Waislamu hawana wanazuoni Kuna walimu wa karateHuyo rafiki yako kama alikuona mbaya ni kwa sababu hafahamu mambo mengi.Hili la Jua ni cha mtoto.Ninawaomba wanazuoni wa kiislamu wajipange sawa sawa.Kuna hoja tunaomba majibu yake yasiyoacha shaka.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mzee baba muhamadi akili zake anazijua mwenyeweWewe unasema mimi napotosha.Sawa unaweza kuniambia Muhammad alimaanisha nini kusema kwamba Mungu alimuambia kuwa maziwa ya Ng'ombe hutokea katikati ya Mavi na damu yake?
Hhh uko vzr sana mkuu.Unajuaje kwamba mimi ndiye nitakayejifunza na si kwamba mimi ndiye nitakayefunza?
Na kama mjadala mzima huu wa hapa unazungumza habari za Mungu, itakuwaje swali linalohoji uwepo wa huyo Mungu lihitaji uzi tofauti?
Can you chew gum and walk?
Umeshindwa kuthibitisha Mungu yupo.
Kwa sababu hayupo.
Bora hiyo kupatwa kwa mwezi mpaka wanasali kabisa.... Mohammed is a con artist
Hamjui chochote hapo ndo unaleta uongo wako sayansi inaprove watu wote ni waongoHalafu sio kuswali tu,sisi tunajua mpaka terehe za lini mwezi unapatwa na lini jua linapatwa. Huwa hatungojei tupewe taarifa na idara ya hali ya hewa.
Kwanza tunasali kwa kumtii mtume wa Allah aliyejuu kwani hivyo ndivyo alivyotufundisha kwamba pakipatwa mwezi au jua basi tukimbilie misikitini kwenda kusali,kuomba msamaha kwa Allah atukinge na atunusuru,kwani kwa tukio hilo huweza kutokea maafa.
Kwa ufupi kwetu sisi Sayansi inafata Qur'an na katu Qur'an haifati Sayansi.
Quran inasema Mungu kawafunga watu fulani macho na masikio na kawafanya mioyo yao iwe migumu wasimjue.Halafu sio kuswali tu,sisi tunajua mpaka terehe za lini mwezi unapatwa na lini jua linapatwa. Huwa hatungojei tupewe taarifa na idara ya hali ya hewa.
Kwanza tunasali kwa kumtii mtume wa Allah aliyejuu kwani hivyo ndivyo alivyotufundisha kwamba pakipatwa mwezi au jua basi tukimbilie misikitini kwenda kusali,kuomba msamaha kwa Allah atukinge na atunusuru,kwani kwa tukio hilo huweza kutokea maafa.
Kwa ufupi kwetu sisi Sayansi inafata Qur'an na katu Qur'an haifati Sayansi.
Mkuu ni lazima ujue tofauti kati ya Mungu wa Waislamu ambaye ni Allah na BWANA MUNGU wa Wakristo. Kuna tofauti kubwa sana na tofauti hiyo ni mafundisho yao.ni kwa nini hadi sasa aya hiyo iko imesalia katika Kurani?Je,ni nani anasema uongo kati ya Mungu na wanasayansi juu ya suala la Jua?
Sayansi haijawahi kufuata kuran na kamwe haitafuata kuran sheria moja ya sayansi ni kuwa hukana kitu 100% correctHalafu sio kuswali tu,sisi tunajua mpaka terehe za lini mwezi unapatwa na lini jua linapatwa. Huwa hatungojei tupewe taarifa na idara ya hali ya hewa.
Kwanza tunasali kwa kumtii mtume wa Allah aliyejuu kwani hivyo ndivyo alivyotufundisha kwamba pakipatwa mwezi au jua basi tukimbilie misikitini kwenda kusali,kuomba msamaha kwa Allah atukinge na atunusuru,kwani kwa tukio hilo huweza kutokea maafa.
Kwa ufupi kwetu sisi Sayansi inafata Qur'an na katu Qur'an haifati Sayansi.
Lakini wewe ni muumini wa science na sio muelewa, kwani hizo fact ambazo mimi sizioni na science inataka kuona, nimezigomea kwani ni nadharia tu na fiction tupu. Nani kaiona black hole? Nani kaliona dunia duara? Uliwahi kuiona dunia ikizunguka jua na kujizungusha yenyewe? Bing bang Je? Lini umeliona jua limesimama?Tatizo umeanza kwa kuandika "Science niliiamini.."
Mpaka hapo hilo ninkosa kubwa linaloonesha ulikuwa unafuatilia kitu usichokielewa.
Science si ya kuamini. Ni ya kuelewa.
Kwa hiyo Allah naye hakujua kwamba jua halizami na kuchomoza kama linavyoonekana ?
Allah alishindwa kumpa mtume periodic table yote kwenye Quran watu wajifunze kemia yote kutoka kwenye Quran?
Kwa nini Allah aliishusha Quran kwa Waarabu kwa Kiarabu na hakuweka habari zake kwenye DNA za watu wote wamjue moja kwa moja?
