Umeongea kitu kinachoweza kuwa verified na astronomical spectroscopy.
Astronomical spectroscopy - Wikipedia
Kuona kizazi cha leo bado kinaamini hiyo mivitabu ya dini iliyoandikwa katika zama za ujinga inayosema jua linazama kwenye tope ni jambo la fedheha kubwa.
Watu wa zamani naweza kuwasamehe hawakuwa na sayansi ya kujua mambo. Habari zilikuwa ngumu kupatikana. Hata kujua kusoma watu walikuwa hawajui. Vitabu vilikuwa anasa vinaandikwa kwa mkono.
Leo hii watu tunatembea na internet mkononi kwenye 4G networks halafu watu bado wanaamini hizi habari za Biblia na Quran bado?
Kwa kisa gani?