Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
Wanajukwaa:

Dunia yetu inaendelea kushika kasi katika suala la Sayansi na Tekinolojia.Kwa siku za hivi karibuni,wanasayansi wamegundua kuweza kutengeneza Moyo kwa kutumia stem cells,ikiwa ni hatua katika kuelekea kutengeneza moyo wa binadamu,hali ambayo itasaidia katika kukabiliana na matatizo ya Moyo yanayowakabili wanadamu,kwa kiasi kikubwa, yale ambayo uhusisha mwanadamu kupoteza maisha, kwa sababu tu Moyo wa mgonjwa husika hauna repair au hauwezi kubadilishwa.Miaka kama kumi hivi iliyopita,wanasayansi walikuwa wamefanikiwa kutengeneza Moyo wa panya kwa kutumia hizo stem cells.

Kumbe,kwa tafiti mbalimbali zinazoendelea kufanyika sehemu mbalimbali duniani,ama ardhini au angani,zote zinalenga katika kuboresha maisha ya mwanadamu na hata kuongeza siku za kuishi kwake.Historia inao watu wengi sana ambao wamejihusisha na Sayansi kwa nyakati tofuati tofauti.

Leo,ninataka tumuangalie Mtume Muhammad kwa namna alivyoweza kujihusisha na suala la Sayansi kwa kile kinachosemwa ni kwa msaada wa Mungu.Kurani neno la Mungu;maneno ambayo Mungu akiisha kuyaandika huko Mbinguni, alikuwa anampatia Malaika Gabriel na malaika Gabriel akampatia Mtume Muhammad katika Nyakati tofauti tofauti na Muhammad kuyaweka katika maandishi,lakini kwa namna ya pekee,kwa mara ya kwanza kabisa ikiwa ni katika Pango lililoko katika Mlima Hira, Jabal an-Nour,huko Makka,ambako inadaiwa Mtume Muhammad alipokea ufunuo huo, kwa matatizo sana kwa sababu ya kutojua kwake kusoma na kuandika,Malaika Gabrieli alijikuta anamkaba.

Kwa njia ya ufunuo wa Kurani,tunafunuliwa mambo mengi ya Kisayansi ambamo Muhammad anatujuza jinsi mambo yalivyo.Kwa leo, ninawaletea jambo moja tu.Nalo ni juu ya namna Jua linavyokuchwa na kadri Mungu atakavyotujalia tutayaangazia na mambo mengine.


Kurani kupitia Sura al-Kahf (18: 83-86), inaeleza kwamba Jua huchwea katika chemchemu ya matope meusi mazito(dark Muddy spring):

“83-Na wanakuuliza khabari za Dhul- Qarnaini. Waambie: Nitakusimulieni baadhi ya hadithi yake.84 -Sisi tulimtilia nguvu katika ardhi na tukampa njia za kila kitu.85 - Basi akaifuata njia. 86 - Hata alipo fika machwea-jua aliliona linatua katika chemchem yenye matope meusi. Na hapo akawakuta watu. Tukasema: Ewe Dhul-Qarnaini! Ama uwaadhibu au watwae kwa wema.”

Wakati Muhammad akiwa ametupasha ukweli huo ambao aliandikiwa na Mungu, Ukweli wa kisayansi umebainisha kwamba Jua ni kubwa zaidi na lenye joto kali kuliko dunia.Na ikitokea kwamba Dunia inakaribiana na Jua,basi dunia itayeyuka kutokana na joto kubwa la Jua.

Ukweli mwingine,ambao pia Sayansi imetupatia ni kwamba Jua halitembei bali sayari mbalimbali ndio hulizunguka,ikiwemo Sayari yetu ya Dunia. Historia inaonyesha kwamba mtu wa kwanza kugusagusa habari za kuwa Jua lilikuwa halizunguki alikuwa ni Aristarchus (310-230KK).

Aristarchus alikuwa ni mwana-Astronomia wa Kigriki.
Yeye aliamini dunia ilikuwa katikati ya Mfumo wa Jua(Solar system) na sayari zingine (ikijumuishwa na nyota ambazo zilikuwa zimefungwa katika nafasi fulani) ndio zilizokuwa zikilizunguka Jua.

Hata hivyo, baadaye mwanasayansi,Aristarchus, alikuja kugundua kuwa sio dunia iliyokuwa katikati ya Mfumo wa Jua, bali ni Jua na hivi kwamba ni Dunia na sayari zingine ndizo zilikuwa zikilizunguka Jua.Ugunduzi wa namna hii ulipatikana miaka mingi sana (takribani karne tatu hivi) kabla hata ya Yesu Kristu kuzaliwa na karne tisa kabla ya Muhammad kuzaliwa.

Mwanasayansi mwingine pia aliyekuja na mtizamo tofuati na wa Muhammad (kwa kadri ya ufunuo kutoka kwa Mungu) ni Jean Buridan (1300-1359/61). Huyu) anafahamika kama Mwanafalsafa Mashuhuri sana katika Ufaransa.Buridan alikuwa Mwalimu katika Kitivo cha Sanaa cha Chuo Kikuu cha Paris kwa kupindi chote cha maisha yake ya kitaaluma akimakinika hasa hasa katika masuala ya Logiki (Logic) na kazi za mwanafalsafa Aristotle.