Alishindwa kufanya hivyo? Kama alishindwa huyo ni Mungu muweza yote kweli? Kama hakushindwa, kwa nini hakufanya hivyo?
Hiyo Mungu unayemkubali yupo uliwahi kumuona?Lakini wewe ni muumini wa science na sio muelewa, kwani hizo fact ambazo mimi sizioni na science inataka kuona, nimezigomea kwani ni nadharia tu na fiction tupu. Nani kaiona black hole? Nani kaliona dunia duara? Uliwahi kuiona dunia ikizunguka jua na kujizungusha yenyewe? Bing bang Je? Lini umeliona jua limesimama?
Hayo na mengine mengi ndio yakufanyayo uwe muamini wa hadithi tamu za science na kuelewa.
Sayansi haijawahi kufuata kuran na kamwe haitafuata kuran sheria moja ya sayansi ni kuwa hukana kitu 100% correct
Hujawahi kuweza kuthibitisha Mungu yupo kwa nama isiyojipinga kimantiki.Sijawahi kukutana na mtu mwenye hoja za kitoto kama wewe. Huu ugonjwa utakuw umeurithi kwa Richard Dawkins.
Kila siku huwa nakwambia kiongozi uwe unasoma hoja za watu kwanza uzielewe kisha ndio uchengie. Sasa hapo ona unavyojidhalilisha.
Quran inasema Mungu kawafunga watu fulani macho na masikio na kawafanya mioyo yao iwe migumu wasimjue.
Hata msisumbuke nao hao.
Halafu atawahukumu kwa kuwa hawajamjua.
Sasa huyu Allah Mungu gani anazuia watu kumjua, halafu anawahukumu kwa sababu hawajamjua?
Hili jambo linaingiaje akilini?
Kiungo ubongo kwenye mwili wako ni kufikiri kisha kukiandika hicho unacho kifikira,watu wa kale walifikiri na kuandika na hata hao watu wa sasa pia hufikiri na kuandika,sisi binaadam hatuwez kukwepa kufikiri kisha na kuandika tokea dunia hii kuumbwa na ndio maana ukaona hayo ya 4GUmeongea kitu kinachoweza kuwa verified na astronomical spectroscopy.
Astronomical spectroscopy - Wikipedia
Kuona kizazi cha leo bado kinaamini hiyo mivitabu ya dini iliyoandikwa katika zama za ujinga inayosema jua linazama kwenye tope ni jambo la fedheha kubwa.
Watu wa zamani naweza kuwasamehe hawakuwa na sayansi ya kujua mambo. Habari zilikuwa ngumu kupatikana. Hata kujua kusoma watu walikuwa hawajui. Vitabu vilikuwa anasa vinaandikwa kwa mkono.
Leo hii watu tunatembea na internet mkononi kwenye 4G networks halafu watu bado wanaamini hizi habari za Biblia na Quran bado?
Kwa kisa gani?
Hakuna mtu aliyeweza kuthibitisha Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, aliyeumba ulimwengu, yupo. Hakuna aliyeweza kuthibitisha hilo kwa namna isiyojipinga kimantiki.Unajua shida n nini.
Haya maswal mleta mada nae wote tunavurugana tu.
Haya maswali yaliulizwa na kujibiwa karne za zaman sana kama ww n mfatiliaji na msomaji mzur wa mambo ya kidin.
Kina pilato na mafilisofa wote walikuwa na arguent zao
Wakaja wana sayans na argument zao na kila kitu miaka ming sana iliopita.
Watu waka fund research kwenye kutafta majib ya haya maswal years an years. Kitu ambacho hamna mwenye uwezo apa wa kutoa ata million moja kufund research ya maswali anayo yauliza hapa.
Sasa hapa hatuwez kupata majib.
Tunachoshana tu
Ww mtoa mada na conf zako nenda kasome vzr habar zote za haya mambo yashajibiwa kwenye research za kina pilato philosofers great thonkers na wanasayans years and years.
TUSI CHOSHANE KUTYPE VITU VILIVYOPO BWANA.
Hujawahi kuweza kuthibitisha Mungu yupo kwa nama isiyojipinga kimantiki.
Kwa sababu hayupo.
Kama unabisha, thibitisha yupo.
Aaa wap.mkuu we masome reasearch za zaman za miaka hiyo wakat haya maswal yanaulizwa.Hakuna mtu aliyeweza kuthibitisha Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, aliyeumba ulimwengu, yupo. Hakuna aliyeweza kuthibitisha hilo kwa namna isiyojipinga kimantiki.
Kama unabisha, lete uthibitisho hapa.
Sasa kama mtu anaweza kufikiri.Kiungo ubongo kwenye mwili wako ni kufikiri kisha kukiandika hicho unacho kifikira,watu wa kale walifikiri na kuandika na hata hao watu wa sasa pia hufikiri na kuandika,sisi binaadam hatuwez kukwepa kufikiri kisha na kuandika tokea dunia hii kuumbwa na ndio maana ukaona hayo ya 4G