Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
hebu tujadili mada iliyopo mezani tafadhali " kama kuna ambacho kinakukera toka kwangu na umeshindwa ", kukivumilia PM yangu haijafungwa "ruksa kuni pm nakunikosoa "", hivyo ndivyo ambavyo watu makini hufanya "",KARIBU
Ambacho nimeshindwa kuvumilia nimeshakisema ni kuhusu hiyo tabia ya kujichekesha.
 
Nimekujibu hicho ni kisa anachosimuliwa mtume kuhusu dhul qarnaini aliyoyafanya na aliyoyaona kwa upeo wa macho ya dhul qarnaini kipi ujaelewa sasa hapo
 
Hakuna kitu Quran inajua ni hadithi tu hata biblia kunavitu havipo sahihi kabisa ila bora biblia ilijikita kwenye Imani na sio sience Sasa nyinyi waislamu mnataka sema kila kitu kinachofanyika kwenye hii Dunia cha kisayansi eti Quran ilishatamka.
 
Ndio tatizo la wakristo humu ndani yesu kupaa sawa akili yao inakubali lakn muhamadi kupaa sio sawa akili yao aikubali ni kazi kwelikweli
 
Baadhi kama siyo mengi ya maandiko ya kwenye vitabu vya dini yanaelezea mambo au vitu ambavyo sisi wanadamu kwa uwezo na utashi inatubidi tuvifanyie utafiti na kuvitafutia majibu...

Ni sawa na chuo pale unapopewa mwanga au kianzio cha jambo fulani alafu unaambiwa kafanye research au iwe assignment...


Cc: mahondaw
 
hahaaa halafu akajiwekea defense mechanism kwamba mtu yeyote atakaye mpinga mtume basi amelaaniwa " means hata ukiona amekwambia uwongo uukubali tu '' Kama huo uwongo wa jua kuzama kwenye matope
Kuna kitabu nilisoma hahaha anakwambia mtu alipoanza akawaambia watu nyie hamjui chochote halafu yeye anajua kila kitu Sasa ndo unajiuliza. Alijuaje kila kitu hata Habari za sperm tu alikua hajui wala genomes n genes
 
Hakuna kitu Quran inajua ni hadithi tu hata biblia kunavitu havipo sahihi kabisa ila bora biblia ilijikita kwenye Imani na sio sience Sasa nyinyi waislamu mnataka sema kila kitu kinachofanyika kwenye hii Dunia cha kisayansi eti Quran ilishatamka.
Umeona sasa Quran aijaandika vitu vingi mfano asili ya muhindi au mjapani quran aijaandika ww ujaelewa quran
 
Wewe umechanganyikiwa
 
Kuna kitabu nilisoma hahaha anakwambia mtu alipoanza akawaambia watu nyie hamjui chochote halafu yeye anajua kila kitu Sasa ndo unajiuliza. Alijuaje kila kitu hata Habari za sperm tu alikua hajui wala genomes n genes
Nyoosha maelezo
 


 
aiseeeee
 
Ina lillah wa Ina lillah rajuun
Mtume Mohammad s.a.w anasema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.
Ndugu- Kiranga ukihoji sana utakufuru na kuingia kwenye dhambi ambayo iwezo unao wa kuikwepa
There is no need of apply "Complex parception" towards God..

Mungu ibarik TANZANIA...
 

Usipotoshe maana halisi ya Aya hizo za Quraan ambayo ni maelezo kuhusu kisa cha vijana wawili walio lala ndani ya cave na kuamka baada ya generation mpya kuzaliwa mahali hapo.
Unajaribu kupotosha maneno ya Allah ili kujipa tamaa kuwa uko sahihi na ukafiri wako.
Jua kuzama , kutua au kuchomoza hotokea magharibi na mashariki ya dunia. Hili limewekwa wazi na Quraan tukufu.
Kama hujui maana ya lugha jifundishe lakini usipotoshe kwa kujifurahisha kupotoka.
Mimi hapa ninapokaa jua huzama nyuma ya nyumba yangu na linainhia baharini ! Na huchomoza Alfajiri upande wa mashariki kutoka kwenye magorofa! Jee maana yake hilo jua linatoka kwenye magorofa na kutokomea baharini !
Kusema hivo ni kujaribu kuonesha upande gani jua lina zama na kutua
Elimu haina kikwazo jaribu kujifunza upate kuelimika . Ujinga ni wa kujitakia hasa unapokubali za kuambiwa tu bila na kuchanganya na za kwako
Tafsiri kwa kiswahili kinacholekea ya aya hizo uliozitaja

85. Kwa kutumia njia hizo aliweza kueneza madaraka yake katika ardhi, na akafuata njia mpaka akafika huko magharibi kunako kuchwa jua.

* 86. Akenda mpaka akafika pahala mbali huko upande wa magharibi, akalikuta jua kwa linavyo onekana kwa macho kama kwamba linazama pahala penye chemchem ya maji ya moto na matope meusi. Na karibu ya chemchem hii Dhul- Qarnaini aliwakuta watu makafiri. Mwenyezi Mungu akamtia moyoni mwake afanye mojapo ya mambo mawili: Ama awaite kwenye Imani, na hili kwa hakika ni jambo zuri; au awapige vita ikiwa hawakuitikia wito wa Imani.


* 87. Dhul-Qarnaini akawatangazia: Katika wao aliye jidhulumu nafsi yake kwa kubakia katika ushirikina, basi amestahiki adhabu ya duniani kutokana naye, na kisha atarejea kwa Mola wake Mlezi. Naye atamuadhibu adhabu kali wasio ijua.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…