Ni Bridan aliyeanzisha wazo juu ya kiitwacho Copernican Revolution katika Ulaya.Hili ni fundisho lililoleta mwangaza kutoka kuamini kwamba dunia ilikuwa imesimama sehemu moja katika ulimwengu na kwamba Jua ndio lilikuwa linaizunguka dunia (Geocentrism) hadi kueleweka kwamba kumbe Jua ndilo limesimama wakati dunia na sayari zingine zikilizunguka (Heliocentrism).

Kumbe, sasa kwa uchache,kwa mawazo ya hao wanasayansi wawili,tunapata picha kwamba Muenendo wa Jua kuchomoza na kutua sio jambo lililoanza wakati wa Muhammad.Na kama suala la Sayansi ya Mfumo wa Jua lilianza mapema kabla ya Yesu na Muhammad kuzaliwa, yeye Muhammad alipopewa ufunuo na Mungu, hakuweza kujiuliza iwapo ufunuo huo wa Mungu inakuwaje unapingana na ukweli wa mambo?Katika kutafakari ufunuo huu wa Mungu kwa Muhammad, nimejikuta nina maswali yafuatayo,ambayo naomba yatuongoze katika kujadili suala hili.Ni muhimu kujadili kwa sababu pengine Dunia inatufundisha vitu ambavyo havipo.Hivi kweli Mungu anaweza kumueleza Muhammad mambo ya uongo?Maswali mengine ambayo bila shaka hata wewe unaweza kujiuliza ni haya:

1. Hiyo Chemchemi ya matope mazito na meusi iko hapa duniani?Na kama haipo hapa duniani iko angani? Na kama iko angani iko sehemu gani?


2. Huyo Dhul-Qarnaini alikuwa ni kiumbe wa namna gani huyo aliyepewa uwezo wa kuona Jua linavyotumbukia katika matope?


3. Pamoja na kwamba wakati wakati wa Muhammad, labda Sayansi ya kwamba Jua halizunguki, isipokuwa dunia ndio hulizunguka Jua, ilikuwa haijafika katika maeneo ya ardhi ya Arabia, bado hata vizazi vya zamani sana havikupata kuwa na uelewa kama huo wa Muhammad kuwa Jua lilikuwa linatua matope meusi! Je,ilikuwaje katika Vizazi
Mleta mada Amani iwe nawe.

Katika suratul Kahfi aya ulizozinukuu kuhusu Dhul Qarnayn na kuzama kwa jua kwenye Chemchem yenye matope meusi. Ili uweze kuielewa hiyo aya na Qur'an kwa ujumla wake kuna mambo inabidi uyafahamu. Ulichokinukuu wewe ni Fasiri INA maana kwa hali ile iliyoandikwa kwa Kiarabu umeipeleka kwa Kiswahili. Vilevile kuna tafasiri kwa maana kilichoandikwa kinaelezewa kwa undani ili upate mantiki nzima na uelewe kile kinachokusudiwa.

Tukirudi katika hiyo aya inaanza kwa "Wanakuuliza habari za Dhulqarnayn. Sema; kwa yakini nitawasomea katika hadithi yake".
Na wanakuuliza, kwa maana Mtume anaulizwa, ni akina nani wanauliza habari za Dhul- Qaryn? Hii hoja itajibu swali lako linalouliza ni nani huyu mtu, Dhul Qarnayn?

Maqurayshi wa Makkah waliambiwa na Wayahudi wa Madinah, wakamuulize Mtume maswali 3 na nia ni kutaka kupima kama kweli Muhammad ni Mtume ama laa. Maswali yalikuwa ni kuhusu Roho, kuhusu Dhul Qarnayn na ahlul kahf(watu wa mapangoni) ambayo imebeba jina la Sura. Kwa sababu hakuna hayo mambo anayeyajua isipokuwa ni mitume tu, na hizo habari za hayo maswali 3 yalikuwepo katika vitabu vya watoto wa Israel. Kuhusu Dhul Qarnayn katika Qur'an tumepewa habari yake kidogo tu kama aya inavyosema "kwa yakini nitawasomea katika( baadhi) hadithi yake. Huyu mtu, Dhul Qarnayn alikuwa ni mtumishi( Mfalme) aliyetawala na kueneza sheria ya Mungu. Alikuwa mshindi mkuu wa vita. Alisafiri yeye pamoja na jeshi lake kuelekea sehemu tatu(3) za Dunia, magharibi ya mbali ya Dunia, mashariki ya mbali ya Dunia na mwishoni kaskazini mwake mwa Dunia. Alikwenda upande wa magharibi na akashinda vita sana mpaka alipofika mahali akaona jua linatua ndani ya chemchem ya maji yaliyovurugika.

Aya inayoendelea inasema "bila shaka tulimwamrisha katika ardhi na tukampa njia za kupatia kila kitu", kwa maana mradi wake ni kila kitu kilichohitajiwa kwa kumalizia kazi yake Mungu alimpatia huo uwezo. Maneno haya, akaliona Jua linatua katika chemchem iliyovirugika, tafsiri yake ni hii; kwa maana mahali alipofika maji yake yalikuwa mapana sana yaani bahari, Hata inakuwa ukisimama pwani wakati wa magharibi jua linaonekana linatua ndani ya bahri. Ukiwa pwani ukiangalia kuzama kwa jua unaona kama linatua kwenye tope au chemchem iliyovurugika. Ndivyo Dhul Qarnayn alivyoona na ndivyo Qur'an inavyoelezea kama Dhul Qarnayn alivyoona na hiyo bahari kuzama kwa jua na akaona hiyo hali ni bahari Nyeusi iliyoko Asia minor.

