanzisha imani na misingi mipya ya dini.

Lakini maadamu hakuanzisha wala hakuwa na nia ya kuanzisha dini yoyote mpya basi pia hakuna imani yoyote mpya ya dini aliyoianzisha.



Imani, misingi na mafundisho yote ya Ukristo ni kazi ya Paulo ambayo aliifanya kwa shabaha ya kuungwa mkono na kukubalika kwa wafuasi wapya miongoni mwa ambao hawakuwa Wayahudi wa zama zake.

Kwa kuingiza na kuchanganya imani za kipagani katika mafundisho ya Yesu, Paulo alipata mafanikio makubwa mno katika kazi yake lakini kwa kufanya hivi aliharibu na kuivunjilia mbali imani ya kuamini Mwenyezi Mungu mmoja asiye kuwa na mshirika.

Kwa kufanya hivi Paulo alifanikiwa kuyapotosha kabisa mafundisho yote ya Yesu na badala yake akaanzisha maradhi mabaya na yaliyoenea kwa haraka aliyotatoa katika upagani - ambapo imani hizi bado tunazo mpaka leo katika ukristo.

Ni hapa kwenye kiini na kitovu cha mafundisho ya Yesu palipotoshwa na hii ndio sababu kuu ya tofauti za msingi kati ya Uislamu na Ukristo.


Inafurahisha kuona kwamba "imani na misingi ya Ukristo" ambayo Quran inaikubali inaweza pia kuthibitishwa kwa urahisi kabisa, kuwa ni sehemu ya mafundisho ya wanafunzi wa mwanzo kabisa wa Bwana Yesu, ambapo imani na misingi ambayo Quran inaikataa inaweza kuthibitishwa kuwa ni maongezo (nyongeza) yaliyoongezwa na viongozi wa juu wa kanisa au Paulo.

Waliyaongeza haya kwa sababu walipendezwa na falsafa na mifumo ya dini za Wapagani wa Kigiriki na wa Kirumi"
Kila siku unamwaga pumba, lakini ya Leo Kali...[emoji15] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
wee kwa nini unapenda kuzusha zusha [emoji53] Yesu Mwenyewe Alianza kutuita WA-KRISTO [emoji117] View attachment 868583 zusha lingine [emoji117] View attachment 868584 [emoji53]
A ha hahahahhahahah" WATU WA KRISTO " ndio neno lililotumika nataka uniambie neno "WAKRISTO" nani alilitumia neno hilo mpaka yesu anaondoka hakuna alielitumia hilo neno , unafikiri Yesu hakuwa na akili mpaka akatumia neno "WATU WA KRISTO" mpaka wewe na wenzako mkalinyumbua mkajiita "WAKRISTO" kitu ambacho yesu ajawai kuwaita wafuasi wake kwa jina hilo? mbona rahisi huko unapotaka kujificha kupowazi ahahahahahahhahahahahahhhah utuambie nani alianza kumiita nyie ni WAKRISTO badala ya WATU WA KRISTO kama alivyoelekeza Yesu?
 
YESU ANASEMA:-

John 16:12
Hata bado nikali ninayo mengi ya kuwaambia, LAKINI HAMWEZI KUYASTAHIMILI HIVI SASA.

..TAFAKARI!.
Tutafakari kipi ikiwa hata hayo aliyoyafanya mengine waandishi wamegoma kuyaandika
YOHANA 20:30
",Basi kuna ishara nyingine nyingi alizozifanya Yesu mbele ya wanafunzi wake, ZISIZOANDIKWA katika kitabu hiki"

ahahaahahahhahahhahahahahhhhhaha wewe ndio ukajiulize huko kama aliyofanya yesu tu watu wameamua kuyapotezea sasa unataka tujiulize kitu gani kijana
 
Vitendo vizuri ikiwemo kuua wasioamini,
Kuwachukia, kuwatoza kodi, kuwaita Kuffar,Kafir, najis, kuwabagua Sio?.
KUUA WASIAMINI Ahahahhahaha hawa hapa
SAMWELI wa kwanza 15:3
"; Basi sasa enda ukawapige Amaleki, na kuviharibu kabisa vitu vyote walivyo navyo, wala msiwaachilie ; bali WAUENI ,mwanamume na mwanamke, MTOTO NAYE ANYONYAYE, NG'OMBE na KONDOO, NGAMIA na PUNDA "
hii ni kiboko mpaka Punda mnataka aamini ahahahahahaahahaahahhahhahahaha

UBAGUZI ahahhahahah unataka kuuona msikilize Bwana Mungu huyo
KUTOKA 23:33
"WASIKAE katika nchi yako, wasije wakakufanya kunitendea mimi DHAMBI; kwa sababu ukiitumikia miungu yao, jambo hili halikosi litakuwa ni tanzi kwako";

Ahahahahaahhahha unafukuza watu wasikae kwenye nchi yako kisa dhambi , sasa si bora sisi tunawatoza kodi lakini wanaishi ahahahhahaahhahahaha
 
Unapoteza Muda wako Kufundiaha Injili.
Mtume Paulo anaeleweka vizuri kuliko mnavyompaka Oil chafu.

Mbali na kua hana asili ya Ukuhani, pia Mohamamd hakutahiriwa -Litafakari na hili pia.

Na hakuzaliwa kwenye familia yenye ndoa.
Jina lake halisi ni Qathem.

Majina mapya aliyojipa ni Mohammad na Ahmed.

Mamaye ni Amena.
Baba halisi hajulikani ila baba Abduallah ndiye anayejulikana.(Maana yake Mtumwa wa Allah(Mungu mwezi)
Kaka zake hawajulikani kama wapo.

Babu wa babu yake ni Qusy ibn Kilab.
(Ibn Kilab maana yake Son of Dogs; real name No Insult!)

Na maana za haya majina Tunazijua. Lakini hamwezi kustahimili.

http://www.al-eman.com/Islamlib/viewchp.asp?
BID=185&CID=4&SW=لفون-تنب-ةليتق#SR1
Hayo mambo unayomzushia mohamadi umeyatoa kitabu gani usituletee malink hapa ahahahhahahaha vitabu vya hadith vinajulikana sio unatuletee maneno ya vijiweni, halafu kuhusu PAULO hakuna aliempaka Oil chafu mbona ndio tabia yake
MATENDO YA MITUME 26:11
" Na mara nyingi katika masinagogi yote naliwaadhibu, NIKAWASHURUTISHA KUKUFURU; nikawaonea hasira kama mwenye WAZIMU, nikawaudhi hata katika miji ya ugenini";

ahahahahahhahahahhaaha tulia ndio ukubwa huo mtu anajitangazia mwenyewe Kufuru sio tunamifikishia tu mwenye macho na aone
 
WHO IS THE HOLY SPIRIT IN ISLAM? WHO SPOKE TO MARY?

Quran 6:101.

Kama tulivyoona Allah hawezi kua na Mtoto unless ana Mke.
Ameumba kilakitu na mjuzi wa vyote.



Quran nayo inatueleza kuhusu Bikira Maria. Maria alikua mjamzito akiwa bikira.

(or 'Isa, as He is called in the Qur’an).

Qur'an 3:47 tells us:


She (Mary) said, “My God, how I am going to have a son when no man had intercourse with me.” He said, “This is how Allah creates. He says 'be' and it would be!”



[emoji115] [emoji115] Regarding this verse, Waislamu watakuambia huyu ni Malaika Gabriel, or Jibreel, aliyekua akizungumza na Bikira Maria.

NB:Usichanganye na Stori ya Kwenye Bibilia.

Waislamu pia watakuambua alikua akizungumza na Roho Mtakatifu aliyemtokea kwa umbile la Malaika Jibreel.


Let’s review the verse 47 carefully:

[emoji116] [emoji116]
She (Mary) said, “MY GOD, how I am going to have a son when no man had intercourse with me.” He said, “THIS IS HOW ALLAH CREATES. HE SAYS 'BE' AND IT WOULD BE"

Huu ni Ushahidi mwingine tunawekewa kuonyesha kua Quran ni man-made.

Notice the following:

Mary alimwita Roho Mtakatifu aliyemtokea kwa umbile la Mtu.-"MY GOD."

(
Qur’an 19:17) “My God” (RABY), but he told her that he is only a messenger, not God

( Qur’an 19:19).
As long as Mary called the Holy Spirit “My God,” in Qur’an 3:47 and assuming that he was Allah, why was he talking about himself in the third person—that is, why did he say, “This is how Allah creates,” instead of, “This is how I create”?
Je Mary alifanya Kosa kumwita Roho Mtakatifu "My God"
.
Au je alikua Ni Allah?.


Hakuna mahali kwenye Quran panaposema aliyezungumza na Mary ni Malaika Jibree(Gabriel).
Na hakuna Popote kwenye Quran panaposema Malaika Jibreel ndiye Roho Mtakatifu.


In Qur’an 3:45 we read:

And recall when the angels said: “O Mary! Lo! Allah gives thee joyful tidings of a word from him. Whose name is the Christ Jesus, son of Mary, glorious in the world and the Hereafter, and nearer unto Allah;”


[emoji115] [emoji115]
Hapa Inasema Ni Malaika.

Lakini Quran 19:16 tunasoma kua one spirit became a perfect man!
[emoji116] [emoji116]
Makosa ya wazi kua malaika ni mmoja na ndiye Roho Mtakatifu na ndoye aliyeleta habari, anayezungumza kama.mtu mmoja.

Lakini Je malaika wote wanazungumza na wote ni Roho Mtakatifu?.
Qur’an 3:45

This would mean that the Holy Spirit is holy spirits.

Hatahivyo inapingana na story nyingine tunaipata ndani ya Quran 19:16-21.

Qur’an 19:17:
So she (Mary) screened herself from them. So we send to her our spirit, who appeared to her as a normal man.



Roho moja ikawa Mwanadamu.

Waislamu wanasema Roho Mtakatifu ni Mmoja na ndiye Malaika Jibreel.

Waislamu wengu hutafsiri Roho kwenda Malaika. Tafsiri ambayo ni ya Uongo na yenye Makosa.



Roho Mtakatifu ametajwa kua Mungu na Mary.

Lakini wakati huohuo anajieleza kua ni Mesenja wa Mungu.

Qur’an 19:19:

I am only a messenger from your Lord, to announce to thee the gift of a holy son.


Kwanini Roho Mtakatifu awe Malaika Jibreel?.
Qur’an 16:2:

He dispatches down the angels with the Ruh (Spirit) of His Command to whom of His slaves He wills, saying, “none has the right to be worshiped but I, so protect yourself from me.”


Allah anamtuma Malaika mwenye Roho.
Hii inamaanisha Malaika sio Roho.

Waislamu wanajaribu kutafsiri neno Ruh, حورل, kama “revelation”,
Nakudhihirisha Uongo na aibu nyingine.

Qur’an 16:2,
He sendeth down the angels with the Spirit of His command unto whom He will of His bondmen, (saying), “Warn mankind that there is no Allah save Me, so keep your duty unto Me.”


Kuna Ushahidi mwingine wa Quran.

Quran 26:192-193:
192
Verily these are scriptures from the Lord of the two Worlds (world of mankind, and Jinn).
193 With it, came down with it, the Faithful spirit.


[emoji115] [emoji115]
Allah hasemi itashuka pamoja na Jibreel?.is.is just a word?.

Kwanini Allah hakuweka wazi kama.huyo ni Malaika?


Qur'an 70:4

The angels AND the spirit, rise up unto him (Allah), in a Day which is identical to fifty thousand years of your years.

[emoji115] [emoji115] 

Kama Malaika ndiye Roho?.
Kwanini allah anawataja separately?.


Qur'an 78:38 says:

1. In that day (Judgment day) the Spirit and the angels will line up in ranks, and not one of them shall talk except by Allah's order Most Gracious, and He speaks correct.

2. Again, Allah is saying they will stand next to each other, in ranks, Spirit and the angels.
[emoji115] [emoji115]
Huu ni ushahidi kua Waislamu wanajichanganya kati ya Malaika na Roho.

Kama.Mtume wao ndiye wa mwisho kwanini hakutoa Majibu?.

Kwanini allah hakusema wazi kua mesenja aliyemtuma kwa mary ni Malaika Jibreel badala yake akaweka confusion?.
Kwa mfano Ukisoma bibilia
Luke 1:19.

And the angel answering said unto him, I am Gabriel, that stand in the presence of God; and am sent to speak unto thee, and to shew thee these glad tidings.


Lakini zipo aya nyingi kwenye Quran, like Qur'an 7:52, zinazoeleza wazi kua it is a very clear book.


For We had definitely sent unto them a Book, based on wisdom which We explained it to them in clear details, as a guide and a mercy to people who believe.


Wakati huo huo
Qur’an 3:7 clearly states that
the Qur’an has two parts. The first part is clear, and the other one is not only vague but it also indicates that no one except Allah knows its meaning; “but no one knows the Qur’an’s real meaning except Allah.”

Kuna anayejua sehemu ya allah aliyojiwekea aisome?
Embu tuliza munkari uliza swali ujibiwe , unazunguka wewe mara malaika jibril ,mara marriamu , mara sijui Mungu ebu kaa chini panga swali lako ulilete , sio unarudia aya unaenda mbele unarudia tena ueleweki unataka nini?ahahahaahhahaahahahaha uliza maswali ujibiwe sio kupuyanga
 
WHO IS THE HOLY SPIRIT IN ISLAM? WHO SPOKE TO MARY?

Quran 6:101.

Kama tulivyoona Allah hawezi kua na Mtoto unless ana Mke.
Ameumba kilakitu na mjuzi wa vyote.



Quran nayo inatueleza kuhusu Bikira Maria. Maria alikua mjamzito akiwa bikira.

(or 'Isa, as He is called in the Qur’an).

Qur'an 3:47 tells us:


She (Mary) said, “My God, how I am going to have a son when no man had intercourse with me.” He said, “This is how Allah creates. He says 'be' and it would be!”



[emoji115] [emoji115] Regarding this verse, Waislamu watakuambia huyu ni Malaika Gabriel, or Jibreel, aliyekua akizungumza na Bikira Maria.

NB:Usichanganye na Stori ya Kwenye Bibilia.

Waislamu pia watakuambua alikua akizungumza na Roho Mtakatifu aliyemtokea kwa umbile la Malaika Jibreel.


Let’s review the verse 47 carefully:

[emoji116] [emoji116]
She (Mary) said, “MY GOD, how I am going to have a son when no man had intercourse with me.” He said, “THIS IS HOW ALLAH CREATES. HE SAYS 'BE' AND IT WOULD BE"

Huu ni Ushahidi mwingine tunawekewa kuonyesha kua Quran ni man-made.

Notice the following:

Mary alimwita Roho Mtakatifu aliyemtokea kwa umbile la Mtu.-"MY GOD."

(
Qur’an 19:17) “My God” (RABY), but he told her that he is only a messenger, not God

( Qur’an 19:19).
As long as Mary called the Holy Spirit “My God,” in Qur’an 3:47 and assuming that he was Allah, why was he talking about himself in the third person—that is, why did he say, “This is how Allah creates,” instead of, “This is how I create”?
Je Mary alifanya Kosa kumwita Roho Mtakatifu "My God"
.
Au je alikua Ni Allah?.


Hakuna mahali kwenye Quran panaposema aliyezungumza na Mary ni Malaika Jibree(Gabriel).
Na hakuna Popote kwenye Quran panaposema Malaika Jibreel ndiye Roho Mtakatifu.


In Qur’an 3:45 we read:

And recall when the angels said: “O Mary! Lo! Allah gives thee joyful tidings of a word from him. Whose name is the Christ Jesus, son of Mary, glorious in the world and the Hereafter, and nearer unto Allah;”


[emoji115] [emoji115]
Hapa Inasema Ni Malaika.

Lakini Quran 19:16 tunasoma kua one spirit became a perfect man!
[emoji116] [emoji116]
Makosa ya wazi kua malaika ni mmoja na ndiye Roho Mtakatifu na ndoye aliyeleta habari, anayezungumza kama.mtu mmoja.

Lakini Je malaika wote wanazungumza na wote ni Roho Mtakatifu?.
Qur’an 3:45

This would mean that the Holy Spirit is holy spirits.

Hatahivyo inapingana na story nyingine tunaipata ndani ya Quran 19:16-21.

Qur’an 19:17:
So she (Mary) screened herself from them. So we send to her our spirit, who appeared to her as a normal man.



Roho moja ikawa Mwanadamu.

Waislamu wanasema Roho Mtakatifu ni Mmoja na ndiye Malaika Jibreel.

Waislamu wengu hutafsiri Roho kwenda Malaika. Tafsiri ambayo ni ya Uongo na yenye Makosa.



Roho Mtakatifu ametajwa kua Mungu na Mary.

Lakini wakati huohuo anajieleza kua ni Mesenja wa Mungu.

Qur’an 19:19:

I am only a messenger from your Lord, to announce to thee the gift of a holy son.


Kwanini Roho Mtakatifu awe Malaika Jibreel?.
Qur’an 16:2:

He dispatches down the angels with the Ruh (Spirit) of His Command to whom of His slaves He wills, saying, “none has the right to be worshiped but I, so protect yourself from me.”


Allah anamtuma Malaika mwenye Roho.
Hii inamaanisha Malaika sio Roho.

Waislamu wanajaribu kutafsiri neno Ruh, حورل, kama “revelation”,
Nakudhihirisha Uongo na aibu nyingine.

Qur’an 16:2,
He sendeth down the angels with the Spirit of His command unto whom He will of His bondmen, (saying), “Warn mankind that there is no Allah save Me, so keep your duty unto Me.”


Kuna Ushahidi mwingine wa Quran.

Quran 26:192-193:
192
Verily these are scriptures from the Lord of the two Worlds (world of mankind, and Jinn).
193 With it, came down with it, the Faithful spirit.


[emoji115] [emoji115]
Allah hasemi itashuka pamoja na Jibreel?.is.is just a word?.

Kwanini Allah hakuweka wazi kama.huyo ni Malaika?


Qur'an 70:4

The angels AND the spirit, rise up unto him (Allah), in a Day which is identical to fifty thousand years of your years.

[emoji115] [emoji115] 

Kama Malaika ndiye Roho?.
Kwanini allah anawataja separately?.


Qur'an 78:38 says:

1. In that day (Judgment day) the Spirit and the angels will line up in ranks, and not one of them shall talk except by Allah's order Most Gracious, and He speaks correct.

2. Again, Allah is saying they will stand next to each other, in ranks, Spirit and the angels.
[emoji115] [emoji115]
Huu ni ushahidi kua Waislamu wanajichanganya kati ya Malaika na Roho.

Kama.Mtume wao ndiye wa mwisho kwanini hakutoa Majibu?.

Kwanini allah hakusema wazi kua mesenja aliyemtuma kwa mary ni Malaika Jibreel badala yake akaweka confusion?.
Kwa mfano Ukisoma bibilia
Luke 1:19.

And the angel answering said unto him, I am Gabriel, that stand in the presence of God; and am sent to speak unto thee, and to shew thee these glad tidings.


Lakini zipo aya nyingi kwenye Quran, like Qur'an 7:52, zinazoeleza wazi kua it is a very clear book.


For We had definitely sent unto them a Book, based on wisdom which We explained it to them in clear details, as a guide and a mercy to people who believe.


Wakati huo huo
Qur’an 3:7 clearly states that
the Qur’an has two parts. The first part is clear, and the other one is not only vague but it also indicates that no one except Allah knows its meaning; “but no one knows the Qur’an’s real meaning except Allah.”

Kuna anayejua sehemu ya allah aliyojiwekea aisome?
Huuuu ndio ubaya wa kukopi ueleweki unataka kitu gani ebu kaa chini soma tena halafu uje na maswali yenye mpangilio tujue swali la kwanza lipi na la mwisho lipi? punguza jazba Quran ni mzigo mzito kwako tutakuweka sawa kwa kuuliza maswali kwa utaratibu sio kama unakimbizwa ahahahahhahaaaaahah
 
HAKI YA MUNGU WEKA MIADI TUKUTANE WAPI TENA KWA GHARAMA ZANGU! NISIPO KUJA NILAANIWE MIMI NA KIZAZI CHANGU [emoji53]
Kama yesu mli mlaani kwa madhambi yenu, hiyo ahadi ni batili kwasababu ata asiekuwa na laana mnaweza kumlaani ahahahahhahahahahahahhahahaha badili kiapo
 
YESU ANASEMA:-

John 16:12
Hata bado nikali ninayo mengi ya kuwaambia, LAKINI HAMWEZI KUYASTAHIMILI HIVI SASA.

..TAFAKARI!.


ROHO MTAKATIFU

Sehemu pekee katika Biblia alipotajwa Roho Mtakatifu ni katika Yohana 14:26; “Lakini huyo Msaidizi, huyo Roho Mtakatifu, ambaye Baba atampeleka kwa jina langu, atawafundisha yote niliyowaambia. “Ni kipi kile ambacho Roho Mtakatifu ameleta au kufundisha kwa miaka 2000 iliyopita?

Wakristo wanasema kwamba Msaidizi maana yake ni Roho Mtakatifu (Yohana 14:26) Yesu alisema katika Yohana 16:7-8. “Lakini mimi nawaambia iliyo kweli; yawafaa ninyi mimi niondoke; kwa maana mimi nisipoondoka, huyo Msaidizi hatakuja kwenu;” Hii haiwezi kumaanisha Roho Mtakatifu; kwa vile Roho Mtakatifu inasemekana kwamba alikuwepo hata kabla ya Yesu hajazaliwa kama ilivyo katika Luka 1:41 “Elisabeti akajazwa Roho Mtakatifu”. Hapa, Roho Mtakatifu vile vile alikuwepo wakati wa Yesu: sasa vipi hii imaanishe kwamba ni sharti aondoke Yesu ndipo Roho Mtakatifu aweze kuja?

Katika Yohana 16:7-8, inasema; “Bali mimi nikienda zangu, nitampeleka kwenu. Naye akiisha kuja, huyo atauhakikisha ulimwengu kwa habari ya dhambi, na haki, na hukumu.” Je, hii “Yeye” hapa inamaanisha nini? Je, viwakilishi hivyo havimaanishi mtu mwanamume?

Je, Roho Mtakatifu anazungumza na Wakristo wema na waovu vile vile? Je, Roho Mtakatifu yu pamoja nao wakati wote au wakati fulani tu? Je, ni wakati gani anaanza kumtembelea mtu atakaye kuwa Mkristo?

Utasemaje kuwa wewe ni Mkristo ikiwa Roho Mtakatifu yu ndani ya Mkristo mwingine? Inakuwaje Wakristo wengi wanawapumbaza watu kwa kudai kwamba Roho Mtakatifu yu ndani yao tu! Na baadaye wanabadilisha dini?

Je, Roho Mtakatifu anaamuru kile ambacho Wakristo wanapaswa kukifanya bila ya uhuru wa kuchagua hata kidogo au anawaongoza tu na wao wana uhuru wa kufuata au kuto fuata?

Ikiwa Roho Mtakatifu anaamuru kile Wakristo wanachopaswa kukifanya, kwa nini Wakristo wanafanya maovu na madhambi? Vipi unaweza kuuelezea ubadilishaji wa dini na kuingia dini na imani mbali mbali kunakofanywa na Wakristo wengi? Je, Wanaambiwa kufanya hayo na Roho Mtakatifu?

Ikiwa Roho Mtakatifu anawaongoza Wakristo tu, na wako huru kufanya wanavyotaka, sasa ni vipi tutajua kwamba waandishi wa Biblia hawakufanya makosa wakati walipoziandika?

Ikiwa Wakristo wanaamini kwamba Roho Mtakatifu huwajia na kuzungumza nao kila siku, kwanini hawamuulizi Roho Mtakatifu kuhusu chapisho lipi la Biblia wanalopaswa kulifuata kwa vile kuna machapisho mengi?
 
Kakubaliane kwanza na baba fatuma afu uje [emoji12] kafir mkubwa wee [emoji12]
Ahahahahahaahahahahahhahahahahaj babu ,roho mtakatifu ana makengeza ajui kutofautisha dhambarau na nyekundu? hilo ni tukio la kitapeli
 
Alie fanya dhambi ni Adam! sasa wewe gavanaUmefanya dhambi gani hadi umo humu duniani [emoji47] [emoji47]
Ahahahaahahhahahahahahahahhaha Adamu amekuja duniani kutawala wala hakuwa na dhambi ( kwa maana alisamehewa) sasa Gavana dhambi hatoe wapi labda atafute mwenyewe ahahahhaaahhahajaja mjomba huku haturisishani dhambi ni mambo ambayo hata Mungu anashangaa eti dhambi ya asili!!!
 
Unapoteza Muda wako Kufundiaha Injili.
Mtume Paulo anaeleweka vizuri kuliko mnavyompaka Oil chafu.

Mbali na kua hana asili ya Ukuhani, pia Mohamamd hakutahiriwa -Litafakari na hili pia.

Na hakuzaliwa kwenye familia yenye ndoa.
Jina lake halisi ni Qathem.

Majina mapya aliyojipa ni Mohammad na Ahmed.

Mamaye ni Amena.
Baba halisi hajulikani ila baba Abduallah ndiye anayejulikana.(Maana yake Mtumwa wa Allah(Mungu mwezi)
Kaka zake hawajulikani kama wapo.

Babu wa babu yake ni Qusy ibn Kilab.
(Ibn Kilab maana yake Son of Dogs; real name No Insult!)

Na maana za haya majina Tunazijua. Lakini hamwezi kustahimili.

http://www.al-eman.com/Islamlib/viewchp.asp?
BID=185&CID=4&SW=لفون-تنب-ةليتق#SR1



Habari za kugeuka Paulo akaacha kumpinga Yesu, na badala yake akawa mfuasi wake zinasimuliwa pahala patatu katika Matendo ya Mitume katika Agano Jipya la Biblia. Na katika zote mara tatu kisa hicho kinakhitalifiana katika mambo muhimu. Kwanza tunasoma katika Sura ya 9 mstari wa 3 mpaka wa 7:

Hata (Paulo) alipokuwa akisafiri, ikawa anakaribia Dameski; ghafula ikamwangaza kote kote nuru kutoka mbinguni. Akaanguka chini, akasikia sauti ikimwambia, Sauli, Sauli, (yaani Paulo) mbona waniudhi? Akasema, U nani wewe, Bwana? Naye akasema, Mimi ndimi Yesu unayeniudhi wewe. Lakini simama, uingie mjini, nawe utaambiwa yakupasayo kutenda. Na wale waliosafiri pamoja naye wakasimama kimya, wakiisikia sauti, wasione mtu.
Matendo 9.3-7

Katika maelezo hayo hapo ni mwandikaji anasimulia. Yapo mambo mane lazima tuyazingatie vizuri katika maelezo hayo:
  1. Mwangaza ambao Paulo ulimwangaza. Haikusemwa kuwa wengine waliuona mwangaza ule au la, lakini waliisikia sauti.
  2. Ni Paulo ambaye "akaanguka chini."
  3. Yeye na wale watu waliokuwa pamoja naye waliisikia sauti, lakini hawakumwona mtu.
  4. Sauti ya Yesu ilimuamuru "aingie mjini, naye ataambiwa yampasayo kutenda." Hapo hakuambiwa nini la kutenda.
Katika Biblia hiyo hiyo, katika kitabu hicho hicho cha Matendo ya Mitume, sura 22, mstari wa 6 mpaka wa 10 ipo ncha ya pili ya hadithi kusimulia tukio lile lile. Msimulizi hapa ni Paulo mwenyewe:

Ikawa nilipokuwa nikisafiri, nikikaribia Dameski, wakati wa adhuhuri, ghafula nuru kuu ilitoka mbinguni, ikanimulikia pande zote. Nikaanguka nchi (yaani chini), nikasikia sauti ikiniambia, Sauli, Sauli, mbona unaniudhi? Nikajibu, Wewe u nani, Bwana? Akaniambia, Mimi ni Yesu Mnazareti, ambaye wewe unaniudhi. Na wale waliokuwa pamoja nami waliiona ile nuru, lakini hawakuisikia ile sauti ya yule aliyesema nami. Nikasema, Nifanye nini, Bwana? Bwana akaniambia, Simama, uingie Dameski, na huko utaambiwa habari za mambo yote yaliyoamriwa uyafanye.
Matendo 22.6-10

Ncha hii yakubaliana na ile ya mwanzo katika mambo haya:
  1. Aliyeanguka chini ni Paulo na sio wale waliokuwa pamoja naye.
  2. Aliloambiwa Paulo ni kuingia mjini na huko ndiko atakoambiwa nini la kulifanya.
Ncha hii lakini inakosana na ile ya kwanza kuwa ya kwanza yasema ya kuwa wale waliokuwa naye "wakasimama kimya, wakisikia sauti, lakini haikusema kuwa waliona nuru."

Katika ncha hii ya pili twaambiwa: waliiona ile nuru, lakini hawakuisikia ile sauti.

Ncha ya tatu ya tukio hilo hilo muhimu kabisa katika historia ya Ukristo inaelezwa katika maneno yake mwenyewe Paulo vile vile kama inavyosimuliwa katika kitabu kile kile cha Matendo ya Mitume sura ya 26 mstari wa 12 mpaka wa 18:

Basi katika kazi hiyo nilipokuwa nikienda Dameski, mwenye mamlaka na maagizo ya wakuu wa makuhani; Ee Mfalme, ndipo wakati wa adhuhuri njiani naliona nuru inatoka mbinguni ipitayo mwangaza wa jua, ikinimulikia mimi, na wale waliofuatana nami pande zote. Tukaanguka nchi (chini) sote, nikasikia sauti ikisema nami kwa lugha ya kiebrania, Sauli! Sauli! Mbona waniudhi? ni vigumu kwako kuupiga mateke mchokoo (ujiti wenye ncha wa kuchokolea). Nami nikasema, Wewe u nani, Bwana? Bwana akaniambia, Mimi ni Yesu, ambaye wewe unaniudhi. Lakini inuka, usimame kwa miguu yako, maana nimekutokea kwa sababu hii, nikuweke wewe uwe mtumishi na shahidi wa mambo haya uliyoyaona, na wa mambo ambayo katika hayo nitajidhihirisha kwako; nikikuokoa na watu wako, na watu wa Mataifa, ambao nakutuma kwao; uwafumbue macho yao, na kuwageuza waiache giza na kuielekea nuru, waziache na nguvu za Shetani na kumwelekea Mungu; kisha wapate msamaha wa dhambi zao, na urithi miongoni mwao waliotakaswa kwa imani iliyo kwangu mimi.

Matendo 26.12-18

Sasa hapa tunaona khitilafu kubwa na zile ncha za hadithi ziliomo katika sura ya 9 na sura ya 22 katika hicho hicho kitabu kimoja cha Matendo ya Mitume. Hebu tuchungue:
  1. Kwa mujibu wa ncha hii si Paulo pekee aliyeona nuru - kama ilivyoelezwa pale mara ya kwanza - lakini wote waliokuwa naye waliona nuru, kama ilivyoelezwa mara ya pili.
  2. Hapa Paulo anasema: Tukaanguka nchi sote. Haya yanapinga ncha ya kwanza na ya pili zilizosema kuwa ni Paulo tu peke yake ndiye aliyeanguka chini.
  3. Katika masimulizi ya kwanza na ya pili ilisemwa wazi kuwa Paulo aliambiwa aingie mjini Demeski na huko ataambiwa habari za mambo yote yaliyoamriwa ayafanye. Hii mara ya tatu mambo yote ameamuriwa hapo hapo kabla ya kuingia mjini, kinyume na ilivyosimuliwa mara ya kwanza na ilivyosimuliwa mara ya pili. Tena hapo Paulo alimsikia Yesu anamuamrisha amri kinyume na alivyokuwa akiwafunza na kuwaamrisha wanafunzi wake siku zote katika uhai wake - anamuamrisha Paulo apeleke utume wa Yesu kwa mataifa mengine yasiyokuwa Mayahudi. Kadhaalika kinyume na mafunzo ya Yesu katika uhai wake anamuamrisha afunze kuhesabiwa haki kwa imani na kufutiwa dhambi.
Ni wazi kuwa Paulo kabla ya kutanasari kwake alikwisha jitayarisha namna gani atavyougeuza Ukristo wa Yesu, waliokuwa wakiujua wote wanafunzi wake kumi na mbili, uwe Ukristo wake yeye Paulo.

Na kwa nini Paulo aliongeza mengi aliposimulia mara hii ya tatu kuliko ilivyosimuliwa zile mara mbili za mwanzo?

Ni kwa sababu hapa anasema na Mfalme Agripa.

Lakini yafaa tusite na tujiulize: Nini thamani ya shahidi anayetoa ushahidi wake kwa polisi, akaubadilisha kidogo akifika kwa hakimu, na akatoa hadithi nyengine kabisa anapofika mahkama kuu kwa jaji?

Hapana awezae kumueleza Paulo alivyo kama alivyojieleza mwenyewe katika barua yake aliyowapelekea Wakorintho.

Amesema:

Maana, ingawa nimekuwa huru kwa watu wote, nalijifanya mtumwa wa wote, ili nipate watu wengi zaidi. Nalikuwa kama Myahudi kwa Wayahudi, ili niwapate Wayahudi; kwa wale walio chini ya sheria, nalikuwa kama chini ya sheria, (ingawa mimi mwenyewe si chini ya sheria,) ili niwapate walio chini ya sheria. Kwa wale wasio na sheria nalikuwa kama sina sheria, (si kwamba sina sheria mbele za Mungu, bali mwenye sheria mbele za Kristo), ili niwapate hao wasio na sheria. Kwa wanyonge nalikuwa mnyonge, ili niwapate wanyonge. Nimekuwa hali zote kwa watu wote, ili kwa njia zote nipate kuwaokoa watu.

1 Wakorintho 9.19-22
 
Allah does not like to have female children (Qur'an 53:21-22)

[emoji115] [emoji115]
WHAT ALLAH SAYS ABOUT HIMSELF.
Allah anataka watoto wa kiume..



 Qur'an 53:19-22:
19
Did you see Al-Lat and Al-'Uza

20 and Manat the third one?

21What for you the male gender ones and to Allah the females?

22This is a really unjustified division.

Binafsi Sijawahi kuona Mungu akizungumza kitu kama hicho hapo kabla.


 1)[emoji117] Allah says it is unfair for him to have daughters (Al-Lat, Al-‘Uza, and Manat) instead of sons.

2) [emoji117] it is unfair that the Arabs get sons—“for you the males and for me the females”—while he gets only daughters.


Fikiria sasa kama allah analalamika kua waarabu wamebarikiwa zaidi, kwasababu wana watoto wa Kiume(Sons). Wakati yeye ana mabinti tu(Daughters).


Je allah ndiye Muumbaji?

Kwanini hajajibarikia kua na wana wa kiume?

Qur'an 6:101
(Muhammad Pickthall translation) explains why:


The Originator of the heavens and the earth! How can He have a child, when there is for Him no consort, when He created all things and is aware of all things?


[emoji115] [emoji115] .

Qur’an 6:101 inahoji allah anawezaje kua na Mwana ikiwa hana mke?.

Kwakua hili ndio Jibu wanalotakiwa kupewa Wakristo kua allah hana Mwana. Bila shaka inaonyesha allah ana Uelewa potofu kuhusu kile Wakristo wanaamini.

Hakuna Mkristo anayeamini kua Maria Mamaye Yesu Kristo ni Mke wa Mungu.

Kutokuelewa kwa Allah, inadhihirisha bila shaka kua allah hawezi kua Mungu yule ambaye Wakristo wanamuamini.

Lakini pia kwasababu anafikiri kama ana akili za kiBinadamu— kwamba hawezi kua na Mtoto mpaka awe na Mke wa ku sex naye na kumzalisha!. Hii ni akili ya Kibinadamu zaidi

Qur’an 6:101 was speaking from the mentality of a man, not God—a man who is sure that if he does not have a woman, then he cannot have children. He tried to speak for God, but he can only speak within his limits as a man.
Wew ndio unalalamika Allah mola wa walimwengu wote , alalamike kwa kipi? ebu kasome hizo aya mbona ziko wazi aiseee
 
Habari za kugeuka Paulo akaacha kumpinga Yesu, na badala yake akawa mfuasi wake zinasimuliwa pahala patatu katika Matendo ya Mitume katika Agano Jipya la Biblia. Na katika zote mara tatu kisa hicho kinakhitalifiana katika mambo muhimu. Kwanza tunasoma katika Sura ya 9 mstari wa 3 mpaka wa 7:

Hata (Paulo) alipokuwa akisafiri, ikawa anakaribia Dameski; ghafula ikamwangaza kote kote nuru kutoka mbinguni. Akaanguka chini, akasikia sauti ikimwambia, Sauli, Sauli, (yaani Paulo) mbona waniudhi? Akasema, U nani wewe, Bwana? Naye akasema, Mimi ndimi Yesu unayeniudhi wewe. Lakini simama, uingie mjini, nawe utaambiwa yakupasayo kutenda. Na wale waliosafiri pamoja naye wakasimama kimya, wakiisikia sauti, wasione mtu.
Matendo 9.3-7

Katika maelezo hayo hapo ni mwandikaji anasimulia. Yapo mambo mane lazima tuyazingatie vizuri katika maelezo hayo:
  1. Mwangaza ambao Paulo ulimwangaza. Haikusemwa kuwa wengine waliuona mwangaza ule au la, lakini waliisikia sauti.
  2. Ni Paulo ambaye "akaanguka chini."
  3. Yeye na wale watu waliokuwa pamoja naye waliisikia sauti, lakini hawakumwona mtu.
  4. Sauti ya Yesu ilimuamuru "aingie mjini, naye ataambiwa yampasayo kutenda." Hapo hakuambiwa nini la kutenda.
Katika Biblia hiyo hiyo, katika kitabu hicho hicho cha Matendo ya Mitume, sura 22, mstari wa 6 mpaka wa 10 ipo ncha ya pili ya hadithi kusimulia tukio lile lile. Msimulizi hapa ni Paulo mwenyewe:

Ikawa nilipokuwa nikisafiri, nikikaribia Dameski, wakati wa adhuhuri, ghafula nuru kuu ilitoka mbinguni, ikanimulikia pande zote. Nikaanguka nchi (yaani chini), nikasikia sauti ikiniambia, Sauli, Sauli, mbona unaniudhi? Nikajibu, Wewe u nani, Bwana? Akaniambia, Mimi ni Yesu Mnazareti, ambaye wewe unaniudhi. Na wale waliokuwa pamoja nami waliiona ile nuru, lakini hawakuisikia ile sauti ya yule aliyesema nami. Nikasema, Nifanye nini, Bwana? Bwana akaniambia, Simama, uingie Dameski, na huko utaambiwa habari za mambo yote yaliyoamriwa uyafanye.
Matendo 22.6-10

Ncha hii yakubaliana na ile ya mwanzo katika mambo haya:
  1. Aliyeanguka chini ni Paulo na sio wale waliokuwa pamoja naye.
  2. Aliloambiwa Paulo ni kuingia mjini na huko ndiko atakoambiwa nini la kulifanya.
Ncha hii lakini inakosana na ile ya kwanza kuwa ya kwanza yasema ya kuwa wale waliokuwa naye "wakasimama kimya, wakisikia sauti, lakini haikusema kuwa waliona nuru."

Katika ncha hii ya pili twaambiwa: waliiona ile nuru, lakini hawakuisikia ile sauti.

Ncha ya tatu ya tukio hilo hilo muhimu kabisa katika historia ya Ukristo inaelezwa katika maneno yake mwenyewe Paulo vile vile kama inavyosimuliwa katika kitabu kile kile cha Matendo ya Mitume sura ya 26 mstari wa 12 mpaka wa 18:

Basi katika kazi hiyo nilipokuwa nikienda Dameski, mwenye mamlaka na maagizo ya wakuu wa makuhani; Ee Mfalme, ndipo wakati wa adhuhuri njiani naliona nuru inatoka mbinguni ipitayo mwangaza wa jua, ikinimulikia mimi, na wale waliofuatana nami pande zote. Tukaanguka nchi (chini) sote, nikasikia sauti ikisema nami kwa lugha ya kiebrania, Sauli! Sauli! Mbona waniudhi? ni vigumu kwako kuupiga mateke mchokoo (ujiti wenye ncha wa kuchokolea). Nami nikasema, Wewe u nani, Bwana? Bwana akaniambia, Mimi ni Yesu, ambaye wewe unaniudhi. Lakini inuka, usimame kwa miguu yako, maana nimekutokea kwa sababu hii, nikuweke wewe uwe mtumishi na shahidi wa mambo haya uliyoyaona, na wa mambo ambayo katika hayo nitajidhihirisha kwako; nikikuokoa na watu wako, na watu wa Mataifa, ambao nakutuma kwao; uwafumbue macho yao, na kuwageuza waiache giza na kuielekea nuru, waziache na nguvu za Shetani na kumwelekea Mungu; kisha wapate msamaha wa dhambi zao, na urithi miongoni mwao waliotakaswa kwa imani iliyo kwangu mimi.

Matendo 26.12-18

Sasa hapa tunaona khitilafu kubwa na zile ncha za hadithi ziliomo katika sura ya 9 na sura ya 22 katika hicho hicho kitabu kimoja cha Matendo ya Mitume. Hebu tuchungue:
  1. Kwa mujibu wa ncha hii si Paulo pekee aliyeona nuru - kama ilivyoelezwa pale mara ya kwanza - lakini wote waliokuwa naye waliona nuru, kama ilivyoelezwa mara ya pili.
  2. Hapa Paulo anasema: Tukaanguka nchi sote. Haya yanapinga ncha ya kwanza na ya pili zilizosema kuwa ni Paulo tu peke yake ndiye aliyeanguka chini.
  3. Katika masimulizi ya kwanza na ya pili ilisemwa wazi kuwa Paulo aliambiwa aingie mjini Demeski na huko ataambiwa habari za mambo yote yaliyoamriwa ayafanye. Hii mara ya tatu mambo yote ameamuriwa hapo hapo kabla ya kuingia mjini, kinyume na ilivyosimuliwa mara ya kwanza na ilivyosimuliwa mara ya pili. Tena hapo Paulo alimsikia Yesu anamuamrisha amri kinyume na alivyokuwa akiwafunza na kuwaamrisha wanafunzi wake siku zote katika uhai wake - anamuamrisha Paulo apeleke utume wa Yesu kwa mataifa mengine yasiyokuwa Mayahudi. Kadhaalika kinyume na mafunzo ya Yesu katika uhai wake anamuamrisha afunze kuhesabiwa haki kwa imani na kufutiwa dhambi.
Ni wazi kuwa Paulo kabla ya kutanasari kwake alikwisha jitayarisha namna gani atavyougeuza Ukristo wa Yesu, waliokuwa wakiujua wote wanafunzi wake kumi na mbili, uwe Ukristo wake yeye Paulo.

Na kwa nini Paulo aliongeza mengi aliposimulia mara hii ya tatu kuliko ilivyosimuliwa zile mara mbili za mwanzo?

Ni kwa sababu hapa anasema na Mfalme Agripa.

Lakini yafaa tusite na tujiulize: Nini thamani ya shahidi anayetoa ushahidi wake kwa polisi, akaubadilisha kidogo akifika kwa hakimu, na akatoa hadithi nyengine kabisa anapofika mahkama kuu kwa jaji?

Hapana awezae kumueleza Paulo alivyo kama alivyojieleza mwenyewe katika barua yake aliyowapelekea Wakorintho.

Amesema:

Maana, ingawa nimekuwa huru kwa watu wote, nalijifanya mtumwa wa wote, ili nipate watu wengi zaidi. Nalikuwa kama Myahudi kwa Wayahudi, ili niwapate Wayahudi; kwa wale walio chini ya sheria, nalikuwa kama chini ya sheria, (ingawa mimi mwenyewe si chini ya sheria,) ili niwapate walio chini ya sheria. Kwa wale wasio na sheria nalikuwa kama sina sheria, (si kwamba sina sheria mbele za Mungu, bali mwenye sheria mbele za Kristo), ili niwapate hao wasio na sheria. Kwa wanyonge nalikuwa mnyonge, ili niwapate wanyonge. Nimekuwa hali zote kwa watu wote, ili kwa njia zote nipate kuwaokoa watu.

1 Wakorintho 9.19-22
Hizi silaha ndugu yangu utawaua hawa, ila kwa vile wamemchezea paka sharubu wacha yawakute ahahahahhaahaaa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom