Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
hili liko nje ya mada usiku lakn majibu yake yapo nachelea itakuwa fujo anzisha uzi tuje huko tukupe majibu yako mujarabi
wala halipo nje ya mada ", mnyumbuliko wa huu mdahalo " unabaadhi ya statements zinazowashangaa " watu wanaoamini ", maandiko yeny contradiction" .. so namimi ",nimejikuta "nawashangaa hao " wanaoamini " hayo maandiko yanayojipinga" kiasi ambacho kimepelekea " niamini kuwa "",BONGO ZAO ZITAKUWA ZIMECHACHA" so still nipo kwenye mada "UPO ??
 


Kwanza sio "haya" ni "aya". Naona umeanza kuelewa taratibu.
 
Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote angekuwepo, kungekuwa hakuna tatizo la tafsiri mbaya kwa makusudi au bahati mbaya.

Kuwepo tatizo hilo ni ushahidi Mungu hayupo.
Kumbe Una ushahidi kabisa kuwa Mungu hayupo na ushahidi wako ni kuwepo kwa tatizo la tafsiri,kwa maana hiyo umeshamaliza huu ubishani wa Mungu yupo au hayupo kwa sababu umeweza kutoa ushahidi wa kutokuwepo kwake.

Kwa maana hiyo huu ubishani ulitakiwa uishe kwa sababu ushahidi umeshatolewa wa kutokuwepo Mungu ambao ni kuwepo tatizo la tafsiri.
 
Mtoa mada alitaka kujua jua linatuaje kwenye matope nyie sasa nyie mnarukaruka tu mara mungu ayupo hii inahusika vip na mada?
 
Kwa hiyo Yoshua alisimamisha jua au alisimamisha dunia? Na kama alisimamisha jua jee kwanini MUNGU hakumwambia nabii wake kwambo kilichosimama sio jua bali ni Dunia?
hahaaaa
 
Jinsi ya kimjua nabii wa uongo kwa mujibu wa Biblia ni pale atakaposema jambo na jambo hilo lisiwepo au lisitokee. Hapa ni kazi kwenu kupima maana nyie si hayawani Mungu kakupeni akili za kutambua/utambuzi.
 
Ndio akili yake ilipoishia
 
kituuuuu "" hahaaaaaaaa eti uhuru my foot "" huyo mtoa comments",, yeye hajawahi kutamani kuwa mtoto wa Jeff bezos " kwanini asingeutumia uhuru wake aliopewa " na mungu ",ili azaliwe ktika familiar moja na huyo mtu tajiri"",..
 
Aisee! punguza kujichekesha chekesha rafiki yangu,maana umekuwa ukijichekesha karibu kwenye kila comment yako.
naona unanisaidia hela ya bundle "" tafadhali Sana nchi yetu " hairuhusu homosexual " usitake kutuharibia uzi "" mashoga mnashida Sana " ...

hahaaa", tangu mwanzo wa huu uzi " hakuna mahali ambapo nimemkashifu mtu ", so chunga Sana ...
Moderator
 
Aisee! punguza kujichekesha chekesha rafiki yangu,maana umekuwa ukijichekesha karibu kwenye kila comment yako,hivi hao unaoongea nao huko inakuaje?
halafu Mimi sinaga urafiki na machoko
 
Mtoa mada alitaka kujua jua linatuaje kwenye matope nyie sasa nyie mnarukaruka tu mara mungu ayupo hii inahusika vip na mada?
tayari umeshajibu swali lamtoa mada ",au nawewe waruka ruka tu " MIMI mwenyewe "pia nipo upande WA mtoa mada",,nataka kujua ", hayo matope yapo wapi angani ah hapa duniani "". hebu fuatilia comments za page ya kwanza ", nimeshauliza sana haya maswali" sijakuona ukijibu "", though nimekinai kurudia rudia kuuliza swali hilo hilo moja aiseee
 
naona unanisaidia hela ya bundle "" tafadhali Sana nchi yetu " hairuhusu homosexual " usitake kutuharibia uzi "" mashoga mnashida Sana " ...

hahaaa", tangu mwanzo wa huu uzi " hakuna mahali ambapo nimemkashifu mtu ", so chunga Sana ...
Moderator
Kwahiyo mie kusema hivyo ndio nimekukashifu? na kama kukashifu hakuruhusiwi humu mbona wewe unakshifu imani za watu?
 
watu wengi wanakapo " mtetea huyo mungu "wao ",wanasahau ' kuhusu msamiati Wa maneno haya ambayo " yameandikwa kwenye vitabu vya dini " Kama moja ya sifa zake ambazo " anazo " .. MUNGU MUWEZA WA YOTE " MJUZI WA YOTE "MWENYE UPENDO KWA WOTE"" ...

shangaa sasa mungu mwenye upendo kwa wote " anawaacha watu wafe kwa njaa huko "somalia " kiasi kwamba Kama wasipokumbukwa na mashirika ya misaada duniani ", basi uhai wao unazidi kuwa mashakani maradufu "" wakati huo huo kuna watu wansoishi nchini darusallam "wanakula mpaka wanasazA"" .. HUO UPENDO WAKE KWA WOTE UKO WAPI HAPO ??
 
Kwahiyo mie kusema hivyo ndio nimekukashifu? na kama kukashifu hakuruhusiwi humu mbona wewe unakshifu imani za watu?
hebu tujadili mada iliyopo mezani tafadhali " kama kuna ambacho kinakukera toka kwangu na umeshindwa ", kukivumilia PM yangu haijafungwa "ruksa kuni pm nakunikosoa "", hivyo ndivyo ambavyo watu makini hufanya "",KARIBU
 
Yesu ni baada ya kufa! Ila Mud akiwa hai alienda mbinguni na kurudi.
ulimuona alivyoenda kuzimu,ulimuona alivyotembea kwenye maji?

yote haya tumeandikiwa kwenye vitabu na tuna viamini kabisa,kwa mungu hakishidikani kitu mkuu

na yesu tunaaambia alipaa mbinguni,je alipaaje kwenda huko kupita kwenye ma Galaxy yote hayo hata angeenda kwa speed ya light mpaka leo angekua hata theluthi ya milky way galaxy hajaimaliza

kwa hiyo hapa ukiangalia yote haya ni miujiza tu na ni kwa msaada wa mungu hao mitume ndio wamefika huko au wametenda hayo na si vinginevyo ila kwa upeo wa binadamu hilo tunaona haliwezekani kabisa

Yesu kapaa takribani miaka elfu mbili iliyopita ina maana at a speed of light,ambayo matter yoyote haiwezi kuzidi hapa ina maana mpaka sasa hata kwenye nyota ya Betelgeuse hatakua hajafika bado na voyager ingemuona basi
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…