Usisahau John 4:16.Ni kweli kabisa Mtumishi.
Usisahau John 4:16.
wanaipenda hiyo kuwa nitawaletea msaidizi. eti msaidizi ni Mudy muzung!
Swali, Kwanini Yesu aseme nitamleta msaidizi halafu huyo msaidizi anakuja kuwa na cheo kikubwa kuliko aliyemleta?( Kisilamu silamu - Yesu ni Nabii wa kawaida tu)
line hiyo tu ndiyo sahihi kwao, na ndiyo haijawa corrupted kwenye Bible. Ukisoma 4:1-15 na 17- 18 na kuendelea hawataki. maana huko hiyo mistari inawakamua ngama live.
Kwa uelewa wa kawaida Nabii anaweza mtuma /mchagua mtume? watakwambia hapana. Then Who is Jesus? just a normal guy.
Na kama jambo hilo ni uongo basi kila kilicjoandikwa humo ni uongo mtakatifu.wametudanganya sana na mavitabu yao.Hata kama wamegundua kwamba Mungu hakuwahi kusema hivyo kwamba Jua linachwea katika matope meusi,ni suala la kukiri tu hadharani na kufuta hiyo aya na kisha maisha yanaendelea.Kwani kuna shida gani kufuta hiyo aya katika Kurani na kubakisha yale yaliyo ya kweli?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji106]Umelipenda Jina la Kisoda mpaka unaweweseka!! Ukiliona tu kinakupwita pwita.
Jibu hoja.
Ni kwa sababu huyo Mungu mwenyewe ni ngano.Swali la Msingi ni kwamba inakuwaje Mungu awaandikie wanadamu hadithi na ngano na kuwaambia kuwa ndiyo matukio halisi? Ina maana Mungu hajui tofauti kati ya Hadithi na tukio halisi?
Tz mbongo njoo hapa.Kama aya za kitabu cha Mungu zinahitaji msuli kuzielewa basi huyo Mungu kashindwa kazi na katungwa na watu tu, hayupo.
Aangekuwepo, aya zake zisingehitaji kueleweka kw amsuli.
As a matter of fact, Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na ujuzi wote haandikwi kwenye kitabu.
Kwa sababu ana access ya moja kwa moja kwenye ubongo wa kila mtu, kwa nini aandikwe kwenye kitabu?
Ukiona Mungu huyo kandikwa kwenye kitabu, ujue ni watu tu wameandika hizo habari.
Kwa nini Mungu asiweke kila kitu wazi kwa kila mtu kwenye ubongo wa kila mtu bila kuhitaji kitabu, sijui tafsiri kutoka lugha fulani na utata mwiiingi?
Mungu huyo hayupo, aliyeandikwa katungwa na watu tu.
Sasa hivi Lina akili linaogopa kuchafuka.Kumbe,Muhammad ndiye anasema ukweli.Vizuri sana.Kwa hiyo, ni sehemu gani hapa Duniani ambako hilo Jua huzamia katika matope? Au Jua limeacha siku hizi kuzama kwenye matope?
Umeukalia sasa unarudia upupu, toa jisumari hilo utujibu.Kanisa lako linakuambia huyu ndiye Yesu , mtoto wa haramu wa Popo Alexander aitwaye Shoga/Kisoda Cesare Borgia
Usisahau John 4:16.
wanaipenda hiyo kuwa nitawaletea msaidizi. eti msaidizi ni Mudy muzung!
Swali, Kwanini Yesu aseme nitamleta msaidizi halafu huyo msaidizi anakuja kuwa na cheo kikubwa kuliko aliyemleta?( Kisilamu silamu - Yesu ni Nabii wa kawaida tu)
line hiyo tu ndiyo sahihi kwao, na ndiyo haijawa corrupted kwenye Bible. Ukisoma 4:1-15 na 17- 18 na kuendelea hawataki. maana huko hiyo mistari inawakamua ngama live.
Kwa uelewa wa kawaida Nabii anaweza mtuma /mchagua mtume? watakwambia hapana. Then Who is Jesus? just a normal guy.
ni mapambo tu Ktk nyumba ya ibada! hata wewe unaweza ukapewa tenda kuichora!Ni picha hipi mnaitumia kama ya Yesu kanisani kwenu?ahahahahhahahhahajahjajjjajjjajauauuauauauaua
Kati ya hizo picha mbili ipi utanipa tenda ya kuichora , inayofanana na Yesu huko kanisani kwenu ?ahahhahaahaahahaaaahhaahahaaahahahahaajaajajjani mapambo tu Ktk nyumba ya ibada! hata wewe unaweza ukapewa tenda kuichora!
