wala halipo nje ya mada ", mnyumbuliko wa huu mdahalo " unabaadhi ya statements zinazowashangaa " watu wanaoamini ", maandiko yeny contradiction" .. so namimi ",nimejikuta "nawashangaa hao " wanaoamini " hayo maandiko yanayojipinga" kiasi ambacho kimepelekea " niamini kuwa "",BONGO ZAO ZITAKUWA ZIMECHACHA" so still nipo kwenye mada "UPO ??hili liko nje ya mada usiku lakn majibu yake yapo nachelea itakuwa fujo anzisha uzi tuje huko tukupe majibu yako mujarabi
hahaaaa sasa mbona hilo. kila mtu huw analiona " lakini haimaanishi " kuwa jua huw linazama kweli kwenye matope" hivi kweli jambo dogo kama hilo pia muhhamad alikuwa anasubiri mungu amwambie" wakati iko wazi kwamba kila mtu aliyeishi duniani huwa anaona hivyo ", sio huyo dhur qarnain tu ambaye alikuwa anaona hivyo ",hata mababu' na mabibi zake "walikuwa "wakiona hivyo pia",...so palikuwa na mantiki ipi " ya haya iyo ' kuzungumzia " kitu " rahisi kama hicho" nakukifanya kuwa "kama kitu special vile"" Mimi nilidhani" kwamba", muhhamad itakuwa aliambiwa " na mungu" kuwa "sabbu inayofanya "watu waone vile " nikutokana na mwisho" wa upeo wa macho yetu" lakini kiuhalisia " nikwamba" Jua halizami", ndio maana wakati ambao " baadhi ya binaadamu "ambao huwa wanahisi limezama " basii " kwenye nchi nyingine huwa wanalipata " Kama tulivyokuwa tunalipata sisi" ....MPAKA MUDA HUU SIJAONA MANTIK YA HIYO AYA " KUWA DHURQARNAIN ALIONA JUA LINAZAMA KWENYE TOPE JEUSI "",wakati ni ishara ambayo kila mtu " huwa anaiona " pindi anapokuwa anekaa "ziwani/baharini
hahaaaaha ha ha ha ha ha ha kwi kwi kwi kwi.
kuna watu wana akili uchwara hadi Jf dah,siamini macho yangu.
ila sasa lakini maana mazuzu hata chuo kikuu yapo
Kumbe Una ushahidi kabisa kuwa Mungu hayupo na ushahidi wako ni kuwepo kwa tatizo la tafsiri,kwa maana hiyo umeshamaliza huu ubishani wa Mungu yupo au hayupo kwa sababu umeweza kutoa ushahidi wa kutokuwepo kwake.Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote angekuwepo, kungekuwa hakuna tatizo la tafsiri mbaya kwa makusudi au bahati mbaya.
Kuwepo tatizo hilo ni ushahidi Mungu hayupo.
Mtoa mada alitaka kujua jua linatuaje kwenye matope nyie sasa nyie mnarukaruka tu mara mungu ayupo hii inahusika vip na mada?wala halipo nje ya mada ", mnyumbuliko wa huu mdahalo " unabaadhi ya statements zinazowashangaa " watu wanaoamini ", maandiko yeny contradiction" .. so namimi ",nimejikuta "nawashangaa hao " wanaoamini " hayo maandiko yanayojipinga" kiasi ambacho kimepelekea " niamini kuwa "",BONGO ZAO ZITAKUWA ZIMECHACHA" so still nipo kwenye mada "UPO ??
hahaaaaKwa hiyo Yoshua alisimamisha jua au alisimamisha dunia? Na kama alisimamisha jua jee kwanini MUNGU hakumwambia nabii wake kwambo kilichosimama sio jua bali ni Dunia?
Aisee! punguza kujichekesha chekesha rafiki yangu,maana umekuwa ukijichekesha karibu kwenye kila comment yako,hivi hao unaoongea nao huko inakuaje?hahaaaa
Ndio akili yake ilipoishiaKumbe Una ushahidi kabisa kuwa Mungu hayupo na ushahidi wako ni kuwepo kwa tatizo la tafsiri,kwa maana hiyo umeshamaliza huu ubishani wa Mungu yupo au hayupo kwa sababu umeweza kutoa ushahidi wa kutokuwepo kwake.
Kwa maana hiyo huu ubishani ulitakiwa uishe kwa sababu ushahidi umeshatolewa wa kutokuwepo Mungu ambao ni kuwepo tatizo la tafsiri.
kituuuuu "" hahaaaaaaaa eti uhuru my foot "" huyo mtoa comments",, yeye hajawahi kutamani kuwa mtoto wa Jeff bezos " kwanini asingeutumia uhuru wake aliopewa " na mungu ",ili azaliwe ktika familiar moja na huyo mtu tajiri"",..Kwamba aliyeniumba kaniacha huru si kweli.
Watu hata uhuru wa kuchagua watazaliwa nchi gani hawana.
Na wanaozaliwa Saudi Arabia kwa wazazi wa Saudi Arabia karibu asilimia mia wanakuwa Waislamu.
Na wanaozaliwa Nepal kwa wazazi wa Nepal karibu asilimia mia wanakuwa Buddhists.
Maana yake pahali ambapo unazaliwa na wazazi wanaokuzaa kwa watu wengi ndiyo vigezo vya dini zao.
Sasa kama mtu hawezi kuchagua atakapozaliwa, utasemaje ana uhuru?
Utasemaje nimemkataa muumba ambaye hata huwezi kuthibitusha kwamba yupo?
Kama yupo, kwa ninibkajiweka uwepo wake uwe na utata sana?
Mungu ambaye ana uwezo wote ea kujiweka wazi akijificha ficha awe na utata tusimwelewe, halafu tusipomwelewa na kusema hayupo, hapo sisi tutakuwa tumemkataa yeye au yeye katukataa sisi?
naona unanisaidia hela ya bundle "" tafadhali Sana nchi yetu " hairuhusu homosexual " usitake kutuharibia uzi "" mashoga mnashida Sana " ...Aisee! punguza kujichekesha chekesha rafiki yangu,maana umekuwa ukijichekesha karibu kwenye kila comment yako.
halafu Mimi sinaga urafiki na machokoAisee! punguza kujichekesha chekesha rafiki yangu,maana umekuwa ukijichekesha karibu kwenye kila comment yako,hivi hao unaoongea nao huko inakuaje?
tayari umeshajibu swali lamtoa mada ",au nawewe waruka ruka tu " MIMI mwenyewe "pia nipo upande WA mtoa mada",,nataka kujua ", hayo matope yapo wapi angani ah hapa duniani "". hebu fuatilia comments za page ya kwanza ", nimeshauliza sana haya maswali" sijakuona ukijibu "", though nimekinai kurudia rudia kuuliza swali hilo hilo moja aiseeeMtoa mada alitaka kujua jua linatuaje kwenye matope nyie sasa nyie mnarukaruka tu mara mungu ayupo hii inahusika vip na mada?
Yesu ni baada ya kufa! Ila Mud akiwa hai alienda mbinguni na kurudi.ila ulimuelewa yesu aliyeenda kuzimu na siku ya tatu akarudi?
Kwahiyo mie kusema hivyo ndio nimekukashifu? na kama kukashifu hakuruhusiwi humu mbona wewe unakshifu imani za watu?naona unanisaidia hela ya bundle "" tafadhali Sana nchi yetu " hairuhusu homosexual " usitake kutuharibia uzi "" mashoga mnashida Sana " ...
hahaaa", tangu mwanzo wa huu uzi " hakuna mahali ambapo nimemkashifu mtu ", so chunga Sana ...
Moderator
watu wengi wanakapo " mtetea huyo mungu "wao ",wanasahau ' kuhusu msamiati Wa maneno haya ambayo " yameandikwa kwenye vitabu vya dini " Kama moja ya sifa zake ambazo " anazo " .. MUNGU MUWEZA WA YOTE " MJUZI WA YOTE "MWENYE UPENDO KWA WOTE"" ...Unaelewa kwamba sikatai sheria. Nakataa Mungu kujipinga nature zake za msingi?
Unaelewa kwamba dhana ya Mungu anayejipinga nature zake za msingi pia inavunja sheria ya logical consistency?
Unaelewa kwamba ukishasema Mungu ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote hakuna sababu yoyote iliyo na logical consistency na natures zake hizo ya Mungu huyo kuumba dunia anbayo mabaya yoyote yanawezekana?
Unaelewa kwamba kuwezekana kuwepo kwa mabaya yoyote katika ulimwengu huu kunaonesha Mungu huyo hayupo?
Halafu hayo ya uchoko unaleta wewe,yani kuambiwa unacheka cheka tu unaita wenzio machoko.halafu Mimi sinaga urafiki na machoko
hebu tujadili mada iliyopo mezani tafadhali " kama kuna ambacho kinakukera toka kwangu na umeshindwa ", kukivumilia PM yangu haijafungwa "ruksa kuni pm nakunikosoa "", hivyo ndivyo ambavyo watu makini hufanya "",KARIBUKwahiyo mie kusema hivyo ndio nimekukashifu? na kama kukashifu hakuruhusiwi humu mbona wewe unakshifu imani za watu?
ulimuona alivyoenda kuzimu,ulimuona alivyotembea kwenye maji?Yesu ni baada ya kufa! Ila Mud akiwa hai alienda mbinguni na kurudi.