Watu wanatafsiri Qur'an kwa kusoma maneno yaliyofasiriwa kwa lugha mama( Kiarabu) na kwenda lugha nyenginezo wakidhani kwamba tafsiri yake ndiyo IPO hivyo hivyo hapana, Qur'an ina somo kabisa LA tafsiri yake.

Kuhusu Jua tangu kale INA njia yake. Kwenye Qur'an suratul Anbiyaa aya 33 na Suratul Yaasin aya ya 38 zinaelezea Jua na Mwezi zina njia sake(orbits) zinazopitia. Na si kama baadhi ya watu wanajaribu kufananisha na Sura ya Al Kahfi kuhusu Dhul Qarnayn. Kuhusu jua ndilo linalozunguka badala ya Dunia hili ntakujibu baadae utanisamehe afya yangu imetetereka kidogo tangu Jana kwa hiyo sipo vizuri sana.
 
Kurani neno la Mungu;maneno ambayo Mungu akiisha kuyaandika huko Mbinguni, alikuwa anampatia Malaika Gabriel na malaika Gabriel akampatia Mtume Muhammad katika Nyakati tofauti tofauti na Muhammad kuyaweka katika maandishi, lakini kwa namna ya pekee, kwa mara ya kwanza kabisa ikiwa ni katika Pango lililoko katika Mlima Hira, Jabal an-Nour, huko Makka, ambako inadaiwa Mtume Muhammad alipokea ufunuo huo, kwa matatizo sana kwa sababu ya kutojua kwake kusoma na kuandika, Malaika Gabrieli alijikuta anamkaba.

Mkuu najaribu kujiuliza unatumia kichwa kipi hasa kuandika haya unayo yaandika? cha JUU au cha CHINI? tafadhali zikatia maeneo yenye wino mzito.

Sidhani kama unastahili kujibiwa kwenye hoja yoyote hapo juu




😀😀😱😀😀 hata mimi hapo sijamuelewa inamaana alikua anacopy kwenye kitabu alichokuwa anamletea malaika gabriel kilichokua ameandika mungu. ???
Aisee mara sijui akakabwa. 😀



Hebu ngoja kidogo tumsome enoch. Katika kitabu cha enoch.


XX.
Hence they took Enoch into the Seventh Heaven.

AND those two men lifted me up thence on to the seventh Heaven, and I saw there a very great light, and fiery troops of great archangels, incorporeal forces, and dominions, orders and governments, cherubim and seraphim, thrones and many-eyed ones, nine regiments, the Ioanit stations of light, and I became afraid, and began to tremble with great terror, and those men took me, and led me after them, and said to me:

2 'Have courage, Enoch, do not fear,' and showed me the Lord from afar, sitting on His very high throne. For what is there on the tenth heaven, since the Lord dwells here?

3 On the tenth heaven is God, in the Hebrew tongue he is called Aravat.

4 And all the heavenly troops would come and stand on the ten steps according to their rank, and would bow down to the Lord, and would again go to their places in joy and felicity, singing songs in the boundless light with small and tender voices, gloriously serving him.

XXI.
Of how the angels here left Enoch, at the end of the seventh Heaven, and went away from him unseen.

AND the cherubim and seraphim standing about the throne, the six-winged and many-eyed ones do not depart, standing before the Lord's face doing his will, and cover his whole throne, singing with gentle voice before the Lord's face: 'Holy, holy, holy, Lord Ruler of Sabaoth, heavens and earth are full of Thy glory.'

2 When I saw all these things, those men said to me: 'Enoch, thus far is it commanded us to journey with thee,' and those men went away from me and thereupon I saw them not.

3 And I remained alone at the end of the seventh heaven and became afraid, and fell on my face and said to myself: 'Woe is me, what has befallen me?'

4 And the Lord sent one of his glorious ones, the archangel Gabriel, and he said to me: 'Have courage, Enoch, do not fear, arise before the Lord's face into eternity, arise, come with me.'

5 And I answered him, and said in myself: 'My Lord, my soul is departed from me, from terror and trembling,' and I called to the men who led me up to this place, on them I relied, and it is with them I go before the Lord's face.

6 And Gabriel caught me up, as a leaf caught up by the wind, and placed me before the Lord's face.

7 And I saw the eighth Heaven, which is called in the Hebrew tongue Muzaloth, changer of the seasons, of drought, and of wet, and of the twelve signs of the zodiac, which are above the seventh Heaven.

8 And I saw the ninth Heaven, which is called in Hebrew Kuchavim, where are the heavenly homes of the twelve signs of the zodiac.

XXII.
In the tenth Heaven the archangel Michael led Enoch to before the Lord's face.

ON the tenth Heaven, Aravoth, I saw the appearance of the Lord's face, like iron made to glow in fire, and brought out, emitting sparks, and it burns.

2 Thus I saw the Lord's face,

p. 89

but the Lord's face is ineffable, marvellous and very awful, and very, very terrible.

3 And who am I to tell of the Lord's unspeakable being, and of his very wonderful face? And I cannot tell the quantity of his many instructions, and various voices, the Lord's throne very great and not made with hands, nor the quantity of those standing round him, troops of cherubim and seraphim, nor their incessant singing, nor his immutable beauty, and who shall tell of the ineffable greatness of his glory?

4 And I fell prone and bowed down to the Lord, and the Lord with his lips said to me:

5 'Have courage, Enoch, do not fear, arise and stand before my face into eternity.'

6 And the archistratege Michael lifted me up, and led me to before the Lord's face.

7 And the Lord said to his servants tempting them: 'Let Enoch stand before my face into eternity,' and the glorious ones bowed down to the Lord, and said: 'Let Enoch go according to Thy word.'

8 And the Lord said to Michael: 'Go and take Enoch from out his earthly garments, and anoint him with my sweet ointment, and put him into the garments of My glory.'

9 And Michael did thus, as the Lord told him. He anointed me, and dressed me, and the appearance of that ointment is more than the great light, and his ointment is like sweet dew, and its smell mild, shining like the sun's ray, and I looked at myself, and was like one of his glorious ones.

10 And the Lord summoned one of his archangels by name Pravuil, whose knowledge was quicker in wisdom than the other archangels, who wrote all the deeds of the Lord; and the Lord said to Pravuil:

11 'Bring out the books from my store-houses, and a reed of quick-writing, and give it to Enoch, and deliver to him the choice and comforting books out of thy hand.'

XXIII.
Of Enoch's writing, how he wrote his wonderful journeyings and the heavenly apparitions and himself wrote three hundred and sixty-six books.

AND he was telling me all the works of heaven, earth and sea, and all the elements, their passages and goings, and the thunderings of the thunders, the sun and moon, the goings and changes of the stars, the seasons, years, days, and hours, the risings of the wind, the numbers of the angels, and the formation of their songs, and all human things, the tongue of every human song and life, the commandments, instructions, and sweet-voiced singings, and all things that it is fitting to learn.

2 And Pravuil told me: 'All the things that I have told thee, we have written. Sit and write all the souls of mankind, however many of them are born, and the places prepared for them to eternity; for all souls are prepared to eternity, before the formation of the world.'

3 And all double thirty days and thirty nights, and I wrote out all things exactly, and wrote three hundred and sixty-six books.

XXIV.
Of the great secrets of God, which God revealed and told to Enoch, and spoke with him face to face.

AND the Lord summoned me, and said to me: 'Enoch, sit down on my left with Gabriel.'

2 And I bowed down to the

p. 90

[paragraph continues] Lord, and the Lord spoke to me: Enoch, beloved, all thou seest, all things that are standing finished I tell to thee even before the very beginning, all that I created from non-being, and visible things from invisible.

3 Hear, Enoch, and take in these my words, for not to My angels have I told my secret, and I have not told them their rise, nor my endless realm, nor have they understood my creating, which I tell thee to-day.

4 For before all things were visible, I alone used to go about in the invisible things, like the sun from east to west, and from west to east.

5 But even the sun has peace in itself, while I found no peace, because I was creating all things, and I conceived the thought of placing foundations, and of creating visible creation.




Hivyo ndivyo ilikua kwa enoch. Kipindi anapata kuandika kitabu Wala hata hakukabwa 😀😀😀😀
 
Kabra ya Adamu yupi alikua mtume/nabii


Adamu hakuwa mtume wala hajuwa nabii. Bali yeye ni mwanadamu wa kwanza kuumbwa.

Na yeye alikuwa anapewa maelekezo na Mola moja kwa moja.

Kwanza ulitakiwa ujiulize ni walianza kudhiri mitume na kwasababu gani ?

Jibu,ni utume ulianza kudhihiri baada kutokea au wanadamu kuanza kufanya shirki,yaani kuanza kuwaabudu waja wema na mfano wake. Ndio Allah aliyejuu akaanza kuwateua watu miongoni mwa waja wake wema kuwakumbusha wenzao juu kufuru wanazofanya.

Kwahiyo basi,mtume wa kwanza kudhihiri duniani ni Nuhu amani ya Allah iwe juu yake.
 
kuna watu wengine wasipokuelewa" basi shukuru ", kwa maana " utakuwa "na mawazo + kuwazidi wao " Ila ukiona watu hao" wameanza kukuelewa", kuwa na walakini ",maana huwenda itakuwa "umeanza kuwaza kama wao"" ...


Na mimi nina sema hivi kwa kunukuu maneno yafutayo : "Usizungumze hekima kwa wajinga watakupuuza,na usiongee ujinga kwa werevu utafahaika"

Au kama alivyosem msemaji.
 
Mleta mada Amani iwe nawe.

Katika suratul Kahfi aya ulizozinukuu kuhusu Dhul Qarnayn na kuzama kwa jua kwenye Chemchem yenye matope meusi. Ili uweze kuielewa hiyo aya na Qur'an kwa ujumla wake kuna mambo inabidi uyafahamu. Ulichokinukuu wewe ni Fasiri INA maana kwa hali ile iliyoandikwa kwa Kiarabu umeipeleka kwa Kiswahili. Vilevile kuna tafasiri kwa maana kilichoandikwa kinaelezewa kwa undani ili upate mantiki nzima na uelewe kile kinachokusudiwa.