Katika maelezo yako hakuna kauli ya Yesu hata moja hapa , hao ni watu ambao wanamsemea Yesu mambo ambayo katu ajawahi kuyasema haya msikilize Yesu alikuwa na mdomo na alifundisha kweupeKwa Mujibu wa Imani Yangu Yesu ni Mungu kamili [emoji117] View attachment 895542 na ni Mwanadamu Kamili [emoji117] View attachment 895546 [emoji123] [emoji123] Uwezo wa Kuwa Kama Hivyo Anao [emoji109] [emoji109] Nashangaa sanàã mtu anabishia [emoji12] kwani huyo ni mungu wako [emoji350] [emoji344] kama mungu wako uwezo huo hana kivyako, usitupigie kelele na kuona kijiba cha roho kwa sababu mungu wako hawezi na Mungu wangu Anaweza [emoji4] na kwa Mujibu wa Imani yangu Asie Amini kwamba [emoji117] HAKUNA MUNGU APASWAYE KUABUDiWA KWA HAQI ILA YESU NA PROF PAULO NI MTUME WAKE ni KAFIR [emoji53] HAIJALISHI anajiita mtume, mungu, malaika, jeen, ima ni mwanadamu ni kafir tu, ni kafir kafiiii...[emoji117] View attachment 895614 makafir, makaafir [emoji53]
Huitaji kutoa ushahidi kijana unatakiwa UTII tu ahahhahaahaahhhahhhhahahajjaajjajahapa hatulazimishani kula au kotokula nyama ya nguruwe [emoji12] wewe unayeona mungu wako kakuzuiakula basi kivyako usile na Mimi nilie shindwa kutoa ushahidi kwamba Mungu kapiga ban nyama ya nguruwe zaidi ya Wayahu nakula kwa raha zangu [emoji39] lazima tukubaliane kutokubaliana [emoji106] sio kila leo unarudia hoja hiyo hiyo kama azana [emoji15] [emoji53][emoji12] kama huna hoja nyingine jidunge ndoba usepe dogo [emoji15] [emoji12]
Yesu kazaliwa Israeli nchi ambayo hapo mwanzo Mungu wako aliwaua wenyeji wa maeneo hayo ili adhulumu nchi yao ahahahaahahhhahaaahahahahahahahaha hapo vip au Yule Mungu wa Musa haumtakihujui lugha imani ya Wafuasi wa Yesu [emoji12] funga bakuli lako [emoji53]
Kijana za kuambiwa changanya na zako aahhahhhhahhahaahahaahhaajjaj kila mtu atalipwa kwa MATENDO yake wala hutodhulumiwa hii ndio kanuniKwahiyo ndo maana Allah aka Muhammad akasema kuwa hata ufanye meema vipi maamuzi ya kuingia Mbinguni ni ya Allah?
Ukiambiwa usimulie jambo fulani hupaswi kuongeza yako , itakuwa sio masumilizi tena ni mtazamo wako hata hili ulijuiNi kwa sababu huyo Mungu mwenyewe ni ngano.
Unaweza kutaja shule aliesoma bwana Mkubwa wako?Unajua Shida yao kuu, Bwana Kiongozi alikua hajasoma shule yoyote.
wacha malalamiko leta hoja mezani, unajua maana ya kuhadithia jambo , kama Nyerere alioa mkenya ni kosa kusema ameoa mganda , vinginevyo unahadithia habari za mtu mwengine na sio Nyerere , sasa unashangaa vip kwa Dhul Qarnaini ndio aliliona kwa upeo wake wa macho yake , sio Mungu ndio aliliona , rejea maandiko wacha blah blahNa
Na kama jambo hilo ni uongo basi kila kilicjoandikwa humo ni uongo mtakatifu.wametudanganya sana na mavitabu yao.
Ahahhhahhaahaahhahhaa kukaa ndani maana yake nini , mafunzo yake uyashike na uyatii , kama unafanya maovu wala hautende mema utakaaje kwa Yesu? bado unarudi pale pale kila mtu atalipwa kwa ATENDALO.
Jeremiah 17:9-10
[9] MOYO huwa mdanganyifu kuliko vitu vyote, una ugonjwa wa kufisha; nani awezaye kuujua?
[10]. Mimi, BWANA, nauchunguza MOYO, navijaribu viuno, hata kumpa kila mtu kiasi cha njia zake, kiasi cha matunda ya matendo yake.
NAYE YESU ANASEMA;
John 15:4-5
[4]. Kaeni ndani yangu, nami ndani yenu. Kama vile tawi lisivyoweza kuzaa peke yake, lisipokaa ndani ya mzabibu; kadhalika nanyi, msipokaa NDANI YANGU.
[5]. Mimi ni mzabibu; ninyi ni matawi, akaaye ndani yangu nami ndani yake, huyo huzaa sana; maana PASIPO MIMI ninyi hamwezi kufanya neno lo lote.