Tukirudi katika hiyo aya inaanza kwa "Wanakuuliza habari za Dhulqarnayn. Sema; kwa yakini nitawasomea katika hadithi yake".
Na wanakuuliza, kwa maana Mtume anaulizwa, ni akina nani wanauliza habari za Dhul- Qaryn? Hii hoja itajibu swali lako linalouliza ni nani huyu mtu, Dhul Qarnayn?

Maqurayshi wa Makkah waliambiwa na Wayahudi wa Madinah, wakamuulize Mtume maswali 3 na nia ni kutaka kupima kama kweli Muhammad ni Mtume ama laa. Maswali yalikuwa ni kuhusu Roho, kuhusu Dhul Qarnayn na ahlul kahf(watu wa mapangoni) ambayo imebeba jina la Sura. Kwa sababu hakuna hayo mambo anayeyajua isipokuwa ni mitume tu, na hizo habari za hayo maswali 3 yalikuwepo katika vitabu vya watoto wa Israel. Kuhusu Dhul Qarnayn katika Qur'an tumepewa habari yake kidogo tu kama aya inavyosema "kwa yakini nitawasomea katika( baadhi) hadithi yake. Huyu mtu, Dhul Qarnayn alikuwa ni mtumishi( Mfalme) aliyetawala na kueneza sheria ya Mungu. Alikuwa mshindi mkuu wa vita. Alisafiri yeye pamoja na jeshi lake kuelekea sehemu tatu(3) za Dunia, magharibi ya mbali ya Dunia, mashariki ya mbali ya Dunia na mwishoni kaskazini mwake mwa Dunia. Alikwenda upande wa magharibi na akashinda vita sana mpaka alipofika mahali akaona jua linatua ndani ya chemchem ya maji yaliyovurugika.

Aya inayoendelea inasema "bila shaka tulimwamrisha katika ardhi na tukampa njia za kupatia kila kitu", kwa maana mradi wake ni kila kitu kilichohitajiwa kwa kumalizia kazi yake Mungu alimpatia huo uwezo. Maneno haya, akaliona Jua linatua katika chemchem iliyovirugika, tafsiri yake ni hii; kwa maana mahali alupofika maji take yalikuwa mapana sana yaani bahari, Hata inakuwa ukisimama pwani wakati was magharibi jua linaonekana linatua ndani ya bahri. Ukiwa pwani ukiangalia kuzama kwa jua unaona kama linatua kwenye tope au chemchem iliyovurugika. Ndivyo Dhul Qarnayn alivyoona na ndivyo Qur'an inavyoelezea kama Dhul Qarnayn alivyoona na hiyo bahari kuzama kwa jua na akaona hiyo hali ni bahari Nyeusi iliyoko Asia minor.

Watu wanatafsiri Qur'an kwa kusoma maneno yaliyofasiriwa kwa lugha mama( Kiarabu) na kwenda lugha nyenginezo wakidhani kwamba tafsiri yake ndiyo IPO hivyo hivyo hapana, Qur'an ina somo kabisa LA tafsiri yake.

Kuhusu Jua tangu kale INA njia yake. Kwenye Qur'an suratul Anbiyaa aya 33 na Suratul Yaasin aya ya 38 zinaelezea Jua na Mwezi zina njia sake(orbits) zinazopitia. Na si kama baadhi ya watu wanajaribu kufananisha na Sura ya Al Kahfi kuhusu Dhul Qarnayn. Kuhusu jua ndilo linalozunguka badala ya Dunia hili ntakujibu baadae utanisamehe afya yangu imetetereka kidogo tangu Jana kwa hiyo sipo vizuri sana.
Mungu alishindwa kufanya neno lake lieleweke na watu wote siku zote bila utata wa fasiri, tafsiri au kutaka dira?

Pia, alishindwa kulishusha hilo neno lake likae kwenye DNA zetu kila mmoja alijue kabla hajajua lugha na kusiwe na tatizo lolote la fasiri, tafsiri au dira?
 
Wanajukwaa:

Dunia yetu inaendelea kushika kasi katika suala la Sayansi na Tekinolojia.Kwa siku za hivi karibuni,wanasayansi wamegundua kuweza kutengeneza Moyo kwa kutumia stem cells,ikiwa ni hatua katika kuelekea kutengeneza moyo wa binadamu,hali ambayo itasaidia katika kukabiliana na matatizo ya Moyo yanayowakabili wanadamu,kwa kiasi kikubwa, yale ambayo uhusisha mwanadamu kupoteza maisha, kwa sababu tu Moyo wa mgonjwa husika hauna repair au hauwezi kubadilishwa.Miaka kama kumi hivi iliyopita,wanasayansi walikuwa wamefanikiwa kutengeneza Moyo wa panya kwa kutumia hizo stem cells.

Kumbe,kwa tafiti mbalimbali zinazoendelea kufanyika sehemu mbalimbali duniani,ama ardhini au angani,zote zinalenga katika kuboresha maisha ya mwanadamu na hata kuongeza siku za kuishi kwake.Historia inao watu wengi sana ambao wamejihusisha na Sayansi kwa nyakati tofuati tofauti.

Leo,ninataka tumuangalie Mtume Muhammad kwa namna alivyoweza kujihusisha na suala la Sayansi kwa kile kinachosemwa ni kwa msaada wa Mungu.Kurani neno la Mungu;maneno ambayo Mungu akiisha kuyaandika huko Mbinguni, alikuwa anampatia Malaika Gabriel na malaika Gabriel akampatia Mtume Muhammad katika Nyakati tofauti tofauti na Muhammad kuyaweka katika maandishi,lakini kwa namna ya pekee,kwa mara ya kwanza kabisa ikiwa ni katika Pango lililoko katika Mlima Hira, Jabal an-Nour,huko Makka,ambako inadaiwa Mtume Muhammad alipokea ufunuo huo, kwa matatizo sana kwa sababu ya kutojua kwake kusoma na kuandika,Malaika Gabrieli alijikuta anamkaba.

Kwa njia ya ufunuo wa Kurani,tunafunuliwa mambo mengi ya Kisayansi ambamo Muhammad anatujuza jinsi mambo yalivyo.Kwa leo, ninawaletea jambo moja tu.Nalo ni juu ya namna Jua linavyokuchwa na kadri Mungu atakavyotujalia tutayaangazia na mambo mengine.


Kurani kupitia Sura al-Kahf (18: 83-86), inaeleza kwamba Jua huchwea katika chemchemu ya matope meusi mazito(dark Muddy spring):

“83-Na wanakuuliza khabari za Dhul- Qarnaini. Waambie: Nitakusimulieni baadhi ya hadithi yake.84 -Sisi tulimtilia nguvu katika ardhi na tukampa njia za kila kitu.85 - Basi akaifuata njia. 86 - Hata alipo fika machwea-jua aliliona linatua katika chemchem yenye matope meusi. Na hapo akawakuta watu. Tukasema: Ewe Dhul-Qarnaini! Ama uwaadhibu au watwae kwa wema.”

Wakati Muhammad akiwa ametupasha ukweli huo ambao aliandikiwa na Mungu, Ukweli wa kisayansi umebainisha kwamba Jua ni kubwa zaidi na lenye joto kali kuliko dunia.Na ikitokea kwamba Dunia inakaribiana na Jua,basi dunia itayeyuka kutokana na joto kubwa la Jua.

Ukweli mwingine,ambao pia Sayansi imetupatia ni kwamba Jua halitembei bali sayari mbalimbali ndio hulizunguka,ikiwemo Sayari yetu ya Dunia. Historia inaonyesha kwamba mtu wa kwanza kugusagusa habari za kuwa Jua lilikuwa halizunguki alikuwa ni Aristarchus (310-230KK).

Aristarchus alikuwa ni mwana-Astronomia wa Kigriki.
Yeye aliamini dunia ilikuwa katikati ya Mfumo wa Jua(Solar system) na sayari zingine (ikijumuishwa na nyota ambazo zilikuwa zimefungwa katika nafasi fulani) ndio zilizokuwa zikilizunguka Jua.

Hata hivyo, baadaye mwanasayansi,Aristarchus, alikuja kugundua kuwa sio dunia iliyokuwa katikati ya Mfumo wa Jua, bali ni Jua na hivi kwamba ni Dunia na sayari zingine ndizo zilikuwa zikilizunguka Jua.Ugunduzi wa namna hii ulipatikana miaka mingi sana (takribani karne tatu hivi) kabla hata ya Yesu Kristu kuzaliwa na karne tisa kabla ya Muhammad kuzaliwa.

Mwanasayansi mwingine pia aliyekuja na mtizamo tofuati na wa Muhammad (kwa kadri ya ufunuo kutoka kwa Mungu) ni Jean Buridan (1300-1359/61). Huyu) anafahamika kama Mwanafalsafa Mashuhuri sana katika Ufaransa.Buridan alikuwa Mwalimu katika Kitivo cha Sanaa cha Chuo Kikuu cha Paris kwa kupindi chote cha maisha yake ya kitaaluma akimakinika hasa hasa katika masuala ya Logiki (Logic) na kazi za mwanafalsafa Aristotle.

Ni Bridan aliyeanzisha wazo juu ya kiitwacho Copernican Revolution katika Ulaya.Hili ni fundisho lililoleta mwangaza kutoka kuamini kwamba dunia ilikuwa imesimama sehemu moja katika ulimwengu na kwamba Jua ndio lilikuwa linaizunguka dunia (Geocentrism) hadi kueleweka kwamba kumbe Jua ndilo limesimama wakati dunia na sayari zingine zikilizunguka (Heliocentrism).

Kumbe, sasa kwa uchache,kwa mawazo ya hao wanasayansi wawili,tunapata picha kwamba Muenendo wa Jua kuchomoza na kutua sio jambo lililoanza wakati wa Muhammad.Na kama suala la Sayansi ya Mfumo wa Jua lilianza mapema kabla ya Yesu na Muhammad kuzaliwa, yeye Muhammad alipopewa ufunuo na Mungu, hakuweza kujiuliza iwapo ufunuo huo wa Mungu inakuwaje unapingana na ukweli wa mambo?Katika kutafakari ufunuo huu wa Mungu kwa Muhammad, nimejikuta nina maswali yafuatayo,ambayo naomba yatuongoze katika kujadili suala hili.Ni muhimu kujadili kwa sababu pengine Dunia inatufundisha vitu ambavyo havipo.Hivi kweli Mungu anaweza kumueleza Muhammad mambo ya uongo?Maswali mengine ambayo bila shaka hata wewe unaweza kujiuliza ni haya:

1. Hiyo Chemchemi ya matope mazito na meusi iko hapa duniani?Na kama haipo hapa duniani iko angani? Na kama iko angani iko sehemu gani?


2. Huyo Dhul-Qarnaini alikuwa ni kiumbe wa namna gani huyo aliyepewa uwezo wa kuona Jua linavyotumbukia katika matope?


3. Pamoja na kwamba wakati wakati wa Muhammad, labda Sayansi ya kwamba Jua halizunguki, isipokuwa dunia ndio hulizunguka Jua, ilikuwa haijafika katika maeneo ya ardhi ya Arabia, bado hata vizazi vya zamani sana havikupata kuwa na uelewa kama huo wa Muhammad kuwa Jua lilikuwa linatua matope meusi! Je,ilikuwaje katika Vizazi vyote hivyo hapo katikati(ikiwemo na Yesu mwenyewe ambaye Muhammad anamuelezea kama aliyekuwa na uwezo wa kufinyanga wanasesere na kuwapulizia uhai na wakawa ndege kamili), kabla ya Muhammad, akakosekana mtu mwenye uelewa wa kuliona Jua likizama katika matope meusi tofauti? Hivi wewe kwa sayansi hii ya Muhamma juu ya Jua kuchwea katika matope meusi haikupelekei kujiuliza yafuatayo:

· Je, Muhammad kusema mambo ambayo hakuwa nayo uthibitisho ilikuwa ni kutafuta tu kuonekana kwamba Mungu amempa ufunuo wa kipekee juu ya ulimwengu?


· Je, vizazi ya Kiarabu na dunia kwa ujumla baada ya kugundua kwa tafiti za kisayansi, ambazo zimethibitisha kuwa Jua huzungukwa na sayari mbalimbali, ikiwemo Sayari yetu ya dunia, vimuoneje, Muhammad na Uislamu kwa ujumla?


· Je,wanadamu wa vizazi vyote vinavyofahamu kuwa Jua halijawahi kuzama katika matope ama meusi,bluu au meupe, visimuamini Muhammad katika mambo mengine aliyoyasema au vimuchukulie kama mtu aliyekuwa anajaribu kupiga ramli ya jinsi mambo yalivyo?

Lakini swali la mwisho kabisa ambalo nitaomba ujiulize ni hili:Je,Ni kwa nini hadi leo baada ya kugundulika kuwa Jua halizami na wala halizunguki,ni kwa nini hadi sasa aya hiyo iko imesalia katika Kurani?Je,ni nani anasema uongo kati ya Mungu na wanasayansi juu ya suala la Jua?

Karibu kwa mjadala ili tupate kujua ukweli kwa faida ya maendeleo ya Dunia yetu.


Kaka kuchunga adabu za kielimu,naomba ukiri ya kuwa umeandika maneno ya uongo,tena ukiri ya kuwa ulikurupushwa na hisia ndio maana ukaandika uongo huu. Hisia zenyewe zilizo kukurupusha ni hisia za chuki yaani CHUKI.
 
Mungu alishindwa kufanya neno lake lieleweke na watu wote siku zote bila utata wa fasiri, tafsiri au kutaka dira?

Pia, alishindwa kulishusha hilo neno lake likae kwenye DNA zetu kila mmoja alijue kabla hajajua lugha na kusiwe na tatizo lolote la fasiri, tafsiri au dira?
Mungu anafanya anavyotaka wala hafanyi kama wewe unavyotaka. Na hata kama Mungu angelifanya neno lake lieleweke bila ya fasiri au tafasiri kwa nidhamu yako bado ungeliendelea kuhoji.
 
sasa " ndio umeongea " nini " hivyo visa vya kina nuhu ambavyo unasema muhhamad alihadithiwa na mungu " mbona RC walikuwa wanavijua kabla hata ya muhhamad hajazaliwa", na wao wala hawakusubiri kuambiwa na mungu " iliwaamini uwepo wa hizo Story "" Yaaani unasubir kuambiwa na mungu mambo ambayo ", yanafahamika ktika jamii " like seriously " JIBU HOJA KAMA QURAN ILITOKA KWA MUNGU KWANINI ISHUSHWE NUSU NUSU TENABAADHI YA AYA ZILISHUSHWA ",BAADA "YA KUSUBIRI ",TUKIO "FULANI LITOKEE" .. huyo mungu. muweza wa yote mjuzi wa yote ",Alishindwa kujua kwel matukio yatakayokujA kutokeA hapo baadae " kisha akaiteremsha "to hiyo Quran ikiwa complicate " yenye aya ambazo " zinatoa mchanganuo ",wakukeamea/kufundisha" matukio ambayo yalikuwa yanakuja katika ujao " kwanini mungu muweza wa yote mjuzi wa yote "asubiri mpka matukio yatokee ndio ateremshe baadhi ya hizo Aya " alikuw wapi mpka ashindwe -
kuutumia huo ujuzi wake wa yote katika kuikAmilisha tu"??? maana sifa moja wapo us ujuzi wa yote nikujua mpaka yale yajayo
sasa ujuzi wa yote na kushusha aya kwa matukio kuna uhusiano gani?
 
Mungu alishindwa kufanya neno lake lieleweke na watu wote siku zote bila utata wa fasiri, tafsiri au kutaka dira?

Pia, alishindwa kulishusha hilo neno lake likae kwenye DNA zetu kila mmoja alijue kabla hajajua lugha na kusiwe na tatizo lolote la fasiri, tafsiri au dira?

Kingozi unayemjibu au kumuuliza swali hili,amekujibu vizuri sana,na kama hujamuelewa wewe utakuwa na matatizo.

Lakini kwa mtiririko wa maelezo yako unaonekana umeelewa kile alichokujibu au alichokielezea.

Sasa tatio lingine lililobaki kwako ni kulalama na wasi wasi. Maadamu huna maswali mapya kila siku ni yale yale.

Hapo nimetilia mkazo kauli thabiti aliyokupa broh !
 
Kingozi unayemjibu au kumuuliza swali hili,amekujibu vizuri sana,na kama hujamuelewa wewe utakuwa na matatizo.

Lakini kwa mtiririko wa maelezo yako unaonekana umeelewa kile alichokujibu au alichokielezea.

Sasa tatio lingine lililobaki kwako ni kulalama na wasi wasi. Maadamu huna maswali mapya kila siku ni yale yale.

Hapo nimetilia mkazo kauli thabiti aliyokupa broh !
Hujajibu maswali niliyouliza na kama kuna maswali umejibu sijauliza hayo.

Halafu unaonekana unanichanganya na mtu nwingine aliyeuliza swali. Usinichanganye.

Jibu maswali niliyouliza.

Kukubali hujui jibu kunakubalika pia.
 
Maana ya Allah inamaana gani. Hapo?


Allah maana yake yule apasae kuabudiwa kwa haki pasa na mshirika,yaani muabudiwa.

Na Allah aliye juu ana majina mazuri na sifa kamilifu.

Allah aliye juu ana majina zaidi ya 99. Hii faid nimekupa.
 
Allah maana yake yule apasae kuabudiwa kwa haki pasa na mshirika,yaani muabudiwa.

Na Allah aliye juu ana majina mazuri na sifa kamilifu.

Allah aliye juu ana majina zaidi ya 99. Hii faid nimekupa.
Unaweza kuthibitisha Allah yupo na si hadithi za watu tu?
 
Hujajibu maswali niliyouliza na kama kuna maswali umejibu sijauliza hayo.

Halafu unaonekana unanichanganya na mtu nwingine aliyeuliza swali. Usinichanganye.

Jibu maswali niliyouliza.

Kukubali hujui jibu kunakubalika pia.


Baada ya kujua matatizo yako nimeamua siku hizi kufanya moja kati ya mawili kulingana na munasaba husika.

1. Aidha kukupuuzia ndio maana maswali yako ya kuhusu uthibitishiwe uwepo wa Mola mimi binafsi sitakujibu ten sababu nilishakujibu.

2. Nineamua kuwa nakupa faida ambayo ukipenda utachukua usipopenda utaniachia.

Hii sasa ni faida,kwangu kusema SIJUI ni ishara ya kuwa mtu una elimu wala si fedheha au aibu,ndio maana kama jambo silijui huw nasema tu SIJUI.

Kaka mimi sikuchanganyi ila wewe utakuwa umenisahau mimi,huwa tunakana sana katika mijadala kadha wa kadha ya kuhusu dini,imani na mfano wake.

Kwahiyo sijakuchanganya.
 
Siongelei kudhibitisha. Naongelea kuthibitisha. Elewa tofauti.

Hujaelewa kwamba napinga uwepo wa Mungu kwa sababu dhana ya kuwepo kwake ina logical inconsistency.

Si kwa sababu haonekani, hagusiki, hasikiki, haonjeki wala kunusika.

Unaweza kuthibitisha Mungu hayupo kwa "proof by contradiction" bila kutumia hivyo ulivyosema.

Unaweza kuthibitisha Mungu wako yupo?
Una hakika gani kwamba hiyo logical inconsistency ndia njia bora ya kuthibitisha mambo? au umekariri
 
Una hakika gani kwamba hiyo logical inconsistency ndia njia bora ya kuthibitisha mambo? au umekariri
Suala si kwamba ni njia bora au si njia bora.

Suala ni, inathibitisha au haithibitishi?

Ukishaandika sentensi ukaiwekea alama ya kuuliza tu (?) kuonesha unahoji kitu, tayari umeshakubali logical consistency.

Sasa unaihoji logical consistency kama ina maana kwa kutumia logical consistency hiyo hiyo?

Ukiuliza hivyo nitakuuliza njia bora kwa kigezo gani? Unavyosema njia bora una maana gani?

Nikikupigikia misumari msalabani nikusulubu ufe baada yavmasaa nitakuwa nimekuua.

Pia naweza kukupiga risasi kichwani nikakuua kwa dakika tu.

Ipi njia bora ya kukuua?

Na hiyo isiyo bora haikuui?
 
Unaweza kuthibitisha Allah yupo na si hadithi za watu tu?


Hili swali nilishakujibu mara kadhaa wa kadhaa. Sipotezi tena muda tena katika hili.

Hii faida nyingine chukua,jifunze kuweka kitu mahala pake.

Yaani watu wanajadili kuhusu tarjama potofu ya aya 83 - 86 katika surat al- Ahkaf na yale yamuhusuyo mja mwema Dhulqarnayn wewe unaleta maswali yaliyojibiwa eti uthibitishiwe kama Allah yupo.

Huo ni utovu wa adabu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom